Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mahakama zipi? Hizi za vimemo na simu?suluhisho ni rahisi Sana. Tuanze kuwanyonga Kama huko china au Kwa style ya Jerry Rawlings au ikishindikana Kabisa tuwachukulie sheria mkononi Kama vibaka mtaani Kwa waziri yeyote aliye- sign mkataba wa magumashi…
Panahitaji elimu mkuu, ya kizalendo zaidi, kwa ajili ya masilai ya tanganyikaBado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Unapokua na NCHI ya VIONGOZI wacheza DILI na WAZUNGU , alafu WALAFI na wala RUSHWA kutoka CCM , basi madhara yake ndio haya yanayolidumbukiza TAIFA letu kwenye HASARA kubwa namna hii. LISSU alisema sana jambo hili, wakaamua kumzawadia MARISASI ya kutosha.Panahitaji elimu mkuu, ya kizalendo zaidi, kwa ajili ya masilai ya tanganyika
Mahakama zipi?Tukienda mahakamani tunashinda hata mabenki huwa hayawadai marehemu
Hautarithi ya nchi ya Zanzibar 🐼Kwa hiyo hata tukiwa Tanganyika bado tutarithi madeni ya Tanzania!?🥺😭😭
Hussein kachukuwa GREEN BELT ya Zanzibar Stone Town kawapa “investors” anataka kuchukuwa nyumba za Kikwajuni kuwapa “investors”,Hautarithi ya nchi ya Zanzibar 🐼
Eeh, ikiwezekana tufanye hivyo KABISA maana makampuni yanayochimba madini hubadili majina na madeni hayalipi Tena. MUNGU atuwezeshe tubadili jina .Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Eeh, ikiwezekana tufanye hivyo KABISA maana makampuni yanayochimba madini hubadili majina na madeni hayalipi Tena. MUNGU atuwezeshe tubadili jina .Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Iiih ni hivyo wajameni ! Uuuwiiih !DP World ni( Rostam, JK, Abdul na Makamba)
Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Inaoneka wewe ni mwanasheria mzuri mno tena msomi na unaelewa sana mambo, kulingana na Maelezo yako mazuri.kubadili jina la nchi hakuondoi deni lake. Sheria ya mikataba ya kimataifa inatambua majukumu ya kifedha ya nchi yanaendelea hata kama nchi hiyo itabadili jina lake, mipaka yake, au mfumo wake wa kisiasa.
Ina maana kwamba nchi inabaki kuwa chombo kimoja cha kisheria licha ya mabadiliko yoyote ya ndani. Kwa hiyo, mikataba na madeni yaliyochukuliwa na nchi yanaendelea kuwa halali hata kama nchi itabadili jina lake.
Kwa mfano, wakati Rhodesia ilipata uhuru na kuwa Zimbabwe mwaka 1980, ilirithi madeni yote ya Rhodesia.