Sukuma liwe kabila tambulishi la mtanzania

Kuna fact umeweka za wasukuma ni sahihi...

1. Ushamba
2.kushangaa
3.ukarimu
4.Redio mkononi
5.wanapenda baiskeli
6.wanapenda lugha Yao
7.Waoga
9.Imani za kishirikina
10.kupenda nguo za special na kung'ara 😊
11.kupenda ugali wa Dona
 
haah sawa kumbe nitaoa kwa wakurya tu sasa huko mashemeji watanichanganya!
Wakurya wana hulka ya hasira hasira yaan MWANAMKE anaweza kukuchokoza makusudi Ili umpige ukimpiga NDIO anajua kua unampenda Kwa dhati......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 
Labda ulionyesha dharau kwao. Ukiwadharau ndio utawajua!!
mimi nilifka pale kama mgeni, nikawasalimia vizuri tu, (hawakupokea salam) nikaona isiwe tabu nikaenda hatua ya pili (nikaeleza shida yangu), lakin cha ajabu walikaushia kama vile hawanisikii! Walichosema; "huyu jamaa anajifanya wa mjini sasa ngoja tumuone" waliongea mengi kwa kisukuma nilielewa machache sana. Dah wasukuma ni wanoko!
 
Duniani kote iko hivyo. Ukienda Ujerumani usijaribu kuwasalimia kwa Kiingereza hawatakujibu kabisa hasa mitaani na wanaweza kukutenda. Jitahidi kila ukienda sehemu ambayo wanatumia lugha yao jifunze lugha yao hasa salamu.
kiswahili ni lugha ya kila mtanzania, niliongea lugha ya taifa wala sikuongea kifaransa! Na wale sio kwamba hawajuwi kiswahili bali ni dharau na ubinafsi uliotukuka[emoji815]
 
Mimi nimekupa somo la intel basi kama hutaki baki hivyo hivyo!
nimekwambia niliongea lugha ya taifa ili tuelewane (nyerere hakuwa mjinga), sio kwamba mimi sikuwa na uwezo wa kuchapa kihaya. Mkuu nimekuelewa lakini wale walionyesha dharau wazi wazi!!

mimi nimekupa somo la intel basi kama hutaki baki hivyo hivyo!
nawewe kama hujaelewa nenda hivyo hivyo!
 
" Baiskeli zina matajiri ya kila rangi "
" kuna baiskeli zina matajiri mekundu, ya njano, kijani, ya purple na ya bluu "

Mkuu hizo statement hapo juu zilivyo ndo umemaanisha hivyo au [emoji848]
 
" Baiskeli zina matajiri ya kila rangi "
" kuna baiskeli zina matajiri mekundu, ya njano, kijani, ya purple na ya bluu "

Mkuu hizo statement hapo juu zilivyo ndo umemaanisha hivyo au [emoji848]
[emoji38]sjuwi alikuwa na haraka za wapi! Mm nadhani alisema
baiskel zina matajiri ya kila rangi
badala ya "matajiri wana baiskeli za kila rangi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…