dadamlamayao
JF-Expert Member
- Nov 1, 2022
- 243
- 841
Nadhani wewe ni miongoni mwa vijana wapuuzi kwa mwaka 2022,sasa shida ya Sugu hapo ni nini??mwaka mzima huu umeongoza kwa kuanzisha nyuzi kuilalamikia Sekretarieti ya Ajira na kuhudhuria Sahili zao nyingi DODOMA na zote umepigwa NDOIGE[emoji1787][emoji1787]tafuta Pesa nawe ukatikiwe hivyo,acha malalamishi kila siku JF,ukosefu wako wa Ajira usilete makasiriko kwenye starehe za watuKwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.