Sukuma Gang is Real: Waanza kumtisha Rais Samia, wamtumia Msukuma kudai mkoa wa Chato kinguvu

Sukuma Gang is Real: Waanza kumtisha Rais Samia, wamtumia Msukuma kudai mkoa wa Chato kinguvu

Chato haina ardhi kwa hiyo wilaya iko angani?Russia na china huwezi kuzifananisha na Tanzania, hakuna uwiano. Kwanini usitolee mfano wa nchi za afrika mashariki na kati?kwa hali yoyote ile mm naunga mkono chato kuwa mkoa kwa maslahi mapana ya wananchi wanafuata huduma mbali(makao makuu ya mikoa).
Vipi kuhusu mikoa mingine kama Morogoro, Tabora, Tanga etc?
 
Na kile kiwanja cha ndege cha kimataifa alichjenga mwendazake kule Chato ambako sasa wanatua popo nashauri uwanja ule wappewe wakulima wa kanda ya ziwa kwa ajili ya kuanikia mazao yao yasioze, hasa kipindi hiki cha mvua.
Utajinyonga kwa wivu kenge wewe
 
Watajeni hao Sukuma Gang basi. Kundi gani hilo au Genge gani hilo linalojulikana na halijulikani?
PM ni Msukuma, yumo? anawajua? Viongozi wake? Ni mwanasheria na mwandishi wa Habari atujuze basi.... NN, na wengi tu humu ambao wamekiri kuwa wao ni Wasukuma...Je ndio wao?
Maneno ya kijumla jumla ndio nayo kataa, siyakubali tu hivi hivi!
Hayo kuwa Chato ilipendelewa yamo katika nyanja za Siasa Nchi nyingi sana; nitumie lugha hii; Upokonyaji wa Rasilimali zilizotengwa kwa dhumuni moja na kupelekwa kutumika kwa jambo lingine ni la kawaida katika Serikali nyingi Duniani.

Denmark majuzi wameondoa Fedha za Sherehe na kuzipeleka kufanyia shughuli zingine, kwingine, yaani wamejiMagulify... Fedha za Uviko nyingine zimenunua Simenti??? Wenye hela zao wamemtisha Raisi?

Tuwekeeni sisi kwa kajamba nani hayo majina ya Wakuu wa "Sukuma gang" bwasheee!
 
Watajeni hao Sukuma Gang basi. Kundi gani hilo au Genge gani hilo linalojulikana na halijulikani?
PM ni Msukuma, yumo? anawajua? Viongozi wake? Ni mwanasheria na mwandishi wa Habari atujuze basi.... NN, na wengi tu humu ambao wamekiri kuwa wao ni Wasukuma...Je ndio wao?
Maneno ya kijumla jumla ndio nayo kataa, siyakubali tu hivi hivi!
Hayo kuwa Chato ilipendelewa yamo katika nyanja za Siasa Nchi nyingi sana; nitumie lugha hii; Upokonyaji wa Rasilimali zilizotengwa kwa dhumuni moja na kupelekwa kutumika kwa jambo lingine ni la kawaida katika Serikali nyingi Duniani.

Denmark majuzi wameondoa Fedha za Sherehe na kuzipeleka kufanyia shughuli zingine, kwingine, yaani wamejiMagulify... Fedha za Uviko nyingine zimenunua Simenti??? Wenye hela zao wamemtisha Raisi?

