Sugu kataja ubilionea wake! Wengine igeni mfano!

Sugu kataja ubilionea wake! Wengine igeni mfano!

Watu wanajimix

Billionaire ni yule mwenye kitita cha 1 Billion USD kwenye bank account sio 1 Billion Tshs

Naomba ieleweke maana halisi ya Billionaire, hizo zingine ni faraja tu

I was here
I will be back
 
Okay sio mbaya kwa yeye na wadau wake..., ila binafsi ningependa kusikia zaidi akiongelea jinsi; Bongo Jua lilivyo la Utosi, Wasomi Wamejazana Hakuna Kazi Wengi Yamewakuta....

Au all is well ?!!!!
 
Bro huwa ana kaushamba flani hivi. Sasa naelewa ilikuwaje akajipata na yule BM wazimu. I'd understand if he flexed with a sick bar and what not.
 
Bungeni mabilionea hawaendi kutafuta mishahara na marupurupu. Wanaenda kufanya lobbying na kutafuta political mileage ili wawe na ulinzi kwenye biashara zao kusudi wakifanya figisu iwe rahisi kuchomoka, wapate tenda za serikali, wapendelewe na wawe na ulinzi dhidi ya wapinzani.

Silvio Berlusconi alikuwa PM wa Italy akiwa bilionea mkubwa, Trump kawa Rais wa Marekani akiwa bilionea, Thaksin Shinawatra wa Thailand alikuwa PM akiwa bilionea na kamiliki club ya Manchester City. Na mifano mingi hata hapa nchini. Hata huyu Gwajima hajaenda bungeni kutafuta mishahara bali ana deals zake sio mahala pake hapa.

Suala rahisi sana kuelewa ila sio kwa watu wanaotuma habari kwa huyo 'da Mange'
Mzee usilinganishe ulaya na Tanzania huko wana mifumo imara hakuna Magumashi..........hivi bilionea aende kusubiri M12 kwa mwenzi pale bungeni hakuna bilionea mzee ....ela zenyewe za ubunge ikifika uchaguzi zinatumuka kuhonga wajumbe.
 
Mzee usilinganishe ulaya na Tanzania huko wana mifumo imara hakuna Magumashi..........hivi bilionea aende kusubiri M12 kwa mwenzi pale bungeni hakuna bilionea mzee ....ela zenyewe za ubunge ikifika uchaguzi zinatumuka kuhonga wajumbe.
Akili yako na utajiri viko mbali sana ndugu yangu. Kuna watu hela hawana ila angalau akili ya hela wanayo na wanaelewa mawili matatu kuhusu uwezo kiuchumi. Ila wewe reasoning yako hamna kitu kuhusu uwezo wa kifedha. Unadhani hela ni yale maburungutu ya fedha tu na hakuna kingine.

Hata tofauti ya cheo/wadhifa na kazi hujui. Unahisi kila anayefanya kazi anasubiri kulipwa hivyo vimilioni unavyoona ni vingi. Sasa tafuta wafanyakazi wa halmashauri kama hizi za Dar umwambie aache hiyo kazi ya kulipwa milioni moja aje kampuni binafsi alipwe milioni nne uone kama atakubali. Au mtoe mtu kitengo bandarini aache kufanya internship ya bure aajiliwe na mshahara wa laki 9 uone anavyokataa.
Utajiongeza kwanini.

Au unadhani makampuni ya nje kama Voda, TBL na CRDB yakiwa listed DSE yakaunda bodi na kuwepo wanasiasa wenye ushawishi ila vilaza kwenye biashara wanakuwa wajinga. Una safari ndefu kutambua
 
Sugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.

Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Kuna swala la CRDB..Akijibu tutajuwa ukweli
 
Akili yako na utajiri viko mbali sana ndugu yangu. Kuna watu hela hawana ila angalau akili ya hela wanayo na wanaelewa mawili matatu kuhusu uwezo kiuchumi. Ila wewe reasoning yako hamna kitu kuhusu uwezo wa kifedha. Unadhani hela ni yale maburungutu ya fedha tu na hakuna kingine.

Hata tofauti ya cheo/wadhifa na kazi hujui. Unahisi kila anayefanya kazi anasubiri kulipwa hivyo vimilioni unavyoona ni vingi. Sasa tafuta wafanyakazi wa halmashauri kama hizi za Dar umwambie aache hiyo kazi ya kulipwa milioni moja aje kampuni binafsi alipwe milioni nne uone kama atakubali. Au mtoe mtu kitengo bandarini aache kufanya internship ya bure aajiliwe na mshahara wa laki 9 uone anavyokataa.
Utajiongeza kwanini.

Au unadhani makampuni ya nje kama Voda, TBL na CRDB yakiwa listed DSE yakaunda bodi na kuwepo wanasiasa wenye ushawishi ila vilaza kwenye biashara wanakuwa wajinga. Una safari ndefu kutambua
Maneno meeengi point hamna
 
Kwani Sugu ana pesa gani sasa!? Au unadhan Faiza ni kinyonge eeh
Namjuwa kuliko unavyofikiria
Mm najua alikuwa anatoka nje
Huku kavaa pichu kubwa tu kila
Mtu anamuona
Nyie mtu akishqfungua kiduka cha nguo za mchina bs bilionea

Ova
 
Back
Top Bottom