Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
ni bonge la ghari lakini sedan na ni sportcars nyingi zinakaaYeah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni bonge la ghari lakini sedan na ni sportcars nyingi zinakaaYeah
Hio si suv?ni bonge la ghari lakini sedan na ni sportcars nyingi zinakaa
SUV HASWA lakin sedan tena sportmade zinakaaaHio si suv?
Kwa hiyo Mzee baba wewe kipimo chako ni Bei!!?? Tuanzie hapoYa mwaka gani hii?..mimi nilichukua ya 2009 kwa 25M+ mwezi November. Na nilichukua hii kwa sababu nilishindwa Vanguard. Vanguard ni habari nyingine. Hata huyo alisema anashindanisha Vanguard na Dualis amechemka sana. Utofauti utauona tu kwenye bei. Dualis bei yake ni nusu ya bei ya Vanguard.
Forester ni mziki mwingine aiseeForester XT ikae kwa Vanguard. Mkuu tunajua unaikubali gari yako ila usije kujichanganya na magari mengine.
Hio si suv?
Mkuu hao ndiyo wabongo wanaitwa huyo jamaa hajawahi kuendesha crown wala kupewa lift kwenye LC200..Diesel LC200 haikimbii au sio..!!
Umeshawahi kukutana nayo highway au ni hizi short trips za Mikocheni Posta..!
Hizi v8 mmezidharau sana!!nilipewa lift kwenye V8 moja, mbele tukaiona hillux dere akasema huyu jamaa wa hillux akiamua kukanyaga hatumuoni[emoji848]
Kati ya magari ninayokubali ya muda wote ni Nissan patrol old model manual hii gari ni shida kwa madereva watanielewaNissan patrol old model manual[emoji119]
Hapa mjapan alitulia sana!Kati ya magari ninayokubali ya muda wote ni Nissan patrol old model manual hii gari ni shida kwa madereva watanielewa
Spare vp upatikanaji wake??Mimi SUBARU FORESTER kama hii nilichukua Mil 40+ gari inakupa stability ya hali ya juu, haiondoki barabarani kizembe, speed, afu laini ile mbaya.
Chukua Subaru forester XT hizi kubwa zinafanana na Kluger na VanguardView attachment 2465889
Kuna uzi nimeuona mahala unazungumzia uzuri wa kutembea kwa miguu kwa afya ya binadamu, unaweza jaribu kuchangia kwenye huo uzi. Achana na nyuzi za watu wanaotembea wakiwa wamekaa!Tusiokuwa hata phoenix sijui tuchangie nini
Kwa kizazi hiki ni,wachache sana wanaotambua kuwa kutembea ni mazoezi kila mtu ana ndoto ya kumiliki gari mimi ni mmoja wa viumbe wanaopenda sana kutembea kwa mguuKuna uzi nimeuona mahala unazungumzia uzuri wa kutembea kwa miguu kwa afya ya binadamu, unaweza jaribu kuchangia kwenye huo uzi. Achana na nyuzi za watu wanaotembea wakiwa wamekaa!
Mbona hutembei sasa????Kwa kizazi hiki ni,wachache sana wanaotambua kuwa kutembea ni mazoezi kila mtu ana ndoto ya kumiliki gari mimi ni mmoja wa viumbe wanaopenda sana kutembea kwa mguu
Natembeaga mkuuMbona hutembei sasa????
Nashukuru kaka. Shida hilux hazishikiki nazo
Ushaona Vanguard ngapi za 2gr mjini? 99% ni 2AZ
Kati ya magari ninayokubali ya muda wote ni Nissan patrol old model manual hii gari ni shida kwa madereva watanielewa
Ndo uzuri wa CVT transmissionEeh 2AZ anamezwa sababu kutoka 130 kwenda 180 yuko slow. Mark X, Crown na Brevis hawapoi 0-180 ni chap