The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Million 700 Chungu kaona KivunoDogo analeta ujanja ujanja mpaka kwenye mambo ya kodi!! Kama anataka kuwa MKWEPA KODI, atuone babu zake tumfundishe. Kinyume na hapo alipe tu. Maana hakuna nqmna nyingine.
Mtu anavaa Cheni ya Million 900 analia Kodi ya Million 700 ni Tanzania pekeeDiamond alipe Kodi Tu,,tunataka ela ya kampeni 2025
Kuna mahala amenukuliwa HATAKI kulipa Kodi?
Unajua KAZI ya dawati la malalamiko kuhusu Kodi ktk Kila ofisi za TRA?
Kuna mahala amenukuliwa HATAKI kulipa Kodi?
Unajua KAZI ya dawati la malalamiko kuhusu Kodi ktk Kila ofisi za TRA?
Kufunga account za msanii huyo bila taarifa Kuna tofauti Gani na kuvamia Maduka ya kubadili fedha enzi za JIWE?
Tukiwambia kuhusu sheria bora za nchi na katiba Mpya wanasema Katiba Mpya haileti pesa. Sasa walipe kodi waache lulia lia.
Pesa alizovuna kwenye kampeni 2020 achangie maendeleo basiDiamond alipe Kodi Tu,,tunataka ela ya kampeni 2025
Hatuna tatizo na hilo.Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Tofauti Ni kwamba unafunga account kuzuia transactions Hadi hapo mhusika akijitokezaKufunga account za msanii huyo bila taarifa Kuna tofauti Gani na kuvamia Maduka ya kubadili fedha enzi za JIWE?
Huko ndo kukusanya Kodi Kwa AKILI alikoelekeza ndugu Rais?
Aah.Hatuna tatizo na hilo.
TRA: Together we build our Nation.
Tofauti Ni kwamba unafunga account kuzuia transactions Hadi hapo mhusika akijitokeza