Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Bei ya ufundi?!
Hii Submeter inakupa uwezo Wa kuweka kiwango cha Unit zako mwenyewe kulingana Pesa uliyolipa. Na Unit zako zikiisha umeme utazima kwako peke yako. Wengine wataendelea kutumia Umeme. Ili kupata Unit zingine, Utanunua umeme utaweka kwenye Luku kuu ya Tanesco halafu utatengeneza Token kulingana kiwango ulichoweka Meter kuu ya Tanesco. Kisha utaziingiza kwenye Submeter yako na umeme utarejea kama kawaida kwako. Utengeneza Wa Token unachukua nusu dakika. Kwa mawasiliano ZAIDI 0757838927. Ukihitaji nakuja kukufungia...
View attachment 2949919View attachment 2949920View attachment 2949921