Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Lini?Utuwekee mapicha picha ya Lissu alipofanya Ziara USA na kutikisa dunia😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini?Utuwekee mapicha picha ya Lissu alipofanya Ziara USA na kutikisa dunia😂😂😂
Atakutana na TrumpAsimsogelee Trump huko sababu Hana hamu nasi waafrika
Basi bana. Tuwekee za FAM. DahLini?
Samia muhongaji mzuri!Mama hela zake kawapa akina Shilole
Kwa maana hiyo mkuu unamaanisha marekani wanatibu uchawi? hadi shigongo kapona duuh.Shigongo kaenda US Kutibiwa baada ya kulogwa kwao lakini karudi kaitisha na Waandishi wa Habari! Porojo kibaaaooo
Unashangaa nini?Kwa maana hiyo mkuu unamaanisha marekani wanatibu uchawi? hadi shigongo kapona duuh.
Hujui hata unachokitaka!Basi bana. Tuwekee za FAM. Dah
Kumbe na marekani kuna wakina sangoma wa kutibu uchawi.Unashangaa nini?
Mama akienda kukutana na wazungu mnamsimanga. Ila nyie aa ni ushujaa.Kama tungekuwa na watu kama hawa angalau 100 tu Nchini Tanzania, Nakuhakikishieni Nchi yetu isingekuwa na Chawa hata mmoja
Mama kishaacha kukutana na Wazungu kitambo, yuko na Waarabu na WachinaMama akienda kukutana na wazungu mnamsimanga. Ila nyie aa ni ushujaa.
Hajitambui kama kwa anacho fanya na ye ni CHAWA TU.Mkuu, hapa n nchi gani hy unaizungumzia?
Isije ukawa hutaki machawa afu ww ndo ukawa kiongozi wao.
Aminia sana Kwa kamanda Sugu.The hustle is real. Mbeya mjini should elect this dude again, and not that bitch-ass bootlicker of Samia and CCM member, Tulia Akson who she's there because of Magufuli's favor.Huyu jamaa ni zaidi ya Royal Tour, ziara yake ya siku chache tena bila gharama kubwa ya kuumiza Nchi, Imezaa matunda ya kutisha!
Hapa akiwa na Mbunge wa Jimbo
View attachment 3259149
Hapa akiwa na Mstahiki Meya
View attachment 3259151View attachment 3259152View attachment 3259153View attachment 3259154
Jana nimetazama documentary kuhusu yule jamaa aliyetaka kumpindua tshekedi, nikagundua kuwa kwa afrika ni muhimu kupiga picha na wazungu ili ...Kama tungekuwa na watu kama hawa angalau 100 tu Nchini Tanzania, Nakuhakikishieni Nchi yetu isingekuwa na Chawa hata mmoja
Matunda yepi hata huyataji.Huyu jamaa ni zaidi ya Royal Tour, ziara yake ya siku chache tena bila gharama kubwa ya kuumiza Nchi, Imezaa matunda ya kutisha!
Hapa akiwa na Mbunge wa Jimbo
View attachment 3259149
Hapa akiwa na Mstahiki Meya
View attachment 3259151View attachment 3259152View attachment 3259153View attachment 3259154
Cc CHADEMA ya Lissu tunajua tunachokitaka; sio ww chawa wa Mbowe.Hujui hata unachokitaka!
Mama yeye anafanikisha magoli ya simba na yanga.Pongezi kwa mama kwa kufanikisha ziara ya sugu.
Chadema watoe ahadi ipi ilihali maliasili zote ccm imegawa kwa warabu mkuuZelenski amehaidi 50% ya rare earth minerals. Ndio apatiwe msaada.
Sisi CHADEMA tutatoa ahadi zipi. Tambua mkoa wa mbeya umebarikiwa na rare earth minerals, labda hata kuishinda Ukraine.
Sugu mnafikiri atatoa ahadi zipi kufanikosha azma yake ya kupata misaada?ðŸ’
Ili uteuliwe Balozi kuwakilisha Tanzania kigezo cha kwanza ni koneksheni, cha pili ni ukoo wa kiongoziCha ajabu kuna mabalozi wengi huko wasiojua nini wanakifanya.