mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,791
Soma post namba 98
Daaaaaahh!!
Asante nimeiona hiyo post #98 .
Umejua kupangua mpira wa penalt!!!!!!!!!!
Binafsi nilitaka kushangaa kwani sitegemei mtu kama wewe unaweza kufanya mambo kama hayo ya huyo mwenye jina linalofanana na lako.
wewe ni mtu makini hata hapa katika post zako unaonekana.
Honngera sana, endelea hivyo hivyo.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!