Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Hapa nilipopanga, umeme kwa mwezi nilikuwa nalipa 20,000. Ukiangalia matumizi yangu ni TV, Kuchemsha maji kwenye jagi, Sabufa, taa na kuchaji simu kibaya zaidi natoka saa 1 asubuhi na kurudi saa 12 jioni. Usiku mpk saa 5 nakuwa nimelala.Hapo kwenye kujua nani ana matumizi makubwa ni pazuri zaidi na nimepapenda.
Ila mtoa mada kasema suluhisho lipo
Kila mtu atakula jsho lake. Ukifunga mbili mmoja asiponunua Atalala Giza wengine Mtaendelea kuinjoy Hii inakufanya Utumie kifaa chochote kwa maana ákimaliza umeme wako utabaki Giza. Submeter hizi pia zinauwezo Wa ku temper endapo kifaa chako kimepiga short Submeter itajizima na utapiga Simu kwetu tunakutumia Temper namba ukiweka itarudisha. umeme.Ila mtoa mada kasema suluhisho lipo. Unaweza funga mbili, moja ya kuwekea unitsza kuja kwako na ingine ya kuzitumia hizo units.
Ila ni wenye nyumba wachache ambao wanakubali hili suala, unajua kwanini....wenye nyumba nyingi mjini huwa wanawanyonya wapangaji kwa kutumia token zao.
Anajifanya ana-collect pesa ya umeme, kumbe yeye upande wake hatoi.
Wananyanyasa sana.
Bora mtu upate kiupande chako ujitegemee kwa kila kitu.
Na sahv kuna mavitu kibao ya umeme.
Yanini tujitese?
Kila mtu atakula jsho lake. Ukifunga mbili mmoja asiponunua Atalala Giza wengine Mtaendelea kuinjoy Hii inakufanya Utumie kifaa chochote kwa maana ákimaliza umeme wako utabaki Giza. Submeter hizi pia zinauwezo Wa ku temper endapo kifaa chako kimepiga short Submeter itajizima na utapiga Simu kwetu tunakutumia Temper namba ukiweka itarudisha. umeme.Ila mtoa mada kasema suluhisho lipo. Unaweza funga mbili, moja ya kuwekea unitsza kuja kwako na ingine ya kuzitumia hizo units.
Ila ni wenye nyumba wachache ambao wanakubali hili suala, unajua kwanini....wenye nyumba nyingi mjini huwa wanawanyonya wapangaji kwa kutumia token zao.
Anajifanya ana-collect pesa ya umeme, kumbe yeye upande wake hatoi.
Wananyanyasa sana.
Bora mtu upate kiupande chako ujitegemee kwa kila kitu.
Na sahv kuna mavitu kibao ya umeme.
Yanini tujitese?
Amina mkuu.Kila mtu atakula jsho lake. Ukifunga mbili mmoja asiponunua Atalala Giza wengine Mtaendelea kuinjoy Hii inakufanya Utumie kifaa chochote kwa maana ákimaliza umeme wako utabaki Giza. Submeter hizi pia zinauwezo Wa ku temper endapo kifaa chako kimepiga short Submeter itajizima na utapiga Simu kwetu tunakutumia Temper namba ukiweka itarudisha. umeme.
Nimejikuta nakupenda tu ghafla.Kila mtu atakula jsho lake. Ukifunga mbili mmoja asiponunua Atalala Giza wengine Mtaendelea kuinjoy Hii inakufanya Utumie kifaa chochote kwa maana ákimaliza umeme wako utabaki Giza. Submeter hizi pia zinauwezo Wa ku temper endapo kifaa chako kimepiga short Submeter itajizima na utapiga Simu kwetu tunakutumia Temper namba ukiweka itarudisha. umeme.
Wapangaji wengine jau sana.Hapa nilipopanga, umeme kwa mwezi nilikuwa nalipa 20,000. Ukiangalia matumizi yangu ni TV, Kuchemsha maji kwenye jagi, Sabufa, taa na kuchaji simu kibaya zaidi natoka saa 1 asubuhi na kurudi saa 12 jioni. Usiku mpk saa 5 nakuwa nimelala.
