Sugu azidi kutikisa Marekani, Atafuta uwekezaji kwenye Afya na Utalii

Chadema watoe ahadi ipi ilihali maliasili zote ccm imegawa kwa warabu mkuu
Mmarekani wa sasa bila ya quid pro quo hutoboi. Na huo ndio ukweli.

Hata hao CCM huko Uarabuni, hawakugawa tu hizo maliasili, BURE.
 
Kama tungekuwa na watu kama hawa angalau 100 tu Nchini Tanzania, Nakuhakikishieni Nchi yetu isingekuwa na Chawa hata mmoja
yaaani wewe huo uchawa wako ni zaidi ya hao chawa wenyewe naona wewe ni kunguni kabisa , hebu tuambie sugu ziara yake imezaa matunda gani ? yaaani kusimama na hao wazungu basi wewe unaona ni matunda yaaani ushamba ni kama mzigo wa mavi kila unakoenda unazomewa tu na nzi ndiyo kama wewe Erythrocyte ni kama hujuwi unachokiongea tuonyeshe matunda aliyozalisha sugu na safari yake ya kupigia picha na wazungu
 
wahuni tu hao wameenda kupoiga picha ila chawa wanasema kaupiga mwingi
 
Kumbe wewe!! basi haya
 
Kaniangusha tu kidogo hapo Mhe Sugu kwenye uvaaji. Hicho kifungo cha chini kwenye koti huwa hakifungwagi. Au angeacha vyote bila kuvifunga. Anyway hongera zake sana!
 
Vijana wa ccm wanashangaa tunapataje hizi koneksheni bila kulamba miguu ya Wakubwa!
 
Wewe Chawa wa Mbowe. Sijamuongelea tajiri Mbowe nimekuongelea wewe.
Mimi ni Tajiri pia, Huyo Mwamba Tulikutana naye Wimbledon kwenye kongamano la Diaspora.

Mimi siyo Kapuku wa kuvalishwa kofia za SSH au fulana za Mama ongea na mwanao wanazovaa akina Shilole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…