Sukuma liwe kabila tambulishi la mtanzania

Sukuma liwe kabila tambulishi la mtanzania

Kuwa tukunyema kwetu ni dalili ya afya njema hususan katika uzazi. Kama hauko kimbaumbau (sana) na kimkia cha kuburuta kipo, hakuna shida bageshi.

View attachment 2641244

Kama ni mweupe halafu tukunyema na kila kitu kipo mahali pake, basi ng'ombe zinaweza kufika hata 70....

Napendekeza uanze tu kujifunza kupika ugali wa kula wanaume kama 8 hivi wa Kisukuma na wakashiba 😁

View attachment 2641245
Aaah mpenda mikia Sasa🤣🤣
Kwa kweli jungu la ugali watu 8 sitoweza labda wali jamani
 
Ongezea msukuma anaweza kukubali kudharaulika wala hana shida ya mtu anafanya mambo yake.

Hao wa jmaa sio wabaguzi ,kama wangelikuwa wabaguzi na wingi wao hii nchi watu wangehama .
Kweli nawatetea hawana shida kabisa
 
Kiufupi ni watu poa sana, nimeishi nao sana hawana fujo mpaka umchokoze
Kuna jamaa mmoja ana duka la vipodozi huwa anawauzia airfresh km mbadala wa spray na wanazipenda sababu ni makubwa[emoji23] akili zao wanazijua wenyewe hao watu
haupo serious [emoji848]
 
Magufuli ndo kawaharibia CV. Wasukuma ukweli ni watu wakarimu sana na tumeishi nao, ni watu walikuwa hawana shida na mtu.

Ila baada ya ujio wa Magufuli, taswira dhidi ya wasukuma imebadilika sana.
Wasukuma ndio tulivyo hatuhitaji ujinga ujinga wa kuwaibia watz. Ukileta ujinga tunakuvunja mbavu. Wizi hatuwataki kabisa!!
 
Kiufupi ni watu poa sana, nimeishi nao sana hawana fujo mpaka umchokoze
Kuna jamaa mmoja ana duka la vipodozi huwa anawauzia airfresh km mbadala wa spray na wanazipenda sababu ni makubwa😂 akili zao wanazijua wenyewe hao watu
Mwambie aache kuwatapeli nduyu zangu 🤣
 
walinichukulia hivyo. Huo ni ubinafsi
Duniani kote iko hivyo. Ukienda Ujerumani usijaribu kuwasalimia kwa Kiingereza hawatakujibu kabisa hasa mitaani na wanaweza kukutenda. Jitahidi kila ukienda sehemu ambayo wanatumia lugha yao jifunze lugha yao hasa salamu.
 
Back
Top Bottom