Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Aje atuambieHuyu mwamba anatumia Biblia ya sayari gani...
Huu sasa ni zaidi ya uchawi
Halafu mkeo akakeshe huko ukiamini atakuwa salamaHuu sasa ni zaidi ya uchawi
Labda mkeo, siwezi kuwa na mke kilaza wa kuandama manabii feki kamweHalafu mkeo akakeshe huko ukiamini atakuwa salama
Umechekesha sana aiseee, uwiiiLabda mkeo, siwezi kuwa na mke kilaza wa kuandama manabii feki kamwe
Muulize Halima Mdee hapo Ufipa st huyu ni mchungaji wake!
Seriously?Utashangaa watu wanapeleka kweli
Aaah mkuu tena wengiiiiiii especially sie wanawake na maendeleo mbona mapemaaaSeriously?