Suguye ni mchawi au ni Mtumishi wa Mungu?

Suguye ni mchawi au ni Mtumishi wa Mungu?

Kama Yesu Kristo yu hai Ukristo hauwezi kufa.

Tangu kale haya mambo yalikuwepo, wapo watu waliojinasibisha na Kristo lakini walikuwa waongo, nia yao ni kumtweza Kristo na Ukristo. Hata katika nyakati za kupoa na kurudi nyuma Roho wa Mungu atahuisha Kanisa lake.

Vv
Huo ni upande wa kiroho na kiimani, ninakubaliana na wewe kabisa.

Ila upande mwingine (hali halisi) trend inaonesha ukristo unapwaya na chanzo ni mambo kama haya...mfano ni nchi za ulaya.
Mdau mmoja hapo juu amesema vijana wanapata elimu kwa idadi kubwa tofauti na huko mwanzo.
Ukiwa na elimu hupokei jambo bila kuhoji na kujiridhisha.
Sasa wakikutana na mambo kama ya huyu jamaa inakuwa changamoto.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,this is totally magic!
 
Huo ni upande wa kiroho na kiimani, ninakubaliana na wewe kabisa.

Ila upande mwingine (hali halisi) trend inaonesha ukristo unapwaya na chanzo ni mambo kama haya...mfano ni nchi za ulaya.
Mdau mmoja hapo juu amesema vijana wanapata elimu kwa idadi kubwa tofauti na huko mwanzo.
Ukiwa na elimu hupokei jambo bila kuhoji na kujiridhisha.
Sasa wakikutana na mambo kama ya huyu jamaa inakuwa changamoto.
Hilo lipo tangu kale mkuu, kuna wakati Kanisa lilipoa na baadaye Kristo akaleta uamsho.

Kuna wakati watu walirudi nyuma, walikata tamaa na kuangila lkn Mungu huachilia uamsho tena.

Vv
 
295828102_5221563811293209_8877219040337405313_n.jpg
Kuna watu watajitokeza hapa kuji komentisha wakijifanya eti hawataenda. Mimi nawachora tu
 
Ukristo alishindwa ku uua Herode ije kua hizi pimbi , bible ilisema wazi siku za mwisho nini kitatokea hakuna suprise apo kwa wasoma maandiko
Mbona aliuawa

Matendo Ya Mitume 12:20-23

Kifo Cha Herode​

20 Herode alikuwa amekasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Watu wa miji hiyo miwili wakaungana pamoja wakapeleka wajumbe wakaonane na Herode. Wajumbe hao wakapata kibali cha Blasto, mtumishi mwaminifu wa Mfalme Herode, ili waonane na mfalme kutaka amani kwa kuwa miji hiyo ilipata chakula chake kutoka katika milki ya mfalme. 21 Siku ya hao wajumbe kumwona mfalme ilipofika, Herode alivaa mavazi rasmi ya kifalme akaketi juu ya kiti chake cha enzi akaanza kutoa hotuba. 22 Alipokuwa akihutubu watu walimshangilia, wakapiga kelele wakisema, “Hii ni sauti ya Mungu! Sio sauti ya mwanadamu!” 23 Mara malaika wa Bwana akampiga Herode; akaliwa na funza akafa kwa sababu hakumpa Mungu utukufu.
 
Mbona aliuawa

Matendo Ya Mitume 12:20-23​

Kifo Cha Herode​

20 Herode alikuwa amekasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Watu wa miji hiyo miwili wakaungana pamoja wakapeleka wajumbe wakaonane na Herode. Wajumbe hao wakapata kibali cha Blasto, mtumishi mwaminifu wa Mfalme Herode, ili waonane na mfalme kutaka amani kwa kuwa miji hiyo ilipata chakula chake kutoka katika milki ya mfalme. 21 Siku ya hao wajumbe kumwona mfalme ilipofika, Herode alivaa mavazi rasmi ya kifalme akaketi juu ya kiti chake cha enzi akaanza kutoa hotuba. 22 Alipokuwa akihutubu watu walimshangilia, wakapiga kelele wakisema, “Hii ni sauti ya Mungu! Sio sauti ya mwanadamu!” 23 Mara malaika wa Bwana akampiga Herode; akaliwa na funza akafa kwa sababu hakumpa Mungu utukufu.
Ukristo ulishindwa kuuawa kipindi cha herode...... hauwez kuuawa sababu za manabii fake ndio nilichomaanisha mkuu kuna mwamba nilikua nampa muongozo
 
Nabii wa kanisani kwetu akiwa anatoa huduma za kirohoo kanisani kwetu mwezi uliopita😁😁😁
XgAEiV7K.jpeg
 
Back
Top Bottom