Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Intonjanda?Kweli wewe msugunsu-mnyamwezi.Hapo bado haujaitaja Ntalikwa.Duh...!, umenikumbusha mbali kwa kunirejesha kwenye roots, ile tarehe 5/2/1977 wakati CCM inazaliwa, nilikuwa darasa la 3, SM ya Itonjanda chini ya Mwalimu Mkuu Paul Kashidye, baba yake Deo, Mati, Faustin . Dada mkuu wa shule alikuwa Kayemba, tulichinja ng'ombe mzima tukala na ugali!.
Ukoo wa Kaombwe au Wakawombwe ndio ukoo wa Bibi mzaa Baba, babu ni Msukuma kutoka Mwanza, akalowea Tabora, akaoa Tabora na kuwa Wasukuma Wanyamwezi.
P
Usalama wa Taifa unafanya kazi kubwa sana hata kama huoniKwani kwa sasa tuna usalama gani?
Ngoja tumpate Rais ambaye atakuwa Dikteta Mzalendo Muadilifu ili Wananchi wote tunyooshwe pamoja na majizi ya mali za Nchi 👁Raia yeyote atakayeonekana kutokutii ina maana Yuko tayari kupambana.
Uko Sawa kikubwa nchi itawalike Kwa haki bila wizi na uchawa.Ngoja tumpate Rais ambaye atakuwa Dikteta Mzalendo Muadilifu ili Wananchi wote tunyooshwe pamoja na majizi ya mali za Nchi 👁
Huyo Rais akipatikana atawale kwa miaka isiyopungua 30 bila kuwepo uchaguzi wa Rais 👁
Ni maono tu 👁😇🤠
Mkuu Tindo , huu muungano wetu adimu na adhimu una dhima ndani yake ambayo ni kama spell fulani, ukiuzungumzia tuu muungano in a negative way with intention ya kuuvunja, unavunjika wewe!, yanakukuta ya kukuta!.Huu muungano una miaka 60 tumeshindwa kuwa na serekali Moja, Leo ndio mnalazimisha tuwe na serekali 1 wakati kizazi hiki hakiutaki huo muungano? Wanzanzibar ni dhahiri hawautaki muungano na huko mbeleni tutakuja kuingia kwenye uhasama usio na sababu. Huu muungano ni koti la kuuzima, na hapa lilipo limeshatubana, ni wakati wa kuvua.
PWazo la kuwa na Serikali moja lilikuwa ni wazo la Karume
View attachment 2999472
Lakini ni Nyerere ndiye alikataa!
Nothing is impossible under the sun!.Serikali moja haiwezekani na haitokaa iwezekane we mzee
Ndio maana nimekuambia ni muungano wa shuruti sio wa ridhaa. Ukiona muungano unalindwa kwa kupoteza uhai wa wanaouhoji au wasio ridhia, huo sio muungano bali kafara. Kizazi hiki sio Cha kuongozwa na makafara ya hao wazee washirikina tena. Narudia ile kauli yangu, muungano huu hauna miaka 20 mbele lazima uvunjike, vinginevyo muundo ubadilike.Mkuu Tindo , huu muungano wetu adimu na adhimu una dhima ndani yake ambayo ni kama spell fulani, ukiuzungumzia tuu muungano in a negative way with intention ya kuuvunja, unavunjika wewe!, yanakukuta ya kukuta!.
Unamjua huyo aliyesema "muungano kama koti la kuazima lilikubana unalivua" ni nani na kilimkuta nini baada ya kutamka maneno hayo?.
Unakumbuka kilichumkuta Abudul Jumbe?.
Hakuna anayelazimisha serikali moja, aliyetaka serikali moja ni Karume!
P
Umri wangu unaniruhusu miaka 20 mbele, tutakumbushana...Ndio maana Narudia ile kauli yangu, muungano huu hauna miaka 20 mbele lazima uvunjike, vinginevyo muundo ubadilike.
20 mbele ufikishe wapi na hayo ma whisky unayokunywa bro?Umri wangu unaniruhusu miaka 20 mbele, tutakumbushana...
P
Joni Mtembezi wa lebo nyeusi ni sehemu ya maisha yangu, ni kupitia kutembea nae ndio hiyo 20 mbele nitafika nae!.20 mbele ufikishe wapi na hayo ma whisky unayokunywa bro?
Siyo jambo jipya bhana..Ukitaka 1 au 3 hilo ni jambo jipya Kabisa linalopaswa kuanzia Upya kwa Wananchi wa Tanzania na Wananchi wa Zanzibar
Ni kweli..suala la kuwa na muungano lilikuwa ni shinikizo la lazima kutoka Marekani
Hao kazi kubwa wanayoijua ni kuhakikisha ccm haitoki madarakani tu basi.Usalama wa Taifa unafanya kazi kubwa sana hata kama huoni
Thubutu.Joni Mtembezi wa lebo nyeusi ni sehemu ya maisha yangu, ni kupitia kutembea nae ndio hiyo 20 mbele nitafika nae!.
P
Walishaulizwa kupitia rasimu ya Katiba ya Warioba na wengi wao wakataka serikali 3.Wakati ule watu wa pande zote mbili hawakuulizwa wanatakaje ,
Sasa ni muhimu watu wa hizo pande mbili wakaulizwa wanataka Muungano wa aina gani 👁😇
Kwa vile anayeamua sio wewe, tukumbushane muda huo ukifika!.Thubutu.
Nikukumbushe kwani utakuwepo?Kwa vile anayeamua sio wewe, tukumbushane muda huo ukifika!.
P
Mimi ni mtu wa imani za life after life na reincarnation, hivyo hata ni shed this body, bado nitaendelea kuwepo kwenye after life, hivyo nitakuwepo sana tuu. Life after Death: What happens after death?Nikukumbushe kwani utakuwepo?