Suluhisho la kulipa fidia ya mabilion nje ya nchi ni kubadili jina la nchi

Suluhisho la kulipa fidia ya mabilion nje ya nchi ni kubadili jina la nchi

Tatizo ni viongozi wa chama chetu tawala wana sign mikataba mibaya kwa kuhogwa halafu ukija uongozi mpya wanavunja mikataba ili wahogwe wenyewe na sio waliopita mwekezaji akataa kuhonga mara mbili. Baada ya hapo wanafuta mkataba bila kufuata sheria kwa “manufaa ya umma” sasa ni manufaa gani kama tunalipa mabilioni! Hii ndiyo ramani nzima

Kwahiyo mikataba yenyewe unakuta ilikuwa mibaya lakini wameshahongwa sana. Chenge ndiye alikuwa mwanasheria msomi na mla rushwa mkubwa sana
Chenge ndiye alikuwa mwanasheria msomi na mla rushwa mkubwa sana📍🔨

Thanks
 
Waziri wa Fedha wa sasa Mwigulu Nchemba, aliwahi kusema HATUTAGONGEWA MILANGO YETU KULIPA HILI DENI wasi wasi wetu ni nini?

Hatupaswi kujadili deni la TAIFA, analipa Yeye na Rais.Samia.
Kwamba "hatutagongewa milango kulipa deni" ni kauli ya dharau kuu kwetu wananchi na ulevi mkali wa madaraka.
 
Back
Top Bottom