Submeter Suluhisho la wamiliki na wapangaji Wa nyumba

Submeter Suluhisho la wamiliki na wapangaji Wa nyumba

Bei ya ufundi?!
Hii Submeter inakupa uwezo Wa kuweka kiwango cha Unit zako mwenyewe kulingana Pesa uliyolipa. Na Unit zako zikiisha umeme utazima kwako peke yako. Wengine wataendelea kutumia Umeme. Ili kupata Unit zingine, Utanunua umeme utaweka kwenye Luku kuu ya Tanesco halafu utatengeneza Token kulingana kiwango ulichoweka Meter kuu ya Tanesco. Kisha utaziingiza kwenye Submeter yako na umeme utarejea kama kawaida kwako. Utengeneza Wa Token unachukua nusu dakika. Kwa mawasiliano ZAIDI 0757838927. Ukihitaji nakuja kukufungia...
View attachment 2949919View attachment 2949920View attachment 2949921
 
Kutoa laki 260 kufunga submita mbili si bora niongezee 60k iwe 320k nipate mita ya tanesco.

Kabisa. Huo ulazima wa kufunga submita mbili bado ni kero pia. Ni bora kuongezea 60k na kupata mita ya Tanesco.

Watu wanataka submita moja tu imalize kero kwa mhusika. Kila mpangaji apambane kivyake.
 
Hata wakifunga wote bado itahitajika mita kubwa iwe na umeme unaojitegemea ili zenu zifanye kazi. Kumbuka ukiweka umeme na kujinunulia tayari unakua umehamisha zile unit kwenye mita kubwa kwenda kwenye mita yako. Ndo maana mfano mita kubwa ikiwa haina umeme na weww ukanunua umeme na kuweka mita kubwa ili uhamishie kwenye mita ndogo huo umeme hautaingia.
Unaanza kuweka umeme kwenye Mita kuu kwanza halafu ndio unaamishia kwenye Submeter. Kama umeweka umeme Wa 10000 ambao ni sawa na Unit 28kwh unauamisha hivyo kwenye Submeter yako. Na Submeter yako Itakuonyesha Unit 28kwh unapoanza kutumia utaanza kushuka mpaka kuwa Unit 00kwh hapo umeme utakuwa umezima kwako. Ukitaka tena unajaza kwenye Meter kuu. Halafu unauamisha kwenye Submeter yako. Hakikisha kila mmoja awé amefunga Submeter isitokee amechukukua umeme moja kwa mojá kwenye Meter kuu.
 
Kabisa. Huo ulazima wa kufunga submita mbili bado ni kero pia. Ni bora kuongezea 60k na kupata mita ya Tanesco.

Watu wanataka submita moja tu imalize kero kwa mhusika. Kila mpangaji apambane kivyake.
Asante Kwa Ujumbe wako. 321+40-50 contractor +urefu Wa waya 8mm.. ila sio bei Kubwa sana kwa Mita nne au Tano sio mbaya.
 
Mf. Nyumba mmekuta kuna ile ya ukutani 1… naifanyaje kupata yangu ya peke yangu?
Unanunua mita mbili, moja unaunga kwako nyingine unaunga kwa wapangaji wengine. Hizi za kununua umeme moja kwa moja bei yake zipo juu kidogo. Araound 180k kwa moja.
 
Hii inapunguza tu ila suluhisho ni kuweka mita yako.

Nyumba ninayokaa kila mpangaji anatumia hiyo ila ni lazima wote tuchangie umeme wa mita kubwa shida inakuja pale kuna watu hawataki kuchangia inakua mtihani.

Nashauri kama unataka suluhisho la kudumu heri mwenye nyumba akuwekee mita ya tanesco ya kwako.
ww hujaelewa unasemea zile sub meter za elfu40 ndo maana hizi za bei kunwa ziko advanced ukinunua 2 kama anavosema ile meter kunwa itagawa kwa wapangaji unit zao kama watakavoweka na zako zitaenda kwa mita yako ile meter kubwa umeme wa wengne ukiisha inakata ...lkn kama ww umeweka uniti 28 umetumia 20 salio kwenye meter kuu litakuwa unit8 ambazo n zako kule kwingne itakata yaan n kama mgawo tu
 
