Subaru vs Vanguard

Subaru vs Vanguard

Kitakachoibeba c200 na 320i ni uwezo wa kuvuka 180kph ila kwa zone za 0-180kph utashangazwa na Crown au Mark X hasa dereva akiwa jasiri.
Yes... Kwenye acceleration c200 na 320i sio wazuri kutokana na design ya gearbox...yaan zipo fixed gear ratio ambayo inafanya gear box i shoft from one gear to another..maana yake kila muda gear shifting inapotokea kuna deceleration inatokea before another gear kua picked up...hichi kitu hakipo kwa gari yenye CVT transmission (yaan continuous variable transmission) yaan muda wote transmission inakua connected to engine while varying gear ratios (through pulleys and belt)(no power cut from engine to tires) hapa utaona tu gar ina accelerate very fast to top speed (180). Baaada ya hapo sasa mzungu ndo anaanza kukunyanyasa kwenda 180+ mpaka...hapa hata Volkswagen polo ya zaman yenye cc 1300 anakuwashia indicator ya kuomba site akupite unabaki unamfukuza na usimpate tena.
 
Gari ya horse power 267hp ton 3 kasoro dhidi ya sedan yenye hata 200hp 1.5ton mbona hesabu ndogo Sana hio mkuu

Afu sio Kila mtu anakaa dar huko mikocheni napasikiaga tu ITV wakisema Wana ofisi huko

Unataka sema tukiweka lc200 na brevis yenye 220hp kwnye ka mkeka safi eg runway ya ndege lc200 itafika kabla ya brevis,

Gari zote ziwe nzima LC200 engine take nikubwa in terms of cc with lower hp hivo kuifanya engine kudumu muda mrefu while maintaining the same power tofauti na brevis ambayo tutaiweka mzigoni iliotengenezwa 2003-2005 huko imetumika vya kutosha hivo haina service nzuri


Can you imagine tuweke 4gr mpya na lc200 mpya kwa race hata ya 200km

Ushawahi endesha ukaona namna ukikanyaga wese inakupush kwa nyuma Kama mtu kakushika kifuani ushawahi on namna inapandisha mshale kuisaka 180kph ambayo ndo limiter yake hairuhusu kutembea zaidi ya hapo?

Hizo sedani zione hivo hivo labda ulete kina VW kale ka hatchback na sedan za BMW Audi nk tusiweke pamoja ila sio ushindani wa race dhidi ya lc200 na sedan Kama crown , brevis , Mark x , hizo Ni za kawaid Sana ila ushindi mapema Sana

Hulu Germany Autobahn lc200 zinasumbuliwa hata na gari cc 2000 kavu
Asee naona kuna watu hawajui spec nyingi za engine..kuna cc, kuna horse power na kuna kitu kinaitwa torque..sasa nguvu ipo kwenye torque... power multiplication ya cc na horse power..ntatoa mfano unakua kuna mlorry wa mchina una horse power 380 lakini kacheck torque yake....

Kuhusu Brevis na LC 200..brevis anaweza achwa na lc 200 mkuu tena mbali..kwakua lc ina torque kubwa sana.. pia ina top speed kubwa (260) wakati brevis ana 180..tena high way brevis hafati kabisa.
 
Nimefatana nazo around 390km

Zilikuwa na mission sijui wametumwa wapi Kuna STM mbili , LX tatu na Prado j150 mbili STL

Walikuwa speed Sana nikapata kampani kwenye gari tuko watatu tu hatuna mizigo ...wale wanatembea na mwendo constant sehemu zote Kuna saa mnafika kipande kina makorogesheni mengi wale wanafukua unaona vumbi tu kwenye lami me hapo mshale uko chini ya 40 unapita unaanza wasaka unawapata tulipeana kampani Sana


Nakumbuka waliingia sijui kula sijui na kuweka wese na sisi mbele tukasimama kidogo hotel moja tukala na mafuta kuongeza ile tunatoka Hawa hapa kilometa 100 za mwsho ndo niliachana na kampani yao na kuamua watoroka maana nilifika kipande ninachokijua vizuri Sana
Wale wakiwa kwenye msafara wanatembea speed inayoweza kua attained na gari yenye top speed ndogo..mfano unakuta kwenye masafara unagari nyingi zikiwemo hardtop land cruiser..sasa land cruiser hardtop hata kufika tu 180 nyingi hazifiki hata kama ni mpya...so wanatembea mwendo ule ili ku accomodate gari yenye speed ndogo but zikiwa zenyewe tu lc 200 au lc 300 mkuu hukamati.
 
Gari ya horse power 267hp ton 3 kasoro dhidi ya sedan yenye hata 200hp 1.5ton mbona hesabu ndogo Sana hio mkuu

Afu sio Kila mtu anakaa dar huko mikocheni napasikiaga tu ITV wakisema Wana ofisi huko

Unataka sema tukiweka lc200 na brevis yenye 220hp kwnye ka mkeka safi eg runway ya ndege lc200 itafika kabla ya brevis,

Gari zote ziwe nzima LC200 engine take nikubwa in terms of cc with lower hp hivo kuifanya engine kudumu muda mrefu while maintaining the same power tofauti na brevis ambayo tutaiweka mzigoni iliotengenezwa 2003-2005 huko imetumika vya kutosha hivo haina service nzuri


Can you imagine tuweke 4gr mpya na lc200 mpya kwa race hata ya 200km

Ushawahi endesha ukaona namna ukikanyaga wese inakupush kwa nyuma Kama mtu kakushika kifuani ushawahi on namna inapandisha mshale kuisaka 180kph ambayo ndo limiter yake hairuhusu kutembea zaidi ya hapo?

