Aaah mpenda mikia Sasaπ€£π€£Kuwa tukunyema kwetu ni dalili ya afya njema hususan katika uzazi. Kama hauko kimbaumbau (sana) na kimkia cha kuburuta kipo, hakuna shida bageshi.
View attachment 2641244
Kama ni mweupe halafu tukunyema na kila kitu kipo mahali pake, basi ng'ombe zinaweza kufika hata 70....
Napendekeza uanze tu kujifunza kupika ugali wa kula wanaume kama 8 hivi wa Kisukuma na wakashiba π
View attachment 2641245
Wali? π³π³π³Aaah mpenda mikia Sasaπ€£π€£
Kwa kweli jungu la ugali watu 8 sitoweza labda wali jamani
Michembe naweza kukutumia hata gunia zima ukalichukua hapo Shekilango kwenye basi...πAhsante Mno mno....
Na Michembe Usisahau...
Ewaaaaah!!!!Michembe naweza kukutumia hata gunia zima ukalichukua hapo Shekilango kwenye basi...[emoji16]
haupo serious [emoji848]Kiufupi ni watu poa sana, nimeishi nao sana hawana fujo mpaka umchokoze
Kuna jamaa mmoja ana duka la vipodozi huwa anawauzia airfresh km mbadala wa spray na wanazipenda sababu ni makubwa[emoji23] akili zao wanazijua wenyewe hao watu
Wasukuma ndio tulivyo hatuhitaji ujinga ujinga wa kuwaibia watz. Ukileta ujinga tunakuvunja mbavu. Wizi hatuwataki kabisa!!Magufuli ndo kawaharibia CV. Wasukuma ukweli ni watu wakarimu sana na tumeishi nao, ni watu walikuwa hawana shida na mtu.
Ila baada ya ujio wa Magufuli, taswira dhidi ya wasukuma imebadilika sana.
Mwambie aache kuwatapeli nduyu zangu π€£Kiufupi ni watu poa sana, nimeishi nao sana hawana fujo mpaka umchokoze
Kuna jamaa mmoja ana duka la vipodozi huwa anawauzia airfresh km mbadala wa spray na wanazipenda sababu ni makubwaπ akili zao wanazijua wenyewe hao watu
Wanyantuzu wakatili sanaLabda wale wakuitwa wanyantuzu hao wako tofauti sana kitabia na wasukuma wengine
Labda ulionyesha dharau kwao. Ukiwadharau ndio utawajua!!wasukuma ni WABAGUZI, na WABINAFSI! nilikosa huduma kisa naongea kiswahili eti najifanya wa mjini
Weeee...kumbe mayuuAhsante Mno mno....
Na Michembe Usisahau...
Kwenye airfresh au nini mkuu?haupo serious [emoji848]
Wanachagua wenyewe awafanyeje na mlivyo wabishi sasaπππMwambie aache kuwatapeli nduyu zangu π€£
Mno ndo wasukuma pekee walio tofauti na jamii nyingine ya wasukuma, wana roho mbaya sanaWanyantuzu wakatili sana
Duniani kote iko hivyo. Ukienda Ujerumani usijaribu kuwasalimia kwa Kiingereza hawatakujibu kabisa hasa mitaani na wanaweza kukutenda. Jitahidi kila ukienda sehemu ambayo wanatumia lugha yao jifunze lugha yao hasa salamu.walinichukulia hivyo. Huo ni ubinafsi