Uchaguzi 2020 Sugu aendelea kuiteketeza CCM Mbeya Mjini, aanzisha operesheni Kata kwa Kata, hebu angalia mtiti wake

Mkuu,Vichwa vyako vya Thhreads huwa Vinaburudisha sana/Changamsha/Tia Hamasa.


Hongera Sana...!
 
Dada Tulia wala hana wasiwasi, anajua Mzee akipitishwa atateuliwa tu.
Tulia tulia tuliii mwaya...
 
CCM walidanyanyana sana ndani ya hiki kipindi cha miaka 5.

Kuna wanasiasa wanajuta!!
 
Ili kuwa FAIR, tuonyeshe na ule mtiti wa mgombea wa CCM, Dr.Tulia Ackson; kwa kufanya hivyo utakuwa mlinganishi mwema na siyo MSHABIKI!
Aliyekuambia tunalinganisha ni nani ? mimi nakuwekea ya Sugu wewe weka ya Tulia
 

Attachments

  • IGAWILO _fire__fire__fire__fire__fire_..... - TukutaneOktoba28 - TutashindaNaTutatangazwa - Sa...mp4
    2.2 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…