Hizo sedani zione hivo hivo labda ulete kina VW kale ka hatchback na sedan za BMW Audi nk tusiweke pamoja ila sio ushindani wa race dhidi ya lc200 na sedan Kama crown , brevis , Mark x , hizo Ni za kawaid Sana ila ushindi mapema Sana

Hulu Germany Autobahn lc200 zinasumbuliwa hata na gari cc 2000 kavu
Hapo weight to body ratio ndio ita dictate mzee. Crown gari ya tani moja na nusu kiuzito ni nusu ya uzito wa hio LC.

Kwenye Drag Race Crown itatangulia mbele na itamaliza 180 kama ni long stretch kisha ndio Cruiser yenye zaidi ya 180 itafungua mapafu na kuanza kuivuta taratibu hadi kuikata.

Ila kwa Crown za chinese model zenye 260kph ipo kazi. Ukute ni 2GR ile ya 3500cc ni balaa zito.
 
Iki kicarina nikauze tu haiwezekani kisahani kinasoma 140kph lakini nakuja kupitwa na sauli kirahisi hivi kama nimesimama?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 CARINA sidhani hata kama itamaliza 180KPH zote ikiwa ishachoka.
 
Huo uwezo wa kuvuka 180 labda kwenye Range Rover 2013 diesel 4.4L v8 340hp Lile kidogo linavuka kwa Kasi 240kph sio speed ya kutafuta Kama kwenye lc200


Lc200 unaionea popote labda route ndefu Sana linabeba point na zile bamsi za hapa na hapa ubovu wa road Mara Kuna sehemu lami wamekata hawajaziba lc200 linaweza pita Kama hakuna kitu tofauti na crown zetu hizi mtu kafunga low profile tire unaeza kata rimu pale

Pamoja na crown kuwa na nguvu inachanganya fasta but above 170 roho yangu haina amani tofauti na Lc200 hata Kama limechelewa fika 180 ila linaweza kaa hapo na wewe unakuwa unaona Kama iko speed ya kawaida hicho ndo kinafanya watu waone LC200 inakimbia zaidi
Crown inatulia kama Yatch inavyoelea kwenye bahari ya Hindi. Hio yako inayokupa presha labda kama umefunga shockup za Koroma au Jinbo 🤣🤣🤣
 
Ya mwaka gani hii?..mimi nilichukua ya 2009 kwa 25M+ mwezi November. Na nilichukua hii kwa sababu nilishindwa Vanguard. Vanguard ni habari nyingine. Hata huyo alisema anashindanisha Vanguard na Dualis amechemka sana. Utofauti utauona tu kwenye bei. Dualis bei yake ni nusu ya bei ya Vanguard.
Yani Dualis kagari ka horsepower 140 ushindanishe na gari ya horsepower 170 tena yenye gear 7? Vanguard nyingi nimekutana nazo highway na zina kichaa kweli kweli!
 
Vp hao mapacha wa3( mark x , Crown na Brevis) wakikutana na C200 Kompressor au 320i nani atamezwa hapo mkuu kwa uzoefu wako?
Hapo wajerumani wote wanalamba mchanga. Huwezi amini ila ndio ukweli na hio ni until Crown akimaliza kazi yake then ndio watakuja kumpita past 180KPH.

Crown 0-100kph inatumia sekunde 6 tu wakati BMW ni 8.9 na benz ni 9.4! Tayari kwenye takeoff wanakuwa washaachwa.
 
Nataka tofauti ya specs za Crown Majesta, Athlete na Royal Saloon.
Majesta ana 345HP V8 engine High-End luxury. Huyu ndo babalao

Royal Saloon ni Luxury ila ianshea engine sawa na Athlete. Tofauti zake moja ina Sport suspensions (Athlete) na ingine ina Soft suspension kwa burudani zaidi (Royal Saloon)
 
We pia Ni wale wale crame v8 inakimbia?[emoji848]

Sasa v8 na crown wapi na wapi?


V8 beighali ila sijaona 200series ya kuisumbua crown, brevis, mark x na magari mengi Sana Ni nyie kukariri kwenu 200 series labda isumbue wakubwa wenzie eg Prado , na magari mengine SUV
Labda dereva awe mwoga
Wewe uje upunguze spidi kupanda tuta mwenzako keshalivuka yuko mbele yako
 
Nimefatana nazo around 390km

Zilikuwa na mission sijui wametumwa wapi Kuna STM mbili , LX tatu na Prado j150 mbili STL

Walikuwa speed Sana nikapata kampani kwenye gari tuko watatu tu hatuna mizigo ...wale wanatembea na mwendo constant sehemu zote Kuna saa mnafika kipande kina makorogesheni mengi wale wanafukua unaona vumbi tu kwenye lami me hapo mshale uko chini ya 40 unapita unaanza wasaka unawapata tulipeana kampani Sana


Nakumbuka waliingia sijui kula sijui na kuweka wese na sisi mbele tukasimama kidogo hotel moja tukala na mafuta kuongeza ile tunatoka Hawa hapa kilometa 100 za mwsho ndo niliachana na kampani yao na kuamua watoroka maana nilifika kipande ninachokijua vizuri Sana
Una uhakika walikuwa wanakimbizana na wewe?
 
Mkuu hao ndiyo wabongo wanaitwa huyo jamaa hajawahi kuendesha crown wala kupewa lift kwenye LC200..
Hapa jukwaaani kuna story nyingi za kwenye kahawa hii ndiyo shida nimesoma comments nyingi kule juu nimeshangaa Sana
Kama ingekuwa hivyo serikali ingenunua Crown.

VX V8 ni dude haswaa
 
Back
Top Bottom