Sugu: TRA siyo CHADEMA, acheni janja janja lipeni kodi

Sugu: TRA siyo CHADEMA, acheni janja janja lipeni kodi

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Kudos wanajamvi.

Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.

Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwani TRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi ni Uzalendo.

Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo. Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.👍👍

Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo👇
Screenshot_20221231-135930.png
 
Alipe kodi hizo janja janja kamwe hazitomsaidia kabisa, TRA hawawezi kukudai nje ya wanachopaswa kupata haipo hiyo, kodi ulipe ya kuingiza magari utake kodi hiyo hiyo ndio uisemee kampuni ya betting, media, na muziki hapana domo aache janja janja
 
Back
Top Bottom