Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Usilipe ukutane na mtiti😀😀😀Kudos wanajamvi.
Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.
Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwaninTRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi Ni Uzalendo.
Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo,Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.👍👍
Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo👇
View attachment 2464348
Narudia kuuliza!Hakuna kiti kama icho....ni notice inatoka inaenda kwa muhusika na financial institutions according to our laws,kuvamia maduka ni kitu kingine
Kawaida tu ila Mzungu akiita hivyo ndio atajua kumbe hamjui !Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!Kudos wanajamvi.
Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.
Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwaninTRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi Ni Uzalendo.
Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo,Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.👍👍
Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo👇
View attachment 2464348
Niga or negro kwa lugha rahis ni maneno yanayotumika kumrejelea mtu mweus labda uwe huna uelewa na maneno hayo yalitumika sana marekani miaka ya nyuma na nadhan mpaka sasa bado yanatumika though not to that extent.Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Nenda leo Marekani na ukimuona African American yeyote mwite NIGGER uone kama utarudi ukiwa hai.Niga or negro kwa lugha rahis ni maneno yanayotumika kumrejelea mtu mweus labda uwe huna uelewa na maneno hayo yalitumika sana marekani miaka ya nyuma na nadhan mpaka sasa bado yanatumika though not to that extent.
Sugu amekua muwazi kabisa amesema hapo kuwa wamepigia sana kelele hizo sheria kandamizi za kodi ila hawa kina Asake wa Tandale kazi yao kusifia kwa kudhani kuwa sheria hizi kandamizi zitaishia kuwaumiza wasio wanaCCM tu, na amesisitiza wamalize deni lao huko TRA waje kuongeza nguvu kudai mabadiliko ya sheria hizi kandamizi.Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!
Sugu kawaita Watanzania Niggaz.
Hakuna anayeona hilo kama tatizo?
Hayo ni maoni BINAFSI ya SUGU, na Si msimamo wa CDM,Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!
shit is you and your ass at your home place unafikir chadema inashindwa kwa maneno ya wajinga wa ccm kama wewe au unafikir sugu alishindwa uchaguz 2020 au unafikir chadema inamtegemea huyo domo mkwepa kodi anayelalamikia mitandaon badala ya kwenda ofis za TRA halafu anasema yeye sio mkimbiz anaonekana ni empty kias gani toka lin mkimbiz akatozwa kodi hii inaonyesha hata status ya ukimbiz wewe na huyo domo mkwepa kodi hamuijui kwa taarifa yako Sugu anahotel kubwa hapo mbeya na hajawahi kulialia kuhusu kodi au huyo domo wenu huwa mnamuahidi kuwa apuyange na nyinyi kipindi cha kampen ili asilipe kodi kama huwa mnamuaminisha hivyo kodi lazima alipe na hio unayosema 2025 Sugu atachaguliwa kwa kishindo labda mpeleke jeshi zima huko la polis ili kumfichia aibu huyo bibi mwenye ugonjwa usio na dawa.Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!
Huyu nae ni mburula tu,anajiona mfanyabiashara,mziki ulimshinda,hakuweza kupata pesa,akaenda kwenye Siasa,akapiga pesa ya umma,kaanzisha hotel,anajiona bonge la mfanyabiashara!!Kudos wanajamvi.
Legendary wa mziki na Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amewataka watu maarufu na Wananchi kwa ujumla kulipa Kodi.
Sugu amenukukiwa akisema watu waache janja janja kwaninTRA sio Chadema na kwamba kulipa Kodi Ni Uzalendo.
Asante Sana Sugu kwa kuonesha uzalendo,Sasa umekomaa kisiasa na unatambua kwamba Nchi Ni muhimu kuliko Vyama.👍👍
Kudos bwana Sugu kwa huu ujumbe wa kizalendo👇
View attachment 2464348
Umenena vyema!Hayo ni maoni BINAFSI ya SUGU, na Si msimamo wa CDM,
Suala la KODI na Changamoto zake ni la kimfumo, anatakiwa alitizame Kwa upana wake,
Uadui binafsi wake na msanii usijumuishe kukandamiza wananchi Kwa mamilioni wanaolia Kila siku na manyanyaso ya TRA kuhusu Kodi za kubambikizwa.
TRA Wana TABIA saiz ya kudai Kodi za miaka Hadi 20 iliyopita wakati mtu ana Tax Clearance zikionesha hadaiwi.
Niga or negro kwa lugha rahis ni maneno yanayotumika kumrejelea mtu mweus labda uwe huna uelewa na maneno hayo yalitumika sana marekani miaka ya nyuma na nadhan mpaka sasa bado yanatumika though not to that extent.
Eti ana hotel kubwa!aliipata wapi?akiwa MR 2,au akiwa Mheshimiwa Mbunge!!shit is you and your ass at your home place unafikir chadema inashindwa kwa maneno ya wajinga wa ccm kama wewe au unafikir sugu alishindwa uchaguz 2020 au unafikir chadema inamtegemea huyo domo mkwepa kodi anayelalamikia mitandaon badala ya kwenda ofis za TRA halafu anasema yeye sio mkimbiz anaonekana ni empty kias gani toka lin mkimbiz akatozwa kodi hii inaonyesha hata status ya ukimbiz wewe na huyo domo mkwepa kodi hamuijui kwa taarifa yako Sugu anahotel kubwa hapo mbeya na hajawahi kulialia kuhusu kodi au huyo domo wenu huwa mnamuahidi kuwa apuyange na nyinyi kipindi cha kampen ili asilipe kodi kama huwa mnamuaminisha hivyo kodi lazima alipe na hio unayosema 2025 Sugu atachaguliwa kwa kishindo labda mpeleke jeshi zima huko la polis ili kumfichia aibu huyo bibi mwenye ugonjwa usio na dawa.
Akalipe tu kazoea kukwepa kodi. Juzi si amenunua helkoptaMtu anavaa Cheni ya Million 900 analia Kodi ya Million 700 ni Tanzania pekee
Kuivunja ndio kulipa kodi? Kichwa chako kimetulia kweli? Huyu amekwepa kodi, jiwe alitaka kuivunja kisiasa kama alivyovunja ya mbowe na pia mashamba yabowe kiuonevu. Anayekwepa kodi na anayevunjiwa kisiasa wapi na wapiEti ana hotel kubwa!aliipata wapi?akiwa MR 2,au akiwa Mheshimiwa Mbunge!!
It's not a rocket science,kukunja kiinua mgongo 200M+ukaanzisha hotel,Tena moja tu,
Angekuwa nazo kumi ingekuwaje?
Kipindi kile Cha Jiwe wakati wanatishia kuivunja,mbona Ali Lia Lia sana kama kweli ni kidume,fuckers
Huyu kila kitu anaingiza siasa. Wakati mwingine anadhani anajenga kumbe anabomoa. Jinga kweli hili.
Kwamba SUGU anatuma UJUMBE Kwa wanambeya wa Jimbo aliwahi kulitumikia kama mbunge,Diamond ndio kaanza kumuita afisa wa TRA ni CHADEMA. Ungeanzia hapo. Ndio maana Sugu kamjibu TRA sio CHADEMA.
Huyu huyu Sugu alilialia sana na TRA enzi za Jiwe. Leo anashabikia. Mwaka 2025 kwenye Uchaguzi Mkuu CCM ikishinda, ataloloma wameibiwa kura! Chadema is really SHIT!!!