Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Mweusi kumuita mweusi mwenzie hamuonekani kama ni tatizo.Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Inataka kufanana na polisi mweusi akimuua raia mweusi kwa risasi na polisi mweupe akimpiga mtu mweusi kwa risasi