Suguye ni mchawi au ni Mtumishi wa Mungu?

Suguye ni mchawi au ni Mtumishi wa Mungu?

KILA SHETANI NA MBUYU WAKE,
KILA NABII NA WAPUMBAVU WAKE
 
Ulaya wamesoma sana makanisani hawaendi kabisa wengi na makanisa mengi yanayzwa mingine kuwa misikiti na mengine kuwa maduka ya biashara au ma godown

Elimu zao zimewapeleka kwenye hadi ndoa za jinsia moja
Mzungu msomi ni sawa Muafrika msomi? Jaribu kureseach kidogo.
 
Weng humu pamoja na mtoa mada wote ni vilaza sana kwny mambo ya ulimwengu wa roho waafrika weng tuna wkt mgumu sn sbb weng wetu ulimwengu wa roho tulishavurugwa kbs. Majitu mengne humu hata ukiyambia kila mtu ana nyota yake yanakwambia huo ni uchawi tu. Kama mnadhan ibada kama hz ni ushetan kaeni na washrikina wawaambie vile wameharibu maisha ya watu na watoto wachanga kwa kuchukua nywele zao au vitovu. Ulizen mtu mbaya akifanikiwa kupata kucha yako au jasho lako au achote unyayo wako uone kama utatoboa. Mwngn atasema ooh hayo n unaomba tu hayakufiki ila anasahau hata MUNGU ALILAANI ARDHI ILI ADAM APATE ADHABU, YESU ALIPAKA MTU MATE NA UDONGO ILI APONE. Kuna wachawi wengne humu wanayalalamikia hayo maana wanajua impact yake ulimwengu wa roho vile wanaachia mali na maisha ya watu. Kuna mapumbavu mengne humu yanasema jamaa anahubiri mafanikio tu ndiyo kwan kuna ubaya gan mnadhan kwenda mbnguni n kuwa maskini nyambafu.
 
Back
Top Bottom