Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaa yule mtu ni freemason bila chenga ,anaekataa na akatae...Uzi huu unamhusisha sugu, sio huyo freemason
Vipi kuhusu trump wa marekani ubunge wa SUGU ni haki yake kikatiba pia utambue utajiri ni matokeo ya nidhamu ya mtu binafsi .....aheshimiwe Mr suguKama bilionea bungeni anafata nini?
Mzee usilinganishe ulaya na Tanzania huko wana mifumo imara hakuna Magumashi..........hivi bilionea aende kusubiri M12 kwa mwenzi pale bungeni hakuna bilionea mzee ....ela zenyewe za ubunge ikifika uchaguzi zinatumuka kuhonga wajumbe.Bungeni mabilionea hawaendi kutafuta mishahara na marupurupu. Wanaenda kufanya lobbying na kutafuta political mileage ili wawe na ulinzi kwenye biashara zao kusudi wakifanya figisu iwe rahisi kuchomoka, wapate tenda za serikali, wapendelewe na wawe na ulinzi dhidi ya wapinzani.
Silvio Berlusconi alikuwa PM wa Italy akiwa bilionea mkubwa, Trump kawa Rais wa Marekani akiwa bilionea, Thaksin Shinawatra wa Thailand alikuwa PM akiwa bilionea na kamiliki club ya Manchester City. Na mifano mingi hata hapa nchini. Hata huyu Gwajima hajaenda bungeni kutafuta mishahara bali ana deals zake sio mahala pake hapa.
Suala rahisi sana kuelewa ila sio kwa watu wanaotuma habari kwa huyo 'da Mange'
No dewj mbunge?Kwani modewj alifuata nini?
Marekani unalinganisha na Bongo?Vipi kuhusu trump wa marekani ubunge wa SUGU ni haki yake kikatiba pia utambue utajiri ni matokeo ya nidhamu ya mtu binafsi .....aheshimiwe Mr sugu
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nimekuuliza alifuata nini?No dewj mbunge?
Akili yako na utajiri viko mbali sana ndugu yangu. Kuna watu hela hawana ila angalau akili ya hela wanayo na wanaelewa mawili matatu kuhusu uwezo kiuchumi. Ila wewe reasoning yako hamna kitu kuhusu uwezo wa kifedha. Unadhani hela ni yale maburungutu ya fedha tu na hakuna kingine.Mzee usilinganishe ulaya na Tanzania huko wana mifumo imara hakuna Magumashi..........hivi bilionea aende kusubiri M12 kwa mwenzi pale bungeni hakuna bilionea mzee ....ela zenyewe za ubunge ikifika uchaguzi zinatumuka kuhonga wajumbe.
Kuna swala la CRDB..Akijibu tutajuwa ukweliSugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Swali mbona rahisi MO ni mbunge?Nimekuuliza alifuata nini?
Maneno meeengi point hamnaAkili yako na utajiri viko mbali sana ndugu yangu. Kuna watu hela hawana ila angalau akili ya hela wanayo na wanaelewa mawili matatu kuhusu uwezo kiuchumi. Ila wewe reasoning yako hamna kitu kuhusu uwezo wa kifedha. Unadhani hela ni yale maburungutu ya fedha tu na hakuna kingine.
Hata tofauti ya cheo/wadhifa na kazi hujui. Unahisi kila anayefanya kazi anasubiri kulipwa hivyo vimilioni unavyoona ni vingi. Sasa tafuta wafanyakazi wa halmashauri kama hizi za Dar umwambie aache hiyo kazi ya kulipwa milioni moja aje kampuni binafsi alipwe milioni nne uone kama atakubali. Au mtoe mtu kitengo bandarini aache kufanya internship ya bure aajiliwe na mshahara wa laki 9 uone anavyokataa.
Utajiongeza kwanini.
Au unadhani makampuni ya nje kama Voda, TBL na CRDB yakiwa listed DSE yakaunda bodi na kuwepo wanasiasa wenye ushawishi ila vilaza kwenye biashara wanakuwa wajinga. Una safari ndefu kutambua
Namjuwa kuliko unavyofikiriaKwani Sugu ana pesa gani sasa!? Au unadhan Faiza ni kinyonge eeh
Sugu fighterSugu mjanja kitambo hata akiwa na bilionea ni haki sishangai muheshimawa Mrangi.
Vijana wa sinza wengi wameharibika sahviPole sana unaonekana una wivu balaa
Mo sio mbunge kwasasa ila amewahi kuwa mbunge wakati huo anapesa ndefu sanaSwali mbona rahisi MO ni mbunge?