Submeter Suluhisho la wamiliki na wapangaji Wa nyumba

Submeter Suluhisho la wamiliki na wapangaji Wa nyumba

Mwangajamiitz

Member
Joined
Jan 28, 2022
Posts
25
Reaction score
71
Hii Submeter inakupa uwezo Wa kuweka kiwango cha Unit zako mwenyewe kulingana Pesa uliyolipa. Na Unit zako zikiisha umeme utazima kwako peke yako. Wengine wataendelea kutumia Umeme. Ili kupata Unit zingine, Utanunua umeme utaweka kwenye Luku kuu ya Tanesco halafu utatengeneza Token kulingana kiwango ulichoweka Meter kuu ya Tanesco. Kisha utaziingiza kwenye Submeter yako na umeme utarejea kama kawaida kwako. Utengeneza Wa Token unachukua nusu dakika. Kwa mawasiliano ZAIDI 0757838927. Ukihitaji nakuja kukufungia...
IMG-20240326-WA0010.jpg
IMG-20240326-WA0004.jpg
IMG-20240326-WA0011.jpg
 

Attachments

  • IMG-20240331-WA0000.jpg
    IMG-20240331-WA0000.jpg
    57.7 KB · Views: 13
Hii Submeter inakupa uwezo Wa kuweka kiwango cha Unit zako mwenyewe kulingana Pesa uliyolipa. Na Unit zako zikiisha umeme utazima kwako peke yako. Wengine wataendelea kutumia Umeme. Ili kupata Unit zingine, Utanunua umeme utaweka kwenye Luku kuu ya Tanesco halafu utatengeneza Token kulingana kiwango ulichoweka Meter kuu ya Tanesco. Kisha utaziingiza kwenye Submeter yako na umeme utarejea kama kawaida kwako. Utengeneza Wa Token unachukua nusu dakika. Kwa mawasiliano ZAIDI 0757838927. Ukihitaji nakuja kukufungia...
View attachment 2949919View attachment 2949920View attachment 2949921
Hii nzuri sana mm naitumia
Lakini umeme ukiisha kwnye mita kuu umeme unatka ila wengne wakiweka ikiwa Bado unaslio lako unarejea🙌🏿🙌🏿
 
Hii nzuri sana mm naitumia
Lakini umeme ukiisha kwnye mita kuu umeme unatka ila wengne wakiweka ikiwa Bado unaslio lako unarejea🙌🏿🙌🏿
Ukitaka umeme usikatike inatakiwa kila mmoja afunge. Kama wewe unataka kufunga Hii Submeter peke yako, ni lazima ununue mbili, moja unajifungia mwenyewe na nyingine unawafungia ha wengine. Daima Luku haiwezi kuishiwa umeme labda wote msinunue umeme. Na kumbuka Submeter inauwezo wá kufungiwa mpaka kumi na kuendelea....
 
Ukitaka umeme usikatike inatakiwa kila mmoja afunge. Kama wewe unataka kufunga Hii Submeter peke yako, ni lazima ununue mbili, moja unajifungia mwenyewe na nyingine unawafungia ha wengine. Daima Luku haiwezi kuishiwa umeme labda wote msinunue umeme. Na kumbuka Submeter inauwezo wá kufungiwa mpaka kumi na kuendelea....
Aaaaah kumbe bas mm pale nnayo penge angu tu, nitawashawishi wafunge pia, lkn inaepush usumbufu wa umeme kukata tunachngishna maana Mimi umeme ukikata nikiamgalia Salio Nakuta lipo nasbr wanunue Mimi kwangu unarudi kama kawaida. Kwa wazo lako la kufunga Kila mtu m zuri
 
Ukitaka umeme usikatike inatakiwa kila mmoja afunge. Kama wewe unataka kufunga Hii Submeter peke yako, ni lazima ununue mbili, moja unajifungia mwenyewe na nyingine unawafungia ha wengine. Daima Luku haiwezi kuishiwa umeme labda wote msinunue umeme. Na kumbuka Submeter inauwezo wá kufungiwa mpaka kumi na kuendelea....
Umeulizwa bei na wenye nyumba mkuu
 
Aaaaah kumbe bas mm pale nnayo penge angu tu, nitawashawishi wafunge pia, lkn inaepush usumbufu wa umeme kukata tunachngishna maana Mimi umeme ukikata nikiamgalia Salio Nakuta lipo nasbr wanunue Mimi kwangu unarudi kama kawaida. Kwa wazo lako la kufunga Kila mtu m zuri
Ulifungiwa sh ngapi?.
Naweza kuhama nayo kwingine?
 
Aaaaah kumbe bas mm pale nnayo penge angu tu, nitawashawishi wafunge pia, lkn inaepush usumbufu wa umeme kukata tunachngishna maana Mimi umeme ukikata nikiamgalia Salio Nakuta lipo nasbr wanunue Mimi kwangu unarudi kama kawaida. Kwa wazo lako la kufunga Kila mtu m zuri
Basi haina msaada mkubwa
Nikajua ukikata kwako unabaki.
Kumbe nami nakaa giza kama wenzangu, tofauti tu ni kwamba wakichangishana wao, mie natulia tu.
Ila wote tunakaa giza hata siku 2...bado haisaidii 🤔
 
Basi haina msaada mkubwa
Nikajua ukikata kwako unabaki.
Kumbe nami nakaa giza kama wenzangu, tofauti tu ni kwamba wakichangishana wao, mie natulia tu.
Ila wote tunakaa giza hata siku 2...bado haisaidii 🤔
Asante Ili kwako usikatike itakubidi ununue mbili ni sawa na 260,000. Sababu ya kufungiwa mbili moja ni kudhitibiti mtu asitumie kwenye Mita ya Tanesco.
 
Ila cha msingi ni ile kila mtu ajiwekee wake. Mkifanikiwa kutengeneza hicho, mambo yatakuwa super sana
Ipo subway, ambapo ukishaifunga wewe utaweka unit kwenye mita kuu kisha zitahamia kwenye submit yako, ikiwa mita kuu ilikua na unit 3 kisha wewe ukaweka unit 20, basi hizo 20 zina transfer kwenda kwenye submitter yako halafu mita kuu inabaki na zile 3. Kwa hiyo hata mita kuu umeme ukikata baada ya hizo 3 kuisha wewe utaendelea kupata umeme kama kawaida.
 
Back
Top Bottom