Suluhisho la kulipa fidia ya mabilion nje ya nchi ni kubadili jina la nchi

Suluhisho la kulipa fidia ya mabilion nje ya nchi ni kubadili jina la nchi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida

Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
 
Wazungu sio wajinga namna hiyo, makabrasaha ya mikataba ya page 700-5000 wanayopewa wawakilishi wetu huwa yanaeleza kbs kwamba hata kubadili jina au ukifa atakayekuja atarithi deni lake hadi liishe, hata nchi ikigawanyika ikaunda vipande mtashea tu mlipe au mradi aliobaki nao atalipa. Sasa wakubwa wetu huwa wanasoma? Wanasign tu. Huwa wanakuja kusomewa mahakamani wakati fidia inadaiwa
 
Wazungu sio wqhinga namna hiyo, makabrasaha ya mikataba ya page 700-5000 wanayopewa wawakishi wetu huwa yanaeleza kbs kwamba hata kubadiki jina au ukifa atakayekuja atarithi deni lake hadi liishe, hata nchi ikigawanyika ikaunda vipade mtashea tu mlipe au mradi aliobaki nao atalipa. Sasa wakubwa wetu huwa wanasoma? Huwa wanakuja kusomewa mahakamani wakat fidia inadaiwa
🥺🥺🥺😭😭😭
 
kubadili jina la nchi hakuondoi deni lake. Sheria ya mikataba ya kimataifa inatambua majukumu ya kifedha ya nchi yanaendelea hata kama nchi hiyo itabadili jina lake, mipaka yake, au mfumo wake wa kisiasa.

Ina maana kwamba nchi inabaki kuwa chombo kimoja cha kisheria licha ya mabadiliko yoyote ya ndani. Kwa hiyo, mikataba na madeni yaliyochukuliwa na nchi yanaendelea kuwa halali hata kama nchi itabadili jina lake.

Kwa mfano, wakati Rhodesia ilipata uhuru na kuwa Zimbabwe mwaka 1980, ilirithi madeni yote ya Rhodesia.
 
Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida

Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Kubadili jina siyo njia ya kufuta madeni.
Suluhisho sahihi ni kubadili kabisa utawala uliopo hivi Sasa na kisha kuweka utawala mwingine mpya wenye uadilifu, utawala wa kidemokrasia na utawala utakaowajibika kwa Wananchi wake. Utawala ambao utakopa kwa malengo, siyo utawala ambao utakopa ili kupata fedha za 'kumcheza mwari' kama wafanyavyo watu wa ukanda wa Pwani kwenye utamaduni wao wa unyago.
 
kubadili jina la nchi hakuondoi deni lake. Sheria ya mikataba ya kimataifa inatambua majukumu ya kifedha ya nchi yanaendelea hata kama nchi hiyo itabadili jina lake, mipaka yake, au mfumo wake wa kisiasa.

Ina maana kwamba nchi inabaki kuwa chombo kimoja cha kisheria licha ya mabadiliko yoyote ya ndani. Kwa hiyo, mikataba na madeni yaliyochukuliwa na nchi yanaendelea kuwa halali hata kama nchi itabadili jina lake.

Kwa mfano, wakati Rhodesia ilipata uhuru na kuwa Zimbabwe mwaka 1980, ilirithi madeni yote ya Rhodesia.
Kwa hiyo hata tukiwa Tanganyika bado tutarithi madeni ya Tanzania!?🥺😭😭
 
Tatizo halikimbiwi ni kumalizana nalo na sababu mafisadi yamejaa serikalini kushirikiana na mabeberu tutaendelea kulipa hatuwezi shinda kesi hata moja!
 
Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida

Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Nchi hii imejaa utaahira mwingi sana!
 
Mbona pesa nyingi sana zinaenda bila kazi kufanyika na hiyo kampuni. Hii siyo kabisa kwa kweli. Kwani TLS/wanasheria hawawezi peleka kesi mahakamani kushitaki walioshiriki kwenye mikataba ya kijinga namna hii. Au ndo hairuhusiwi? Harafu wanasheria walioenda kutetea walikuwa wanatetea impossibilities.
 
Kwahio watu wanaingia kwenye Mikataba ya Kipuuzi (hata hizi PPP's za sasa ambazo watatumie kujineemesha) wanafanya hivyo sababu ni majambazi, majizi yasiyo na Uzalendo au wanafanya hivyo sababu nchi inaitwa Tanzania ?

Sababu kinachoendelea hizo kesi sio tu za zamani hata kinachofanyika leo na kitakachofanyika kesho tutadaiwa mtondogoo....
 
 
Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida

Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Eti ukibadili jina la nchi madeni yanafutika. Hizi fikra ndizo zinafanya hayo makampuni ya nje yanawakupua mabilioni.
Dawa ni kufata makubaliano kwenye mkataba. Hata kama upande mmoja tunataka kuvunja huo mkataba pia ziko taratibu zake ndani ya mkataba kuhakikisha haki kwa wote.
Pia dawa ya deni nikulipa sio kulialia na kukwepa kwa Sheria za ndani ya nchi. hukonje pia kuna Sheria za kimataifa kwa hiyo hakuna kukwepa
 
Back
Top Bottom