Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Wanyantuzu hao ni wasukuma wa huko bariadi iko simiyu nadhaniwasukuma ni WABAGUZI, na WABINAFSI! nilikosa huduma kisa naongea kiswahili eti najifanya wa mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyantuzu hao ni wasukuma wa huko bariadi iko simiyu nadhaniwasukuma ni WABAGUZI, na WABINAFSI! nilikosa huduma kisa naongea kiswahili eti najifanya wa mjini
Na Madharau...Nyodo nyingi masifa uchoyo pia
kipindi hcho nipo geita tu mbonaWanyantuzu hao ni wasukuma wa huko bariadi iko simiyu nadhani
Wabeja kulumba....hakika ng'ombe hamsini zitapatikana Kama kigezo ni hiyo rangi tu,je sio lazima niwe tukunyema?
Nimeumia sana Wanyantuzu wa Nyakabindi unatusema vibaya.
Wapo wengi huko, halafu hata wenye asili ya geita ni wale wanaitwa wasumbwa kitu km hicho hao ni wasukuma wa kuunga unga,,kipindi hcho nipo geita tu mbona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeumia sana Wanyantuzu wa Nyakabindi unatusema vibaya.
Tulikukosea nini?
I am deeply hurt bageshi [emoji24][emoji24][emoji24]
Kuna Mnyantuzu mmoja hapa ni matata sana. Ni huyo ndiye unamtumia kama sampuli yako ya kuturundikia Wanyantuzu wote katika "nyodo nyingi, masifa na uchoyo?"Nyodo nyingi masifa uchoyo pia
Wewe ukarimu wanaakti tu. Nakuambia mimi. Ni wanakuua huku wanakuchekea.Magufuli ndo kawaharibia CV. Wasukuma ukweli ni watu wakarimu sana na tumeishi nao, ni watu walikuwa hawana shida na mtu.
Ila baada ya ujio wa Magufuli, taswira dhidi ya wasukuma imebadilika sana.
Afadhali moyo wangu umepoa KIDOGO![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimewasema wapi Nyanda?
Na mimi si nitakuwa najisema sasa...
Poleni jamani..
Ooooh boy! 😳😳😳😳Wewe ukarimu wanaakti tu. Nakuambia mimi. Ni wanakuua huku wanakuchekea.
Wanyantuzu nimeishi nao wamezaa na wana familia nawajua vizuri, sasa ujuaji huo wakiongeza na kaujinga mama weeee ukiingia umekwishaKuna Mnyantuzu mmoja hapa ni matata sana. Ni huyo ndiye unamtumia kama sampuli yako ya kuturundikia Wanyantuzu wote katika "nyodo nyingi, masifa na uchoyo?"
Not fair Kapeace 😁😁
Ahsante sana bageshi...Afadhali moyo wangu umepoa KIDOGO!
Nipo Misungwi huku kwa muda sasa kama ikitokea ukapita huku pita nikuonyeshe ukarimu wa Kinyantuzu bageshi [emoji1545]
Bora Masai kuliko Bhangooshaa🤔Ukienda Umasaini usisahau pia kutuandikia kauzi kama haka...
Tambua tu kwamba kuna mtu na kuna m'maasai...
Utakuta kila kitu ni wewe tu ushindwe.Ahsante sana bageshi...
Nitapita...
Nikute Udagala na Kibambala..
Ahsante Mno mno....Utakuta kila kitu ni wewe tu ushindwe.
Nitakuchinjia ng'ombe bageshi. Siku ya kuondoka tunakubebesha nyama zilizokaushwa (mitanda) na ngozi ya ng'ombe wako.
Karibu sana [emoji1545]
wasumbwa wachawi balaa mnisamehe lkn [emoji1732][emoji1732][emoji1732] nipo hapa ushirombo kilima hewa njooni mnirogeWapo wengi huko, halafu hata wenye asili ya geita ni wale wanaitwa wasumbwa kitu km hicho hao ni wasukuma wa kuunga unga,,
Wasukuma wanaoongelewa hapa ni wa kutokea mwanza yote, shinyanga geita na simiyu baadhi ya maeneo, Tabora,. Wanyantuzu wasumbwa wapo tofauti kidogo kitabia na wasukuma wengineo
Uchawi ni sifa ya wasukuma wote, ila ndo uwachokoze ama ujimwambafai utawajua wachawi kinomawasumbwa wachawi balaa mnisamehe lkn [emoji1732][emoji1732][emoji1732] nipo hapa ushirombo kilima hewa njooni mniroge
Embu tumwache marehemu kutajataja mtu kafa nawe utajikuta umeungana nayeMagufuli ndo kawaharibia CV. Wasukuma ukweli ni watu wakarimu sana na tumeishi nao, ni watu walikuwa hawana shida na mtu.
Ila baada ya ujio wa Magufuli, taswira dhidi ya wasukuma imebadilika sana.