Suleiman Kova: Mtu anayekuwa katika msongo wa mawazo anaweza kufanya kama Askofu Gwajima, hajiamini na haamini wengine

You are right. Cheers. You deserve a cold drink on my account. Tatizo ni makato ya tozo. Nigekutumia offer yangu electronically.
 
Imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako, yaani machale yakucheze alafu useme Mungu ataniokoa utakufa Kama mpumbavu mithali 27:12
Yesu alisema muwe wajanja Kama nyoka.
Gwajiboy hapo kaepa
 
Askofu Gwajima amefanya kitu sahihi. Kupewa kiti kingine na kubadilishiwa mic (jambo ambalo hakuna aliyelitegemea) linampa confidence ya kutodhurika kama kuna aliyetaka kuvitumia vitu Hivyo kumdhuru.

Mimi naona ni kitu kizuri ili kusijekuwa na na hisia za kudhuriwa.
It's ok.
 
Hutakiwi kufa kifala Mungu ametupa akili na marifa
 
Mkuu kwani ili awe askofu inatakiwa aweje?
 
Mtume MOHAMAD wakati mwingine aliingia vitani, kwanini asikae tu amtegemee MUNGU?
 
Askofu tapeli, yaani haogopi Corona lakini anaogopa kiti na microphone!!! Watu wanaomfuata huyu jamaa na kusikiliza pumba zake ni wajinga zaidi yake yeye mwenyewe, serikali imefanya vyema kumpuuza, ukikimbizana na kichaa nawe utaonekana kichaa
Ogopa mtumishi wa Mungu anayelindwa na mabaunsa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtume MOHAMAD wakati mwingine aliingia vitani,kwanini asikae tu amtegemee MUNGU?
Wapi ilianidikwa kuwa hawezi kuuliwa vitani?

Gwajima anapigana vita ipi?

Wewe ni katika wale wajinga ndio waliwao?
 
Kumbe kova nae alikuwa akiwahoji watuhumiwa kwa kuwabana

Halafu si kuna video bwana Gwajima anajitapa kumfuta Kova kwenye ulimwengu wa vyeo
 
Nimeipenda nukuu yako.Huu Ni msumari wa Moto kwa Gwajima
 
Kwa hiyo unamaanisha aliwekewa sumu? Tuambie maana Inaelekea unajua mengi
 
Kova na bifu na chuki binafsi kwa Askofu Gwajima. msikilize hapa Gwajima akielezea kuhusu Kova.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nova bana, wewe kula pensheni tu.
 
Kama nakumbuka vizuri ni kama kuna siku Gwajima aliwahi kumnanga KOVA kwamba alikutana nae supermarket moja na alikua mnyonge sana, may be Kova alikua amepata naamna ya kumjibu Gwajima as well.
 
Biblia n neno la Mungu, halitafsiriwi kwa mihemuko, umeelewa hiyo verse out of context..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…