kuna methali isemay mzigo wa mpumbavu haishia begani unajua maana yake? Ndo nchi yetu ilivo kwa sasa.Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428
Mkuu mimi sio mwanasheria ila ninasoma sana vitabu mbalimbali vikiwemo vya sheria. Kuhusu chama cha TLS kusaidia serikali nadhani wewe mwenyewe ni shahidi kumekua na ujinga mwingi sana unafanyika wakati wa vetting ya yupi anafaa kuwekwa kwenye maamuzi na yupi hafai. Ukileta hoja za kuisaidia nchi unaonekana mpinzani na wapinzani hawana nafasi katika hii nchi.Inaoneka wewe ni mwanasheria mzuri mno tena msomi na unaelewa sana mambo, kulingana na Maelezo yako mazuri.
Sasa kwanini nyie wanasheria kupitia kile chama chenu cha wanasheria Tanganyika msingekuwa mnaisaidia serikali katika kusimamia maswala ya vifungu vya kimkataba, kutafsiri vifungu vya mkataba, sheria zake, conflict of interests, na kila kitu then mjue if mkataba ni sutable au ni wakutukandamiza, kwaajili ya maslahi mapana ya nchi.
Kwanini msitusaidie jamani hata sisi tusiokuwa na elimu ya sheria tufurahie uwepo wenu nchini nyie kama mashujaa wetu wa masuala ya sheria!.
dah asee inasikitisha mno, huu mfumo wa utawala umeoza.Mkuu mimi sio mwanasheria ila ninasoma sana vitabu mbalimbali vikiwemo vya sheria. Kuhusu chama cha TLS kusaidia serikali nadhani wewe mwenyewe ni shahidi kumekua na ujinga mwingi sana unafanyika wakati wa vetting ya yupi anafaa kuwekwa kwenye maamuzi na yupi hafai. Ukileta hoja za kuisaidia nchi unaonekana mpinzani na wapinzani hawana nafasi katika hii nchi.
Hoja yako ni nzuri pia nimeona uzi wa mwenzetu mmoja kuhusu serikali kutoa ajira za mikataba kwa miaka 10. Ni jambo zuri nadhani wenye mamlaka watapita na kuchukua yaliyobora kwa ustawi wa taifa letudah asee inasikitisha mno, huu mfumo wa utawala umeoza.
It’s better tusisitize viongozi waingie kwa mikataba katika ofisi zao akishindwa kutimiza mahitaji ya mkataba afutwe na alipe kila gharama aliyopewa la si hivyo atumikie kifungo maana uchaguzi tu hauwezi kuondoa huu uozo jamani.
Me inaniuma sana taifa halina taswira tena ni kama mgodi wa marehemu kila mtu anajichotea tu atavyo.
Tuwaajiri hawa watu kwa mikataba em fikirieni hii hoja yangu please jamani.
Kaka kwenye ule uzi nimeongea mno nimebishana na watu mno, hawajui tu vile najiskia niona taswira mbovu hivi ya taifa letu, natamani kuona mabadiliko na maendeleo sana kaka na inawezekana tukiamua kwani lazma kumuumiza mwananchi ili kuishi vizuri viongozi!?Hoja yako ni nzuri pia nimeona uzi wa mwenzetu mmoja kuhusu serikali kutoa ajira za mikataba kwa miaka 10. Ni jambo zuri nadhani wenye mamlaka watapita na kuchukua yaliyobora kwa ustawi wa taifa letu
Tuliingizwa cha wahuni trust me.. Maana cha wahuni kichambio gunziWaziri wa Fedha wa sasa Mwigulu Nchemba, aliwahi kusema HATUTAGONGEWA MILANGO YETU KULIPA HILI DENI wasi wasi wetu ni nini?
Hatupaswi kujadili deni la TAIFA, analipa Yeye na Rais.Samia.
Ni nani yuko tayari kubanduka kwenye mkondo wa ulaji?Kaka kwenye ule uzi nimeongea mno nimebishana na watu mno, hawajui tu vile najiskia niona taswira mbovu hivi ya taifa letu, natamani kuona mabadiliko na maendeleo sana kaka na inawezekana tukiamua kwani lazma kumuumiza mwananchi ili kuishi vizuri viongozi!?
Kwani mishahara si wanapata lakini kwanini watufanyie ukatili hivi!?
MAReHemu sio nchiMarehemu hadaiwi
Bado tunaendelea kupigwa kwenye kesi za fidia na makampuni ya kigeni.. Tunalipa mabilioni ya shilingi na mabilion ya dola kwa makosa ya watu wachache tuu.. Mostly kutoka chama chawala
Hakuna hata kesi moja tuliwahi kushinda..
Mikataba tuliyosaini kimagumashi inatutesa sasa.. Waliosaini kwa niaba yetu wapo na wanaendelea kula bata..hawana wasiwasi kabisa.. Na ni hao hao kati yao kwenye hizo fidia nao wana cha kwako😳🤬🤬🤬
Washeria wetu wa serikali
Ni vihiyo
Hawana uzalendo
Wananunulika
Ni mbumbumbu wa sheria za kimataifa na uwekezaji
Ni waoga
Mwisho wa siku tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida
Sasa imetosha.. Tumevumilia imefika mwisho.. Taifa linalodaiwa ni Taifa na nchi ya Tanzania
Hili lina lina nuksi
Hili jina lina sifa mbaya
Hili jina lina migogoro Mungu
Hili jina lina madeni mengi sana
Kuna shida gani tukiachana nalo sasa?
Turudi kwenye Tanganyika yetu..
Ni jina zuri
Linapendeza
Halina kashfa
Halina madeni
Halina nuksi
Halimilikiwi na chama chawala
Tubadili jina kutoka Tanzania kwenda Tanganyika.. Na madeni yote yatakoma.. Maana anayedaiwa ni Tanzania sio Tanganyika
Marehemu hadaiwi bali husamehewa madeni..
View attachment 3140428