Soma post namba 98
ukisoma comments za wadada humu utagundua aina ya wamama tulionao kwa maisha ya sasa.
huwezi kuwa unategemea mtoto ndio awe mtaji wa kukufanya wewe uishi na kufanya ujinga mwingine.
mtoto wa kike hawezi hata siku moja kulelewa na mama wa hivi utegemee atakuwa na maadili yoyote kwa jamii.
ni aibu kumtetea mama wa hivi ati kisa ni mwanamke mwenzio
niko pouwa sanaukiona wanawake wanaotetea huu ujinga ulikuwa unafanyika huyu faiza basi ujue hata hao wana tabia mbaya kama huyo mwanamke .mwanamke una mtoto wa kike halafu unakuwa na tabia kama hizi za faiza unategemea mtoto wako atakuja kuwa na tabia gani. miss chagga mtani wangu uko poa .
duh basi ale jeuri yakeMshiki kwema huyo bibie hela za matumizi alikua analia bata 2....istoshe alikua anafanya vituko kwa makusudi y b4 hakua anafanya hvyo.wangapi wanaachwa n maisha yanaenda sio yeye anajifanya kadata
nimeona niulize mkuuUnauliza majibu kwenye hizi
Mahakama zetu hizi???????
naweza kukubaliana na mahakama kwa upande wa kipato..kwamba faiza hana kipato cha kumlea mtoto vizuri..lakini kwa aadili,sioni kama sugu ana maadili mazuri kushinda ya mama yake.wanasema anapulizaga kwa sana..sasa unadhani kwa mazingia hayo mtoto yuko kwenye mikono salama?..shughuli za kibunge zilivyo sugu lazima awe ana safiri sana na muda mwingi hayuko nyumbani,je atakua anaandamana na mtoto?..akimwacha hao anaowaachia ana uhakika mtoto atakua salama zaidi kuliko mkononi mwa mama yake?..ningekua shangazi wa mtoto ningeomba tuyajadili kama familia...kw aajili uya mtoto na sio kupelekana mahakamani maana naamini ina athari kwa saikolojia ya mtoto....still naamini hakuna mtu anaweza mpenda mtoto kuliko mama yake mzazi!...miezi tisa tumboni si mchezo..labour sio mchezo
kwa kweli kwa sababu kesi zao upelelezi miaka kumi ila huu duh wiki tu jibu tayari... nimegundua kumbe wanatufanyiaga makusudiAisee.... kweli CCM imeharibu wengi.
Nao wananchi wa Mbeya Mjini nao hamnazo, utamchaguaje mwendawazimu kama Sugu anayetembea na kuzaa na hamnazo kama Faiza? Mwanaume mwenye akili sawa sawa hawezi kufuata malaya kama yule. Huu ni wakati wa wana Mbeya kujipima ili Oktoba ikifika muamue mambo ya maana. Tupa mbali sugu na Faiza.
ha ha haa ha angetumia vidolenadhani mmesahau kuwa kuna siku aliandika ajafanywa siku nyingi, huyo bint anamatukio ya kishetani
Nnadhani wanamaanisha njiwa manga anavyoruka, kumkamata ni shida sana.
aisee nisingeweza vumilia kwa kweliMie ni muumini wa kutetea kuhusu mahusiano ya mavazi na tabia ya mtu, lakini kwa huyu bidada na pamba zake hata kama ni mama bora inakuwa ngumu kuamini kama anatekeleza majukumu yake vizuri (ukitaka kuhoji vizuri embu fanya assumtion huyo alikuwa mke wa kaka yako au mwanao uone kama itakuwa sawa)
ukisoma comments za wadada humu utagundua aina ya wamama tulionao kwa maisha ya sasa.
huwezi kuwa unategemea mtoto ndio awe mtaji wa kukufanya wewe uishi na kufanya ujinga mwingine.
mtoto wa kike hawezi hata siku moja kulelewa na mama wa hivi utegemee atakuwa na maadili yoyote kwa jamii.
ni aibu kumtetea mama wa hivi ati kisa ni mwanamke mwenzio
Sasa kwa uvaaji huu unamuachiaje huyu mwanamke mwanao?
..lakini kwa aadili,sioni kama sugu ana maadili mazuri kushinda ya mama yake.wanasema anapulizaga kwa sana..
kwanza tuulize yeye mh walikutana wapi.... isiwe wakati ule mh. akkitwa sugu ilikua poa tu sasa imekua shidaaa
Dada Faiza kuna wakati nilidhani wewe ndio something ya Sugu, kumbe sio! Ila nahisi mnge-match vizuri, maana na wewe kwa hoja kama mwanasiasa!
Kwanza kile ni kitoto kidogo sana kwangu, nnahisi hata mwanangu wa kwanza ni mkubwa kwa yule.
Pili, hana vigezo.
Kweli usilolijuwa ni usiku wa kiza. Sikulaumu.