Sugu akutana na Mzee Joseph Butiku, atoa ofa kwa Taasisi ya Mwl Nyerere

Sugu akutana na Mzee Joseph Butiku, atoa ofa kwa Taasisi ya Mwl Nyerere

Ni muhimu kutambua kwamba kukutana na CCM yeyote ni kuchota busara
 
Baada ya CCM kukataa kutubu, wazee wanapekeka baraka upinzani.

Tanzania ni Moja tu, ila chama Si CCM pekee, CHADEMA pia yaweza kuongoza Nchi na tukaishi Kwa Amani.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Amen
💐🎁🎖️
 
Eti Sugu nae sasa ( siku hizi ) anaitwa Bilionea. Najua kuwa Sugu ana Hela ( GENTAMYCINE simfikii ng'o ) ila bado hana Hadhi ya Kuitwa Bilionea unless labda hatujui maana ya Bilionea au tunahitaji Msaada wa Kiufafanuzi kutoka BAKITA na BOT juu ya maana na dhana nzima ya neno Bilionea na Mtu Kuitwa Bilionea.

Kwangu Mimi Sugu akiitwa Mfanyabiashara au Mjasiriamali mwenye Mafanikio nitakubali tena kwa 100% ila leo hii kumuita Sugu Bilionea ni Kulidharau neno husika na Kuwadharau wale Mabilionea hasa kama akina Bakhressa, Mo Dewji, Rostam, GSM na wengineo baadhi.
Ukimiliki Milioni 1+ wewe ni milionea na ukimiliki Bilioni 1+ wewe Tayari ni Bilionea, ni hivyo tu,usiumize kichwa Saana.
 
Mm hayo ya ubilionaire sjataka jiingiza sina data makini na sion ka ishu.Hongera kwake kwa kuongeza platform ya kutupambania watanzania
 
Kwani hiyo taasisi ya Mwalimu Nyerere bado ipo? Haisikiki au waliamua kuacha kufanya makongamano kwa kukosa waongeaji au wasikilizaji?
 
Hotel yake ni ya kawaida sana!
Pumbavu wewe unayo?,kabla ya kulalama kodi yako inavyoliwa kwenye lile jengo lenye Serena Hotel Dsm wewe unakazana kulalama jinsi mwanaume mwenzako alivyotumia akili na kujenga hotel, lile jengo ni wanabadilisha majina wa waendesha hotel ,kuonekana ni wawekezaji wapya na nchi inapoteza kodi, jiulize why SHERATON HOTELS waliondoka?,duniani kuna hotel bado SHERATON wanaziendesha more than 50yrs!!,upumbavu ni mtaji wa royal families
 
Eti Sugu nae sasa ( siku hizi ) anaitwa Bilionea. Najua kuwa Sugu ana Hela ( GENTAMYCINE simfikii ng'o ) ila bado hana Hadhi ya Kuitwa Bilionea unless labda hatujui maana ya Bilionea au tunahitaji Msaada wa Kiufafanuzi kutoka BAKITA na BOT juu ya maana na dhana nzima ya neno Bilionea na Mtu Kuitwa Bilionea.

Kwangu Mimi Sugu akiitwa Mfanyabiashara au Mjasiriamali mwenye Mafanikio nitakubali tena kwa 100% ila leo hii kumuita Sugu Bilionea ni Kulidharau neno husika na Kuwadharau wale Mabilionea hasa kama akina Bakhressa, Mo Dewji, Rostam, GSM na wengineo baadhi.
Wee mburula bilioni ni sawa na milioni elfu moja. Sasa je thamani ya hoteli ya Sugu haifiki?

Wivu tu unakusumbua!
 
Pumbavu wewe unayo?,kabla ya kulalama kodi yako inavyoliwa kwenye lile jengo lenye Serena Hotel Dsm wewe unakazana kulalama jinsi mwanaume mwenzako alivyotumia akili na kujenga hotel, lile jengo ni wanabadilisha majina wa waendesha hotel ,kuonekana ni wawekezaji wapya na nchi inapoteza kodi, jiulize why SHERATON HOTELS waliondoka?,duniani kuna hotel bado SHERATON wanaziendesha more than 50yrs!!,upumbavu ni mtaji wa royal families

Acha ufala wako wewe pumbavu sana! Wewe unaniuliza mimi kuwa ninayo? Ile siyo hoyel kwa taarifa yako bali ni kahoteli tu! Mbupu zako wewe!
Nakuonea huruma inaonesha wewe hujaenda shule hata ya Kata hapo! Ndiyo maana bado unashangaa mambo ya Sheraton hotel ! Kenge wewe popoma!
 
Acha ufala wako wewe pumbavu sana! Wewe unaniuliza mimi kuwa ninayo? Ile siyo hoyel kwa taarifa yako bali ni kahoteli tu! Mbupu zako wewe!
Nakuonea huruma inaonesha wewe hujaenda shule hata ya Kata hapo! Ndiyo maana bado unashangaa mambo ya Sheraton hotel ! Kenge wewe popoma!
You feel better now!
 
Back
Top Bottom