Kumbe kuna mpangaji hapa alikuwa anatumia friji lile la kizamani. Tangu nimefunga Sub meter siwazi tena masuala ya umeme.
HapoBasi haina msaada mkubwa
Nikajua ukikata kwako unabaki.
Kumbe nami nakaa giza kama wenzangu, tofauti tu ni kwamba wakichangishana wao, mie natulia tu.
Ila wote tunakaa giza hata siku 2...bado haisaidii 🤔
Asante mkuu.Hapo
Unatakiwa uwe na mbili au wao wabaki na sub mita wew ubaki na mita kuu yani wao ndio wa tumie iyo su
Huwez Sasa na swali LA muhimu kwann akataze??Asante mkuu.
Mtoa mada alitufafanulia vyema sana.
Mfano mwenye nyumba kakukataza kuifunga hio meter je?
Hii nzuri sana mm naitumia
Lakini umeme ukiisha kwnye mita kuu umeme unatka ila wengne wakiweka ikiwa Bado unaslio lako unarejea🙌🏿🙌🏿
Nimeongeza tu kwamba zipo za Subway na mimi ndio natumia. Hata umeme ukikatika mita kuu bado kwako utawaka
Hata wakifunga wote bado itahitajika mita kubwa iwe na umeme unaojitegemea ili zenu zifanye kazi. Kumbuka ukiweka umeme na kujinunulia tayari unakua umehamisha zile unit kwenye mita kubwa kwenda kwenye mita yako. Ndo maana mfano mita kubwa ikiwa haina umeme na weww ukanunua umeme na kuweka mita kubwa ili uhamishie kwenye mita ndogo huo umeme hautaingia.Aaaaah kumbe bas mm pale nnayo penge angu tu, nitawashawishi wafunge pia, lkn inaepush usumbufu wa umeme kukata tunachngishna maana Mimi umeme ukikata nikiamgalia Salio Nakuta lipo nasbr wanunue Mimi kwangu unarudi kama kawaida. Kwa wazo lako la kufunga Kila mtu m zuri
Submita yenye kutumia bando ina range 110k- 120k na ambayo hautumii bando kuweka umeme 140k-150kUlifungiwa sh ngapi?.
Naweza kuhama nayo kwingine?
Hebu fafanua hii.Asante Ili kwako usikatike itakubidi ununue mbili ni sawa na 260,000. Sababu ya kufungiwa mbili moja ni kudhitibiti mtu asitumie kwenye Mita ya Tanesco.
Hii ya kampuni gani na sh ngapi?Ipo subway, ambapo ukishaifunga wewe utaweka unit kwenye mita kuu kisha zitahamia kwenye submit yako, ikiwa mita kuu ilikua na unit 3 kisha wewe ukaweka unit 20, basi hizo 20 zina transfer kwenda kwenye submitter yako halafu mita kuu inabaki na zile 3. Kwa hiyo hata mita kuu umeme ukikata baada ya hizo 3 kuisha wewe utaendelea kupata umeme kama kawaida.
Kutoa laki 260 kufunga submita mbili si bora niongezee 60k iwe 320k nipate mita ya tanesco.Hapo kwenye kujua nani ana matumizi makubwa ni pazuri zaidi na nimepapenda.
Ila mtoa mada kasema suluhisho lipo
Ipo subway, ambapo ukishaifunga wewe utaweka unit kwenye mita kuu kisha zitahamia kwenye submit yako, ikiwa mita kuu ilikua na unit 3 kisha wewe ukaweka unit 20, basi hizo 20 zina transfer kwenda kwenye submitter yako halafu mita kuu inabaki na zile 3. Kwa hiyo hata mita kuu umeme ukikata baada ya hizo 3 kuisha wewe utaendelea kupata umeme kama kawaida.