Subaru vs Vanguard

Subaru vs Vanguard

Wana uzoefu uliopitiliza na umakini wa hali ya juu...mm najiulizaga usku huwa wanaonaje yale matuta ,mm tuta huwa naliona nikishalifikia na ndio maana napenda gari ya juu maana ya chini ntakua nashindwa kufukia matuta
Mi naye wale jamaa nilikutana nao usiku spidi zao hatari uko 180 ila wanakupita na huwaoni tena
 
Wana uzoefu uliopitiliza na umakini wa hali ya juu...mm najiulizaga usku huwa wanaonaje yale matuta ,mm tuta huwa naliona nikishalifikia na ndio maana napenda gari ya juu maana ya chini ntakua nashindwa kufukia matuta
zile gari zikifika tu zinapack gerage zinapigwa diagonosis zina oshwa na maji ya dasani
 
Vanguard ina heshima yake bana...ni gari ya juu usifananishe na visubaru...eti bora subaru kuliko vanguard [emoji1787][emoji1787]..acheni bangi..vanguard ina level zake...

Gari ya juu unamaanisha nini?? Subaru forester za kuanzia 2008 ambazo ndo nyingi ziko bongo zina ground clearance ya 7.8 mpaka 8.1
 
Vanguard ina heshima yake bana...ni gari ya juu usifananishe na visubaru...eti bora subaru kuliko vanguard [emoji1787][emoji1787]..acheni bangi..vanguard ina level zake...
Hujui kitu wewe...yaani hujui Subaru Forester?
 
Unaweza badili diff ukaweka yenye ratio ndogo kidogo ila haitakufanya kufikia speed kubwa ambayo hukuwahi fika na diff ya awali Sana Sana itasaidia kupunguza engine rpms kwenye same speed
Sasa brother kwenye majibu yako nadhan umesha nielewa what i meant ..maana yake ukitembelea rpm ile ya zaman basi speed itakua kubwa kuliko iliyokua na diff ya zaman at same rpm...
 
Wana uzoefu uliopitiliza na umakini wa hali ya juu...mm najiulizaga usku huwa wanaonaje yale matuta ,mm tuta huwa naliona nikishalifikia na ndio maana napenda gari ya juu maana ya chini ntakua nashindwa kufukia matuta
Huoni vibao vinavyokuelekeza kupunguza mwendo mbele kuna tuta?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Vanguard ina heshima yake bana...ni gari ya juu usifananishe na visubaru...eti bora subaru kuliko vanguard [emoji1787][emoji1787]..acheni bangi..vanguard ina level zake...
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ni 2GR-FSE hio mzee inafua 280HP with 5-Speed ECT enough kuimeza subaru mapema sana.

Kwa ile ya 2AZ pia inafua 170HP with 7-Speed CVT ambayo ni nyepesi sana kukamata mwendo mkali bila kuremba. Subaru non turbo lazma apotezwe na gear zake 4!
Now this is the comment i wanted...though Subaru wenyewe wana all wheel drive system nzuri sana(asymmetric all wheel drive) ipo very active kuliko ya van guard kwakua ya vangaurd all wheel drive system yake ina engage when necessary where by pale traction inapopotea kwa front tires basi electric clutch ya vanguar iliyokua integrated kwenye rear differential huwa ina engage nakufanya tairi za nyuma zitoe support kwenye ku drive gari ingawa power kwenye tairi za nyuma inakua less than 50% so power support ya tairi ya nyuma kwenye serious offloading basi all wheel drive system ya vanguard inaweza isikusaidie kabisa unlike ya subaru..



Kwenye kuchanganya speed vanguard ana advantage ya giabox so ana attain high speed quick fast kuliko Subaru. Na pia at higher speed vanguard anatembelea rpm ya chini kuliko subaru because subaru apo na fixed gear ratio wakati vangaurd because of CVT ana infinite gear ratio so the car always is in perfect gear ratio depending on various driving conditions kwa hapa vanguard anaweza kua na speed ya 100kmh kwenye rpm ya 1.5 wakati subaru Forester XT atapata same speed but kwa rpm 2+..so pia inakua translated kwenye fuel consumption/economy....so vanguard ipo more fuel efficient kuliko subaru Forester XT japo vanguard ina engine kubwa

Kwenye upande wa hauling, because of gear box design subaru inaweza tumika kuvuta vitu (towing) kwakua gearbox yake ipo physical gears whereas vanguard haiwezi tumika kwenye kufanya towing kwakua ipo na belt driven gear box system (yaan CVT transmission) so chance ya slippage under heavy load hauling ipo very likely na kupelekea premature failure ya transmission kama Nissan dualis..(so hapa kama wanunua gari between these two care zingatia wataka gari kwa matumizi gani.

Subaru Forester XT(SH5) ina seat zipo chini na uncomfortable ukilinganisha na vanguard.. vanguard ina occupants room kubwa kuliko subaru..

Vanguard ni reliable na durable kuliko subaru..(boxer engine by design inafanya iwe na some common engine problems kuliko vanguard though advantage ya boxer engine inafanya gari isiwe na vibration sana kama inline engines.

Kwa ndani Subaru inaonekana kidogo ipo modern kidogo compared to vanguard (yaan layout ya dashboard ya vanguard ipo very basic compared to subaru.

In terms of traction control systems, Subaru ipo advanced kuliko vanguard.


Something to note: Subaru engines zipo na issue ya PCV (positive crunk-case ventilation) system ku block kutokana na sababu including poor quality oil..so hii system iki block it causes all bunch of problems kwa subaru engines...hizi issues ni Severe oil leakage na kuuwa head gasket..and these are common issues.
 
Vp hao mapacha wa3( mark x , Crown na Brevis) wakikutana na C200 Kompressor au 320i nani atamezwa hapo mkuu kwa uzoefu wako?
Mkuu kuna acceleration na speed..these are two different terms japo zina relate...moja ana accelerate very fast na kufika top speed mapema..mwingine acceleration ni ndogo ila ina top speed kubwa..so any European car hata kama ina acceleration ndogo but so long as ina top speed kubwa lazima mjapan amezwe...
 
Now this is the comment i wanted...through Subaru wenyewe na all wheel drive system nzuri sana(asymmetric all wheel drive) ipo very active kuliko ya van guard though kwenye kuchanganya speed vanguard ana advantage ya giabox so ana attain high speed quick fast kuliko Subaru. Na pia at higher speed vanguard anatembelea rpm ya chini kuliko subaru because subaru apo na fixed gear ratio wakati vangaurd because of CVT ana infinite gear ratio so the car always is in perfect gear ratio depending on various driving conditions..

Subaru Forester XT(SH5) ina seat zipo chini na uncomfortable ukilinganisha na vanguard.. vanguard ina occupants room kubwa kuliko subaru..

Vanguard ni reliable na durable kuliko subaru..(boxer engine by design inafanya iwe na some common engine problems kuliko vanguard though advantage ya boxer engine inafanya gari isiwe na vibration sana kama inline engines.

Kwa ndani Subaru inaonekana kidogo ipo modern kidogo compared to vanguard (yaan layout ya dashboard ya vanguard ipo very basic compared to subaru.

In terms of traction control systems, Subaru ipo advanced kuliko vanguard.
Imeshiba sana hii
 
Back
Top Bottom