mwidaddy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2022
- 357
- 658
Ila nchi za kiafrika kudaiwa tunajitakia tu wenyewe, laiti kama AU ingekuwa serious hakuna nchi ingedaiwa.
Me ningekuwa ndy mwenyekiti wa AU ningetoa tamko kwamba kama Nchi za ulaya ziliitawala Bara la Africa na wakafanya human and resources exploitation pamoja na torturing kwa watu. Bila kuwalipa fidia Raia wa nchi dhidi ya ukatili huu, basi hizo fedha za mikopo zikawe fidia ya kile kilichoitwa ukoloni na unyonyaji.
Hakuna nchi ya ulaya ambayo haijajengwa na rasilimali kutoka afrika.
Hakuna fidia yeyote tuliyoipata na UN haiwezi kuibua hoja katili kama hizi.
Kukandamizwa tunajitakia ila njia za kujikwamua ni nyingi wakuu.
Me ningekuwa ndy mwenyekiti wa AU ningetoa tamko kwamba kama Nchi za ulaya ziliitawala Bara la Africa na wakafanya human and resources exploitation pamoja na torturing kwa watu. Bila kuwalipa fidia Raia wa nchi dhidi ya ukatili huu, basi hizo fedha za mikopo zikawe fidia ya kile kilichoitwa ukoloni na unyonyaji.
Hakuna nchi ya ulaya ambayo haijajengwa na rasilimali kutoka afrika.
Hakuna fidia yeyote tuliyoipata na UN haiwezi kuibua hoja katili kama hizi.
Kukandamizwa tunajitakia ila njia za kujikwamua ni nyingi wakuu.