Hata wakifunga wote bado itahitajika mita kubwa iwe na umeme unaojitegemea ili zenu zifanye kazi. Kumbuka ukiweka umeme na kujinunulia tayari unakua umehamisha zile unit kwenye mita kubwa kwenda kwenye mita yako. Ndo maana mfano mita kubwa ikiwa haina umeme na weww ukanunua umeme na kuweka mita kubwa ili uhamishie kwenye mita ndogo huo umeme hautaingia.
Hii inaepusha zile kadhia za kuchangishan mafano elf 10 per each pale umeme unapoisha maana ww unalipa kadri ulivotumia
 
Hii Submeter inakupa uwezo Wa kuweka kiwango cha Unit zako mwenyewe kulingana Pesa uliyolipa. Na Unit zako zikiisha umeme utazima kwako peke yako. Wengine wataendelea kutumia Umeme. Ili kupata Unit zingine, Utanunua umeme utaweka kwenye Luku kuu ya Tanesco halafu utatengeneza Token kulingana kiwango ulichoweka Meter kuu ya Tanesco. Kisha utaziingiza kwenye Submeter yako na umeme utarejea kama kawaida kwako. Utengeneza Wa Token unachukua nusu dakika. Kwa mawasiliano ZAIDI 0757838927. Ukihitaji nakuja kukufungia...
View attachment 2949919View attachment 2949920View attachment 2949921
inaniuma sana kuwa wachuuzi badala ya watengenezaji!

hii ni project ya undergraduate udom,udsm na must ila meter zinatokea china!
 
Tatizo Wafanyabiashara wa kibongo wanakamua mpaka damu.

Hivo vidude mchina anauza 14$-18$ ila sasa kimfikie mbongo utajua hujui.

Faida ni muhimu ila kutengeneza mazingira ya kupata super profit ni ubepari uliotukuka.

Samahani mwenye uzi wake siharibu biashara yako, nimeguswa tu, inawezekana nawewe una chukua kwa mtu.
 
inaniuma sana kuwa wachuuzi badala ya watengenezaji!

hii ni project ya undergraduate udom,udsm na must ila meter zinatokea china!
Kuwa serious kidogo mkuu unataka tucheke ama.
Hivyo vyuo vyote hapo umetaja ni siasa hamna shule ya maana hapo ya kuzalisha watu wa kufanya makubwa.

Na shida sio hivyo vyuo shida ni serikali yako haijafanya uwekezaji wa kutosha.

Kwa hiyo msiwalaumu wanafunzi bali serikali ndio ya kubeba lawama.
 
Kuwa serious kidogo mkuu unataka tucheke ama.
Hivyo vyuo vyote hapo umetaja ni siasa hamna shule ya maana hapo ya kuzalisha watu wa kufanya makubwa.

Na shida sio hivyo vyuo shida ni serikali yako haijafanya uwekezaji wa kutosha.

Kwa hiyo msiwalaumu wanafunzi bali serikali ndio ya kubeba lawama.
hujui usemalo!

nakubaliana na wewe aya tatu kuendelea;

mengine nimekuachia;
 
Haina msaada kabisa
Tanesco wangekuja na wazo la kila chumba kiwe na mita yake hakika wangepiga hela.
Tumefanya hivyo kwenye apartments zetu ila ndo gharama kishenzi kila mita uilipie 320960, ila inapunguz kelele zisizo za lazima
 
Kwamba hata unit zikiisha kwenye main meter ya Tanesco, mie kwenye submita yangu umeme utaendelea kuwaka as per my units? Hii sasa ndiyo watu wanataka... kila mpangaji atumie umeme wake binafsi, sio mambo ya sharing mita.

Japo nashindwa kuelewa, inawezekanaje submita iendelee kupokea umeme wakati Main Mita (Tanesco/supplier) inasoma 0 unit?!!!

au wewe Madame B umemuelewaje huyu ndugu Kulupango ?
Yaani amesema hv, nunua vimita 2, apart from mita ya wote.
Unaweka mita ya wote umeme, unajihamishia kwenye mita no.1, kisha unahamishia no.2. ila rudi huko juu.
Mtoa mada kajielezea vyema tu
 
Jitahidini muepukane na upangaji..
 
Back
Top Bottom