Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..