Sugu: TRA siyo CHADEMA, acheni janja janja lipeni kodi

Sugu: TRA siyo CHADEMA, acheni janja janja lipeni kodi

Kudos wanajamvi.

Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.

Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwaninTRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi Ni Uzalendo.

Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo,Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.👍👍

Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo👇
View attachment 2464348
Usilipe ukutane na mtiti😀😀😀
 
Hakuna kiti kama icho....ni notice inatoka inaenda kwa muhusika na financial institutions according to our laws,kuvamia maduka ni kitu kingine
Narudia kuuliza!

Je huo ndo ukusanyaji KODI Kwa AKILI alioelekeza Ndugu RAIS?
 
Kudos wanajamvi.

Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.

Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwaninTRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi Ni Uzalendo.

Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo,Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.👍👍

Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo👇
View attachment 2464348
Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!
 
Sugu kawaita Watanzania Niggaz.

Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Niga or negro kwa lugha rahis ni maneno yanayotumika kumrejelea mtu mweus labda uwe huna uelewa na maneno hayo yalitumika sana marekani miaka ya nyuma na nadhan mpaka sasa bado yanatumika though not to that extent.
 
Niga or negro kwa lugha rahis ni maneno yanayotumika kumrejelea mtu mweus labda uwe huna uelewa na maneno hayo yalitumika sana marekani miaka ya nyuma na nadhan mpaka sasa bado yanatumika though not to that extent.
Nenda leo Marekani na ukimuona African American yeyote mwite NIGGER uone kama utarudi ukiwa hai.
 
Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!
Sugu amekua muwazi kabisa amesema hapo kuwa wamepigia sana kelele hizo sheria kandamizi za kodi ila hawa kina Asake wa Tandale kazi yao kusifia kwa kudhani kuwa sheria hizi kandamizi zitaishia kuwaumiza wasio wanaCCM tu, na amesisitiza wamalize deni lao huko TRA waje kuongeza nguvu kudai mabadiliko ya sheria hizi kandamizi.

Msisubiri mpaka wanaCCM waumizwe ndiyo muanze kuyaona machungu wanayopitia wasio wanaCCM.

“Wakimalizana na sisi watageukiana wao kwa wao” by Lissu
 
Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!
Hayo ni maoni BINAFSI ya SUGU, na Si msimamo wa CDM,

Suala la KODI na Changamoto zake ni la kimfumo, anatakiwa alitizame Kwa upana wake,

Uadui binafsi wake na msanii usijumuishe kukandamiza wananchi Kwa mamilioni wanaolia Kila siku na manyanyaso ya TRA kuhusu Kodi za kubambikizwa.

TRA Wana TABIA saiz ya kudai Kodi za miaka Hadi 20 iliyopita wakati mtu ana Tax Clearance zikionesha hadaiwi.
 
Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!
shit is you and your ass at your home place unafikir chadema inashindwa kwa maneno ya wajinga wa ccm kama wewe au unafikir sugu alishindwa uchaguz 2020 au unafikir chadema inamtegemea huyo domo mkwepa kodi anayelalamikia mitandaon badala ya kwenda ofis za TRA halafu anasema yeye sio mkimbiz anaonekana ni empty kias gani toka lin mkimbiz akatozwa kodi hii inaonyesha hata status ya ukimbiz wewe na huyo domo mkwepa kodi hamuijui kwa taarifa yako Sugu anahotel kubwa hapo mbeya na hajawahi kulialia kuhusu kodi au huyo domo wenu huwa mnamuahidi kuwa apuyange na nyinyi kipindi cha kampen ili asilipe kodi kama huwa mnamuaminisha hivyo kodi lazima alipe na hio unayosema 2025 Sugu atachaguliwa kwa kishindo labda mpeleke jeshi zima huko la polis ili kumfichia aibu huyo bibi mwenye ugonjwa usio na dawa.
 
Kudos wanajamvi.

Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.

Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwaninTRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi Ni Uzalendo.

Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo,Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.👍👍

Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo👇
View attachment 2464348
Huyu nae ni mburula tu,anajiona mfanyabiashara,mziki ulimshinda,hakuweza kupata pesa,akaenda kwenye Siasa,akapiga pesa ya umma,kaanzisha hotel,anajiona bonge la mfanyabiashara!!
Watu wengi wanamtolea povu mond,sio kwa vile kawasema wapinzani,au halipi Kodi,kisa ni wivu tu,Dogo anapesa ndeefu,ambayo kaipata kwa jasho kupitia tasinia ya muziki iliyowashinda Hawa wakongwe njaa!Wanasikia uchungu,wao walianza gemu,wakatoka patupu,dogo kaja jana,amepiga pesa ndeefu,ana ukwasi,wao wanauona kwenye ndoto tu.
Hakuna anayejua msingi wa Malalamiko ya Mond kwa TRa,hakuna anayejua kama WCB inakwepa Kodi!!lakini watu wanatoa povu hatari!
Acheni chuki,ilibidi wasanii wawe kitu kimoja na Mond kujua nini kinaendelea kati ya WCB na Mapato!!kama Kuna uonevu uwekwe wazi,Ili kesho mtu mwingine asiwe victim,lakini Hawa motherfuckers wanaona huu ndio upenyo wa ku "settle scores"na Mond,
Mond kuwa pro ccm sio dhambi,
Kila mtu ana haki ya kisiasa.
 
