Sugu awatukana waandaaji wa fiesta kwenye facebook




nyie ndo mnaosababisha wabunge waitwe waheshimiwa na waonekane km miungu watu kwenye jamii kwa sababu ya huu use..nge wa kuwa na nidhamu ya woga, acheni izo bwana, waoneni km watu wa kawaida ili wasipitishe misheria yao mibovu yakujilipa masurufu kibao.
 
Yanayoitwa Matusi yanakuwa matusi kulingana na mtu anavyoyachukulia. Hivi tulipoambia ni bora tule nyasi hayakuwa matusi? Walipodai kila mtu atakula kwa jasho lake ihali wao ndiyo wanakula kwa jasho letu hayakuwa matusi? ******* wanabak kuwa ******* tu hata Sugu asingesema, wezi wakubwa hawa, badala ya kuwafundisha watoto wa kike kuimba, wanawala kwanza unyumba, tena wawadanganye wazungu kuhusu hyo THT wabongo washashtuka.
 
Wakuu lets be fair, Sugu ni binaadamu kama mimi na wewe anakosea na anapatia isiwe issue kubwa namna hiyo. Kwani hatuyakumbuki ya Ngeleja pale ATM matusi aliyongurumisha na ni waziri? Sofia Simba je? n.k. kwahiyo tumtakie mema.
 
Msimamo wa Sugu kuhusu Fiesta ni Msimamo wa Chadema! Hata lugha ya Mr Sugu kuwa waandaaji wa Fiesta ni Wase.nge ni baraka za Kamati Kuu ya Chadema!
 
Kosa la jinai kutukana watu, wamchukulie hatua za kisheria.
 
Tuacheni ushabiki, maneno aliyosema Sugu ni utovu wa nidhamu kwa wapiga kura wake ambao wengi walihudhuria hilo tamasha. Hatuwezi kuwa na viongozi wa namna hii ambao hawana subira na stara kwa yale wanayoyaamini au labda Sugu hafanani na status yake?
magamba mna shida nyie! status ipi? Mr Sugu aligombea akiwa msanii na alipiga kampeni kisanii na wananchi wakamuelewa wakampa kura za kimbunga...tatizo lenu magamba ni unafiki...mnafikiri kufuga vitambi vikubwa na kusinzia bungeni kama wa..si...ra...na Kooomba...ndo uwakilishi???
today nikiambiwa nichague kati ya mr Sugu na wa.si.ra kuwa wawakilishi wangu nitachagua mr sugu....
by the way mbona mnataka kuaminisha watu kuwa fiesta ni ya ccm??? na kwa mtaji huo msiende arusha mtaabika kwa sana tu..
 
kuna wa2 wapo kwa nia ya kuchafua wa2,ile sio account ya sugu kuna boya mmoja ndo ameitengeneza na kutumia kwa kuandika upumbavu,we cdm ha2na wajinga wanamna ho
 

Schwazenegger alikuwa movie star kabla ya kuwa governor. Alipokuwa governor alishawacha acting.
 
Kwa hiyo ukiwa na hamu ya kumtukana mwalimu shuleni umtukane tu, ukiona system ya baraza la mitihani inakunyanyapaa mwanafunzi, wakati wa kujibu masuala yale jaza matusi au vipi? Si tunaweka hisia wazi ya nini kuficha?
Baraza la mitihani linanihusu nini mimi mkulima wa Mchichira? au matusi ya mbunge kwenye maswala yake yanatuathiri vipi sisi huku kwetu? Sisi tunaumizwa sana na maneno matamu na yenye busara yanayotumiwa na wezi wakubwa wanaotudhurumu kila uchao korosho zetu na ufuta tunaolima kwa gharma kubwa. Majizi yanayotumia maneno mataumu kujilimbikizia posho wakati akinamama zetu wanaahidiwa bajaji kupelekewa vituo vya afya ambako hata huduma hazipo. Kama matusi ya mbunge huyo yataleta ukombozi kwa vijana wenzake basi ni bora kuliko maneno mazuri yanayo endeleza umaskini.
 

Mwanafalsafa nakuhurumia kwa kuzozana na watu ambao hata maana ya lugha ya kistaarabu hawaielewi. Kila siku tunaona wabunge na wawakilishi wa nje wakifanya maskandali kidogo tu wanajiuzulu, leo kwetu hapa wanaona mbunge kutoa mitusi ndiyo sifa. Sifa gani hiyo?
 
Jamani ee! Mr Sugu hafanyi usanii wala ubunge mnaosema, mr sugu anaeleza uhalisia wa hao awasemao kwamba ni.....!nyie mnataka awapongeze ? hapa hakuna kutafuna maneno kama vile wizi fulani kuuita takrima! sugu yupo ndani ya mstari ,asiependa kutukanwa kwa mdomo na wao wasitukane kwa vitendo vyao vya kis ........e! na anaetaka kurudisha kadi akatafute na wenzake 1000 na hamna shida!
 
Kakosea Sugu, aangalie sana maneno anayoyasema sasa yasije kum cost huko mbele
 
Hapa nilipo nasikiliza wimbo wa ROMA unaokwenda kwa jina la mathematics kuna kipande kinasema sirudishi kadi kama na Nakaya...hivyo mjinga kama wewe ukirudisha siyo tatizo...
 
Kakosea Sugu, aangalie sana maneno anayoyasema sasa yasije kum cost huko mbele
Hivi unajua hao clouse FM wanavyo wafanyia uhuni wasanii mimi naona acha awape tena kama ananafasi siku wakija Arusha aje tutamuunga mkono...
 
Huyu jamaa aangalie sana na chadema inabidi wamsaidie huyu sugu sivyo jimbo hilo litawatoka mwaka 2015
Nani kakwambia kuwa jimbo ni miliki ya mtu mmoja au nilazima agombee yeye tu? mbona haya ni mawazo mgando. Mbeya ni jiji lenye watu kibao.
 
Nimeipenda sana
 
Wakuu lets be fair, Sugu ni binaadamu kama mimi na wewe anakosea na anapatia isiwe issue kubwa namna hiyo. Kwani hatuyakumbuki ya Ngeleja pale ATM matusi aliyongurumisha na ni waziri? Sofia Simba je? n.k. kwahiyo tumtakie mema.
Hata Batrida Burian alisha nitukana baada ya kumuonyesha vidole viwili...
 
Acheni porojo zenu nyie, mnaposema kwa wadhifa alio nao hakustahili kuongea vile mlitaka aongee vipi?
Ni yupi shujaa kwenu? Sugu aliyewatukana mafisadii? Au Mafisadi wanaotumia kauli nzuri na nafasi zao kwafilisi na kuwafukarisha watanzania?
Sgu ni mfano wa kuigwa, anaishi kile anachokiamini, achana na wale wakati wa kuchangia miswada wanajifanya wana uchungu na nchi kwa kuwashambulia wa upande wa pili halafu wakitoka kwenye vikao vya bunge kumbe ni maswahiba wakubwa, lakini sivyo kwa sugu na ndiyo maana alimchaana live January Makamba pale January alipojaribu kujichekesha ili kujenga ukaribu, hiyo ndiyo inatakiwa......ikibidi ngumi, siyo malumbano marefu ambayo hayatupeleki kokote zaidi ya kutuacha na unyonge na ujinga wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…