Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Hakuna Chawa TajiriMatunda yepi hata huyataji.
Chawa at work.
Chawa kwenye 1&2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Chawa TajiriMatunda yepi hata huyataji.
Chawa at work.
Chawa kwenye 1&2
Mmarekani wa sasa bila ya quid pro quo hutoboi. Na huo ndio ukweli.Chadema watoe ahadi ipi ilihali maliasili zote ccm imegawa kwa warabu mkuu
Hahaha. Nch hii ina wajinga wengi sana. Wame personalize zile pesa za halmashauri na kuziita za mama. PumbavuMama hela zake kawapa akina Shilole
Mbona kwenye ofisi yake anaweka sanamu la MLK?Asimsogelee Trump huko sababu Hana hamu nasi waafrika
yaaani wewe huo uchawa wako ni zaidi ya hao chawa wenyewe naona wewe ni kunguni kabisa , hebu tuambie sugu ziara yake imezaa matunda gani ? yaaani kusimama na hao wazungu basi wewe unaona ni matunda yaaani ushamba ni kama mzigo wa mavi kila unakoenda unazomewa tu na nzi ndiyo kama wewe Erythrocyte ni kama hujuwi unachokiongea tuonyeshe matunda aliyozalisha sugu na safari yake ya kupigia picha na wazunguKama tungekuwa na watu kama hawa angalau 100 tu Nchini Tanzania, Nakuhakikishieni Nchi yetu isingekuwa na Chawa hata mmoja
kupiga picha na wazungiu ndiyo matunda ya kutisha kwa chadema halafu sasa cha kuchekesha sugu wala haongelei chadema huko yupo na mambo yake tuUsiondoke JF
wahuni tu hao wameenda kupoiga picha ila chawa wanasema kaupiga mwingiZelenski amehaidi 50% ya rare earth minerals. Ndio apatiwe msaada.
Sisi CHADEMA tutatoa ahadi zipi. Tambua mkoa wa mbeya umebarikiwa na rare earth minerals, labda hata kuishinda Ukraine.
Sugu mnafikiri atatoa ahadi zipi kufanikosha azma yake ya kupata misaada?💭
Kumbe wewe!! basi hayayaaani wewe huo uchawa wako ni zaidi ya hao chawa wenyewe naona wewe ni kunguni kabisa , hebu tuambie sugu ziara yake imezaa matunda gani ? yaaani kusimama na hao wazungu basi wewe unaona ni matunda yaaani ushamba ni kama mzigo wa mavi kila unakoenda unazomewa tu na nzi ndiyo kama wewe Erythrocyte ni kama hujuwi unachokiongea tuonyeshe matunda aliyozalisha sugu na safari yake ya kupigia picha na wazungu
Basi aweke orodha ya migodi atayompa , maana Trump mroho kwa mali za watuAtakutana na Trump
Umeisha sahau alivyotutukana kua tunatoka kwenye nchi za ...........Mbona kwenye ofisi yake anaweka sanamu la MLK?
Chawa wa Mbowe huyo, nadhani baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi atakuwa amegeukia kwa Lissu.Mkuu, hapa n nchi gani hy unaizungumzia?
Isije ukawa hutaki machawa afu ww ndo ukawa kiongozi wao.
Sugu anaweza kutoa mali za Nchi kwa Wageni?Basi aweke orodha ya migodi atayompa , maana Trump mroho kwa mali za watu
Hakuna Tajiri ChawaChawa wa Mbowe huyo, nadhani baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi atakuwa amegeukia kwa Lissu.
Sasa n matunda gn hayo yatapatikana kwenye nchi baada ya sugu kukutana na hao watu hukoSugu anaweza kutoa mali za Nchi kwa Wageni?
Wewe Chawa wa Mbowe. Sijamuongelea tajiri Mbowe nimekuongelea wewe.Hakuna Tajiri Chawa
Mimi ni Tajiri pia, Huyo Mwamba Tulikutana naye Wimbledon kwenye kongamano la Diaspora.Wewe Chawa wa Mbowe. Sijamuongelea tajiri Mbowe nimekuongelea wewe.
Aliongea ukweli lwa hilo apewe maua yake lakini sio nchi zote za Afrika ni "shit holes"Umeisha sahau alivyotutukana kua tunatoka kwenye nchi za ...........