Hayo ni maoni BINAFSI ya SUGU, na Si msimamo wa CDM,

Suala la KODI na Changamoto zake ni la kimfumo, anatakiwa alitizame Kwa upana wake,

Uadui binafsi wake na msanii usijumuishe kukandamiza wananchi Kwa mamilioni wanaolia Kila siku na manyanyaso ya TRA kuhusu Kodi za kubambikizwa.

TRA Wana TABIA saiz ya kudai Kodi za miaka Hadi 20 iliyopita wakati mtu ana Tax Clearance zikionesha hadaiwi.
Umenena vyema!
 
Niga or negro kwa lugha rahis ni maneno yanayotumika kumrejelea mtu mweus labda uwe huna uelewa na maneno hayo yalitumika sana marekani miaka ya nyuma na nadhan mpaka sasa bado yanatumika though not to that extent.

Nigga ni gheto boy, ghetto boy ni wale wezi, wahalifu, watu wa madawa ya kulevya yaani watu wa hovyohovyo, hiyo ndio maana yake, halafu unaemfafanulia yuko state kitambo japo hata sugu kakaa state sema analeta uselausela wake tu
 
shit is you and your ass at your home place unafikir chadema inashindwa kwa maneno ya wajinga wa ccm kama wewe au unafikir sugu alishindwa uchaguz 2020 au unafikir chadema inamtegemea huyo domo mkwepa kodi anayelalamikia mitandaon badala ya kwenda ofis za TRA halafu anasema yeye sio mkimbiz anaonekana ni empty kias gani toka lin mkimbiz akatozwa kodi hii inaonyesha hata status ya ukimbiz wewe na huyo domo mkwepa kodi hamuijui kwa taarifa yako Sugu anahotel kubwa hapo mbeya na hajawahi kulialia kuhusu kodi au huyo domo wenu huwa mnamuahidi kuwa apuyange na nyinyi kipindi cha kampen ili asilipe kodi kama huwa mnamuaminisha hivyo kodi lazima alipe na hio unayosema 2025 Sugu atachaguliwa kwa kishindo labda mpeleke jeshi zima huko la polis ili kumfichia aibu huyo bibi mwenye ugonjwa usio na dawa.
Eti ana hotel kubwa!aliipata wapi?akiwa MR 2,au akiwa Mheshimiwa Mbunge!!
It's not a rocket science,kukunja kiinua mgongo 200M+ukaanzisha hotel,Tena moja tu,
Angekuwa nazo kumi ingekuwaje?
Kipindi kile Cha Jiwe wakati wanatishia kuivunja,mbona Ali Lia Lia sana kama kweli ni kidume,fuckers
 
Eti ana hotel kubwa!aliipata wapi?akiwa MR 2,au akiwa Mheshimiwa Mbunge!!
It's not a rocket science,kukunja kiinua mgongo 200M+ukaanzisha hotel,Tena moja tu,
Angekuwa nazo kumi ingekuwaje?
Kipindi kile Cha Jiwe wakati wanatishia kuivunja,mbona Ali Lia Lia sana kama kweli ni kidume,fuckers
Kuivunja ndio kulipa kodi? Kichwa chako kimetulia kweli? Huyu amekwepa kodi, jiwe alitaka kuivunja kisiasa kama alivyovunja ya mbowe na pia mashamba yabowe kiuonevu. Anayekwepa kodi na anayevunjiwa kisiasa wapi na wapi
 
Diamond ndio kaanza kumuita afisa wa TRA ni CHADEMA. Ungeanzia hapo. Ndio maana Sugu kamjibu TRA sio CHADEMA.
Kwamba SUGU anatuma UJUMBE Kwa wanambeya wa Jimbo aliwahi kulitumikia kama mbunge,

Anawambia walipe KODI waache kulialia.

Namuomba AYAMEZE maneno yake kama ataweza, asipoweza basi ATUBU.

Manyanyaso ya TRA kuomba RUSHWA Kwa wananchi ni makubwa.
 
Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!

CHADEMA inaingiaje?. Ndio tatizo lenu mnapigwa nanserikali ya CCM ila lawama kwa CHADEMA. Na mtaendelea kupigwa tu mpaka muelewe. Diamond kafungiwa akauti na TRA kaanza kulia kuwa Kuna afosa wa TRA ni CHADEMA anataka kumgombanisha na mama Samiah.

Tatizo mnaiabudu na kuigopa CCM hata ikiwaonea mnatafuta njia ya kuilaumu CHADEMA. Diamond kafungiwa akaunti na TRA ila mtu anaitukana CHADEMA bullshit.

Huyo diamond kipindi Cha watu wasiojulikana alitunga wimbo yeye anakaa kimya. Leo kafungiwa akaunti kaanza kulia CHADEMA wanamuonea.
 
Back
Top Bottom