Mweusi kumuita mweusi mwenzie hamuonekani kama ni tatizo.Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Vipi wewe siyo nigger?Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Kama anajua kuna dawati la malalamiko asingeyaleta malalamiko kwenye mitandao.Kuna mahala amenukuliwa HATAKI kulipa Kodi?
Unajua KAZI ya dawati la malalamiko kuhusu Kodi ktk Kila ofisi za TRA?
Hakuna kiti kama icho....ni notice inatoka inaenda kwa muhusika na financial institutions according to our laws,kuvamia maduka ni kitu kingineKufunga account za msanii huyo bila taarifa Kuna tofauti Gani na kuvamia Maduka ya kubadili fedha enzi za JIWE?
Huko ndo kukusanya Kodi Kwa AKILI alikoelekeza ndugu Rais?
Ni kawaida yetu maana hata waafrika wote tulishaitwaga shithole na Trump na maisha yakaendelea poa tu.Aah.
Basi mtapelembwa vyovyote vile.
Mshakubali.
Kwa hiyo umekubali nyie shithole countries?Ni kawaida yetu maana hata waafrika wote tulishaitwaga shithole na Trump na maisha yakaendelea poa tu.
Absolutely mkuu.Kwa hiyo umekubali nyie shithole countries?
Sawa.Absolutely mkuu.
Kiukweli ni kawaida kabisa mkuu.Sawa.
Basi kwa muktadha wako, hata hayo mambo ya TRA, Diamond, Sugu ni vurugu za kawaida katika shithole country.
Yani hakuna cha kushangaza.
Basi endeleeni hivyo hivyo maana mshakubali hali yenu.Kiukweli ni kawaida kabisa mkuu.
Usichepushe mada. Hakuna issue hapo!Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Hahaha... nadhan wanataka kuchukua ile aliyomkamua mmakondeMtu anavaa Cheni ya Million 900 analia Kodi ya Million 700 ni Tanzania pekee
Nchi inapokosa nidhamu kwenye mambo yanayoonekana madogo, kukosa nidhamu huko hujidhihirisha katika mambo ambayo yanaonekana makubwa.Usichepushe mada. Hakuna issue hapo!
Saizi hawachukui Bali wanafunga account ili ujitokeze kwenye mahojiamo yaani wakujulishe kosaJiwe alikua hazuii transaction alikua anachukua chote alichotaka kwenye akaunti yako yaani kwa mfano wamekuta milioni 100 wanakueleza wanachukua 50 wanakuachia 50 ndio ilikua biashara hiyo
Huyu kila kitu anaingiza siasa. Wakati mwingine anadhani anajenga kumbe anabomoa. Jinga kweli hili.Kudos wanajamvi.
Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.
Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwaninTRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi Ni Uzalendo.
Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo,Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.[emoji106][emoji106]
Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo[emoji116]
View attachment 2464348
Asake wa Tandale shule inamtatiza eti anasema anahisi huyo mtumishi wa TRA ni mpinzani ndiyo maana anataka kuifilisi Wasafi ili kumgombanisha na Mama 😂😂😂Dongo kwà Domo
Kuna yule Mataga wa Asake wa Tandale anaitwa sinza pazuri kwasasa anatapika damu kapata vidonda vya tumbo kisa tu boss amebananishwa kwenye kona ya kitanda na TRA.Yereyere, piga huyo chai jaba
Kwa taarifa yako Asake wa Tandale ndiyo kaingiza siasa kwa kusema kuwa anadhani kuwa kuna mtumishi wa TRA ni mpinzani ndiyomaana anaikomesha WasafiHuyu kila kitu anaingiza siasa. Wakati mwingine anadhani anajenga kumbe anabomoa. Jinga kweli hili.