Tuwekeeni sisi kwa kajamba nani hayo majina ya Wakuu wa "Sukuma gang" bwasheee!
Sukuma Gang ni itikadi ,iko moyoni hawana ofisi wala viongozi,ni kikundi chawatu wanaoamini mwendazake hakustahili kufa mpaka amalize muda wake wa miaka kumi,na wanaona mama ni laini sana kzongoza nchi compared to him,wanaona wamepokwa kijana wao kwa hila na kumpa nchi mama
 
Vipi kuhusu mikoa mingine kama Morogoro, Tabora, Tanga etc?
Tanga hakuna umuhimu labda hiyo mingine,na yenyewe sio lazima sana,tuache hii tabia tupeleke huduma muhimu wilayani
 
Sukuma Gang ni itikadi ,iko moyoni hawana ofisi wala viongozi,ni kikundi chawatu wanaoamini mwendazake hakustahili kufa mpaka amalize muda wake wa miaka kumi,na wanaona mama ni laini sana kzongoza nchi compared to him,wanaona wamepokwa kijana wao kwa hila na kumpa nchi mama
Kwani nani aliwaambia Watanzania wana jadi kama hizo? Itikadi au shule za Kata just to name a few.... hayamo hata katika lugha za kawaida mitaani....

Haya ya kuwa Mama ni 'Laini' ndio mnayapika nyie, yaani genge lenu ndilo tabia dume? Kumshinda Robert Heriel?

. Yaani
Mnadai wana tabia dume, lakini siwaoni mki mkemea Robert Heriel kwa hilo. A true Misogynist, A bigoted beliver. au Kwasababu ni Mzungu?

Hapana, Jamani Tunapenda Amani....Msimtishe Dada wa watu akatoka nduki, msimfanye aje awavae. Msimyumbishe.
 
Chato haina ardhi kwa hiyo wilaya iko angani?Russia na china huwezi kuzifananisha na Tanzania, hakuna uwiano. Kwanini usitolee mfano wa nchi za afrika mashariki na kati?kwa hali yoyote ile mm naunga mkono chato kuwa mkoa kwa maslahi mapana ya wananchi wanafuata huduma mbali(makao makuu ya mikoa).

Mbona Morogoro wapo kimya na Tabora ambayo ndio mikoa mikubwa kuliko yote Tanzania. Yani Wilaya iwe mkoa kwa Nini. Waliigawa Mwanza wakatoa mkoa wa Geita, Leo mnataka Tena kuigawa Geita kuanzisha mkoa wa Chato?
 
Kiukweli humu JF pia kuna watu wana midomo balaa!, sisi wazee wa busara kuna baadhi ya vitu tunavizungumza kwa tafsida,
Mambo ya Chato yalianza kitambo!, kwanza barabara kuu iliyokuwa ipite Biharamulo, ikachepushwa ikapita Chato!, ikaja uwanja wa ndege uliokuwa ujengwe Omukajunguti, ukahamishiwa Chato!, watu wa kauli umba humu wakatoa angalizo https://www.jamiiforums.com/threads...au-yamoussoukro-watalii-watamiminika.1351238/ ndipo yakafuata hayo mahoteli, reli ya SGR nayo imechepushiwa Chato na kipande cha Chato bajeti iliishatengwa na mkandarasi aliisha patikana huku the main rail ya SGR ya Mwanza bado!.
Kiukweli ukiondoa kumcha Mungu, na uhai, kitu muhimu kabisa cha tatu duniani ni haki!.
P

Kweli mambo ya msingi Ni haki.
 
Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.

Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.

Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.

Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure

Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.

Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.

Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.

Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.

China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.

Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Tanzania haiwez kuendelea mbele tukiwa na watoto wa kiume wenye element za kidada kama wewe kama hko kanda ya ziwa kweli mwambie hatumpendi kweli kweli na yeye anajua maana kila mikutano ya kanda ziwa anaambulia watt wa shule na kwakulazimishwa na walimu hivyo hatumpendi kwa sababu zifuatazo:
1. Kwa nini alimtoa kalemani uwaziri akampa makamba bila sabab za msingi na wakaanza kukata umeme, kuunganishiwa umeme wakapandisha gharama toka 27000/= mpka laki 3 tena kwa kumdhihaki magufuli.
2. Kwa nini miradi ya mwanza imesimama mfano meli imepaki pale mwanza south port bila majibu ya maana na yye ana zurura t hko na unataka tumpende kanda ya ziwa kwa lipi na pia uwanja wa ndege, daraja la busisi wakandarasi waktaka wanaenda kazini wakichoka hawaendi bila kujali time of contract alfu unataka kanda ya ziwa tumpende kwa lipi???
3. Anajua kabisa watz hatuwezi kupambana na wakenya kiuchumi ameachiwa wakenya wanalangua mazao ya wakulima bado yakiwa shambani hali inayopelekea vyakula kupanda bei leo hii kilo ya maharage ni 3700 na huu ndo msimu lakini maharage hayaingii kwenye mzunguko alfu unataka tumpende kanda ya ziwa.
4. Juzi habari za kuanza uuzwaji wa wanyapori nje ya nchi zimeenza tena kusikika yye hata kukemea hapna .
5. Uzembe, kujinufaisha, kuonea watu ovyo ovyo tu vimeanza tena kuripotiwa alfu unataka kanda iliyo na wasomi wa viwango vya juu tumpende kwa lipi???
6. Kuna miradi iliyoanzishwa na mtukufu magufuli anafanya makusudi kutaka kupotosha umma iliionekane kuwa ilikuwa haiwezekani kuitekeleza kwa mfano reli, bwawa la umeme; reli ilikuwa inatakiwa iwe ya umeme yeye anatuletea ya dizeli , bwawa kila kukicha ni ngonjera t yeye anasema lake, waziri lake na kamati ya bunge wanajua lao alfu unataka tumpende mtu ambae ameshindwa hata kuorganize serikali ????
Mmbo meng t kwa hyo kanda ya ziwa waje vizuri wasije kutupigia kelele wakina mjema huku watu wamekula vitabu ngonjera waende huko kwa watu wa vigodoro
 
Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.

Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.

Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.

Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure

Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.

Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.

Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.

Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.

China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.

Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Kama Chato ikiwa mkoa utapungukiwa nini?
 
Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.

Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.

Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.

Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure

Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.

Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.

Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.

Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.

China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.

Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Sometimes leteni hoja zenye mashiko..
 
Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.

Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.

Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.

Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure

Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.

Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.

Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.

Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.

China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.

Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Hii chato hata kuwa wilaya mwendazake alilazimisha
 
Hili kundi sio la kufikirika lipo na litamtesa sana mama Samia.

Nipo kanda ya Ziwa kiukweli mama yangu Samia huku watu hawakupendi kwa sababu mbili.

Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.

Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure

Hawaamini kama utaendeleza miradi ya mwendazake aliyoianzisha kanda ya ziwa.

Kuna mikoa kama Geita hususan wilaya ya Chato imerudi nyuma kimaendeleo,enzi za mwendazake ikulu ilihamia Chato,mzunguko wa hela ukawa mkubwa,sasa hotel za Chato ni makazi ya popo, mji umepooza dorooo.

Sasa wameamua kumtikisa Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kudai mkoa wa Chato,katika hili wanamtumia Dk Msukuma kumtisha mama.

Chato haina ardhi wala hadhi vya kuwa mkoa, huo ndio ukweli,mama simamia haki.nadhani ifike muda sasa mambo ya kutengeneza mikoa mipya ywfike tamati.

China USA na Russia ni kubwa ila hawana ujinga huu,kikubwa serikali ipeleke huduma bora kwa wananchi basi kwa kuzisogeza karibu.

Mwisho Sukuma Gang waambiwe kuwa mama yetu Samia yuko pale kitini kwa sababu ya katiba,na waambiwe kuwa Hayati Magufuli aliitwa na Bwana Mbinguni kwa mapenzi yake,
Tutulie tujenge nchi
,waache nongwa.
Mjinga tu sasa umeandika nini kama sio kuendeleza anti magufuli sentiments kitu mumeshindwa.
Sisi wafuasi wa magufulism tupo nchi nzima na ccm tumejaa. Kama mnatuita sukumagang hiyo ni hiari yenu.
 
Kwa hiyo wamekosa mtu mwenye hekima, upeo, weledi na msomi hadi wamtume huyo mtu? 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom