Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Kwanza kile ni kitoto kidogo sana kwangu, nnahisi hata mwanangu wa kwanza ni mkubwa kwa yule.
Pili, hana vigezo.
Kweli usilolijuwa ni usiku wa kiza. Sikulaumu.
Alaa, basi mie nilidhani bucha zote maini radha sawa ati!
majukumu yalinibana sananilikuwa mnyonge sana humu JF ulikuwa wapi jamani miss chagga
Nao wananchi wa Mbeya Mjini nao hamnazo, utamchaguaje mwendawazimu kama Sugu anayetembea na kuzaa na hamnazo kama Faiza? Mwanaume mwenye akili sawa sawa hawezi kufuata malaya kama yule. Huu ni wakati wa wana Mbeya kujipima ili Oktoba ikifika muamue mambo ya maana. Tupa mbali sugu na Faiza.
pouwa mkuupoa pambana sana miss chagga
naweza kukubaliana na mahakama kwa upande wa kipato..kwamba faiza hana kipato cha kumlea mtoto vizuri..lakini kwa aadili,sioni kama sugu ana maadili mazuri kushinda ya mama yake.wanasema anapulizaga kwa sana..sasa unadhani kwa mazingia hayo mtoto yuko kwenye mikono salama?..shughuli za kibunge zilivyo sugu lazima awe ana safiri sana na muda mwingi hayuko nyumbani,je atakua anaandamana na mtoto?..akimwacha hao anaowaachia ana uhakika mtoto atakua salama zaidi kuliko mkononi mwa mama yake?..ningekua shangazi wa mtoto ningeomba tuyajadili kama familia...kw aajili uya mtoto na sio kupelekana mahakamani maana naamini ina athari kwa saikolojia ya mtoto....still naamini hakuna mtu anaweza mpenda mtoto kuliko mama yake mzazi!...miezi tisa tumboni si mchezo..labour sio mchezo
Faiza amehojiwa na wanaharakati na hizi ni hoja zake:
1.kwamba sugu nae hafai kuwa baba kwasababu ni mvuta bangi (hili wana hip hop wenzake mtasaidia)
2. Sugu si mkaaji nyumbani so mtoto ataishi kwa bibi au mama sugu. Hapa kuna madogo ambao wamekuwa wakimlala Dada Wa kazi kwa mpigo kiasi kwamba baba hajulikani kati yao. Hivyo pia si salama kwa ustawi Wa mototo.
3.Kwamba home kwa sugu daily kunaingia Dada poa. Hili pia si salama kwa makuzi ya mtoto.
4. Toka waachane sugu hajawahi toa matumizi ya mtoto na hata shule hajui mtoto alikuwa anasoma shule gani. Faiza anahoji Inakuwaje baba Wa namna hii asiyejali mtoto akabidhiwe mtoto ambae hamjali?
5. Kama kigezo ni mavazi tu basi amekubali atajirekebisha.
6. Kwamba swala hili limeibuka wakati mh. Sugu alipoombwa child support.
7. Kwamba hata ujauzito Wa Sasha sugu alitaka utolewe ila faiza alikataa baada ya sugu kuwa amempa mimba tatu mwanzo ambazo zote alilazimisha zitolewe.
8. Kwamba sugu ni mdhalilishaji (m...la...w...i...tiiiiii) Wa wanawake (mifano IPO. MF. Shy rose, binti Wa Sweden, faiza n.k). Sasa baba mdhalilishaji anawezaje kuwa mlezi bora.
Duhh kama usemayo faiza ni kweli basi huyu mtoto mpelekeni pale SOS mawasiliano akalelewe pale. Manake kila mahali ni moto.
haya majina ya faiza ni sheedah
Daaaaaahh!!
Asante nimeiona hiyo post #98 .
Umejua kupangua mpira wa penalt!!!!!!!!!!
Binafsi nilitaka kushangaa kwani sitegemei mtu kama wewe unaweza kufanya mambo kama hayo ya huyo mwenye jina linalofanana na lako.
wewe ni mtu makini hata hapa katika post zako unaonekana.
Honngera sana, endelea hivyo hivyo.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Huyu mwanamke aikua akifanya makusudi kumdhalilisha Mbunge, mbona zamani hata kabla yakuzaa hakuwahi kufanya hivyo...Imekula kwake
Kwanza kile ni kitoto kidogo sana kwangu, nnahisi hata mwanangu wa kwanza ni mkubwa kwa yule.
Pili, hana vigezo.
Kweli usilolijuwa ni usiku wa kiza. Sikulaumu.
kwa mwandiko wako humu huna miaka 40..prove me wrong