Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Hapana usifungueAmen na iwe.
P
Usije kutuacha njia panda Kama kipilimba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana usifungueAmen na iwe.
P
Katika bandiko lako, hiyo sentensi sikubaliani na wewe kabisa. Mengine Sina shida mayo.Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Vipi kuhusu mikoa mingine kama Morogoro, Tabora, Tanga etc?Chato haina ardhi kwa hiyo wilaya iko angani?Russia na china huwezi kuzifananisha na Tanzania, hakuna uwiano. Kwanini usitolee mfano wa nchi za afrika mashariki na kati?kwa hali yoyote ile mm naunga mkono chato kuwa mkoa kwa maslahi mapana ya wananchi wanafuata huduma mbali(makao makuu ya mikoa).
Utajinyonga kwa wivu kenge weweNa kile kiwanja cha ndege cha kimataifa alichjenga mwendazake kule Chato ambako sasa wanatua popo nashauri uwanja ule wappewe wakulima wa kanda ya ziwa kwa ajili ya kuanikia mazao yao yasioze, hasa kipindi hiki cha mvua.
Sukuma Gang ni itikadi ,iko moyoni hawana ofisi wala viongozi,ni kikundi chawatu wanaoamini mwendazake hakustahili kufa mpaka amalize muda wake wa miaka kumi,na wanaona mama ni laini sana kzongoza nchi compared to him,wanaona wamepokwa kijana wao kwa hila na kumpa nchi mamaWatajeni hao Sukuma Gang basi. Kundi gani hilo au Genge gani hilo linalojulikana na halijulikani?
PM ni Msukuma, yumo? anawajua? Viongozi wake? Ni mwanasheria na mwandishi wa Habari atujuze basi.... NN, na wengi tu humu ambao wamekiri kuwa wao ni Wasukuma...Je ndio wao?
Maneno ya kijumla jumla ndio nayo kataa, siyakubali tu hivi hivi!
Hayo kuwa Chato ilipendelewa yamo katika nyanja za Siasa Nchi nyingi sana; nitumie lugha hii; Upokonyaji wa Rasilimali zilizotengwa kwa dhumuni moja na kupelekwa kutumika kwa jambo lingine ni la kawaida katika Serikali nyingi Duniani.
Denmark majuzi wameondoa Fedha za Sherehe na kuzipeleka kufanyia shughuli zingine, kwingine, yaani wamejiMagulify... Fedha za Uviko nyingine zimenunua Simenti??? Wenye hela zao wamemtisha Raisi?
Tuwekeeni sisi kwa kajamba nani hayo majina ya Wakuu wa "Sukuma gang" bwasheee!
Kwani nani aliwaambia Watanzania wana jadi kama hizo? Itikadi au shule za Kata just to name a few.... hayamo hata katika lugha za kawaida mitaani....Sukuma Gang ni itikadi ,iko moyoni hawana ofisi wala viongozi,ni kikundi chawatu wanaoamini mwendazake hakustahili kufa mpaka amalize muda wake wa miaka kumi,na wanaona mama ni laini sana kzongoza nchi compared to him,wanaona wamepokwa kijana wao kwa hila na kumpa nchi mama
Chato haina ardhi kwa hiyo wilaya iko angani?Russia na china huwezi kuzifananisha na Tanzania, hakuna uwiano. Kwanini usitolee mfano wa nchi za afrika mashariki na kati?kwa hali yoyote ile mm naunga mkono chato kuwa mkoa kwa maslahi mapana ya wananchi wanafuata huduma mbali(makao makuu ya mikoa).
Sio kweli kanda ya ziwa hawampendi maa na hawaitaki chadema kwa sasa,wamesusa kabisa mambo ya siasa
Kiukweli humu JF pia kuna watu wana midomo balaa!, sisi wazee wa busara kuna baadhi ya vitu tunavizungumza kwa tafsida,
Mambo ya Chato yalianza kitambo!, kwanza barabara kuu iliyokuwa ipite Biharamulo, ikachepushwa ikapita Chato!, ikaja uwanja wa ndege uliokuwa ujengwe Omukajunguti, ukahamishiwa Chato!, watu wa kauli umba humu wakatoa angalizo https://www.jamiiforums.com/threads...au-yamoussoukro-watalii-watamiminika.1351238/ ndipo yakafuata hayo mahoteli, reli ya SGR nayo imechepushiwa Chato na kipande cha Chato bajeti iliishatengwa na mkandarasi aliisha patikana huku the main rail ya SGR ya Mwanza bado!.
Kiukweli ukiondoa kumcha Mungu, na uhai, kitu muhimu kabisa cha tatu duniani ni haki!.
P
Tanzania haiwez kuendelea mbele tukiwa na watoto wa kiume wenye element za kidada kama wewe kama hko kanda ya ziwa kweli mwambie hatumpendi kweli kweli na yeye anajua maana kila mikutano ya kanda ziwa anaambulia watt wa shule na kwakulazimishwa na walimu hivyo hatumpendi kwa sababu zifuatazo:Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.
Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.
Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.
Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure
Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.
Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.
Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.
Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.
China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.
Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Kama Chato ikiwa mkoa utapungukiwa nini?Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.
Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.
Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.
Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure
Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.
Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.
Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.
Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.
China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.
Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Sometimes leteni hoja zenye mashiko..Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.
Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.
Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.
Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure
Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.
Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.
Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.
Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.
China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.
Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Hii chato hata kuwa wilaya mwendazake alilazimishaHili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.
Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.
Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.
Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure
Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.
Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.
Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.
Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.
China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.
Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Mjinga tu sasa umeandika nini kama sio kuendeleza anti magufuli sentiments kitu mumeshindwa.Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.
Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.
Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.
Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure
Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.
Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.
Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.
Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.
China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.
Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.