Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza

Suluhu kuwe na nchi mbililakini siyo kila siku taifa teule linachukua aridhi ya watu alafu achiwe abadani hiyo haiwezekani.
Hakuna nchi 2, ndo kwanza twataka waondoa hao magaidi, kwa sasa ni kuhakikisha twaharibu majengo yote
 
Aliwakuta wapo, Sasa watulie mwenye mji karudi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio sahivi naongelea hao kina Joshua na wayahudi walikuta Canaan ina watu tayari na ilikua na makabila zaidi ya 13!! Sema waliwaua hao wote ndio wakaweka nchi. Kwahiyo si kweli kwamba mwanzoni nchi ilikua yao!! Ila WALIIPORA kwa WENYEJI
 
kwa nini nyinyi munakomaa na kuishi ngorongoro wakati pia ni eneo kavu na halina uzalishaji?

Munavyopenda kuzungumzia ya wenzenu wakati yenu ndiyo ya aina ile ile lakini laiti mungepewa nafasi basi mungefanya hivyo hivyo.
 
Asante sana mkuu Richard.

Uchangiaji wa mada wa aina hii umekuwa wa nadra sana siku hizi humu JF.

Umenipa funzo ambalo nilikuwa sijawahi kulipata.

Sasa kama kuna mtu mwingine, mwenye mtizamo au usahihi wa taarifa zaidi ya huu ulioutoa hapa wewe; hapo sisi wanafunzi katika eneo hili tungefaidika na mjadala wa aina hiyo.

Lakini pia, pamoja na somo hili ulilotoa hapa, nadhani bado kuna sehemu ya historia ambayo pengine inawaweka wayahudi katika eneo hilo, ambayo ni ya mbali zaidi ya hapo ulipoishia wewe. Hii jerusalem, kwa mfano, kuwa mji wa wapalestina, tokea lini? Enzi za akina Pilato wanaosemwa kwenye vitabu vya kidini? Wayahudi walikuwepo hapo enzi zile; halafu baadae, kwa njia moja au nyingine wakasambaratishwa na kuacha eneo hilo kuwa chini ya waPalestina?

Nirudie tena niliyokwisha yaandika humu mara kadhaa. Suluhisho la kudumu katika eneo hilo hautapatikana kwa kutegemea matumizi ya maangamizi ya silaha, na kukandamiza binaadam wengine.
 
Wahame waende wapi?
Hao waisrael walikataliwa huko Ulaya ndio maana wakarudi hapo sasa unataka wapalestina wahame waende wapi?
Kama tu kwenye vita hii hakuna nchi inayopokea zikiwemo nchi kama Egypt, unataka wahame waende wapi?
Solution ni nchi za magharibi kusema ukweli kuwa Israel anamnyanyasa Mpalestina, warudi kwenye mipaka iliyowekwa na umoja wa mataifa ambayo Israel kaikiuka na kuchukua hadi maeneo ya Wapalestina.
 
Solution ni nchi za magharibi kusema ukweli kuwa Israel anamnyanyasa Mpalestina, warudi kwenye mipaka iliyowekwa na umoja wa mataifa ambayo Israel kaikiuka na kuchukua hadi maeneo ya Wapalestina.
That's it.

Na ikishafanyika hivyo, yeyote atakayeleta chokochoko, huyo ndiye adui wa watu hawa, wote waIsrael na WaPalestina.

Siyo Marekani na maguvu yote ya silaha, wala Iran na wengineo, kwa sababu yoyote ile.
 
Naona unazidi kujipambanua kuwa mjinga zaidi ya nilivyo kuona huko mwanzo wa mada.
Aliwakuta wapo, Sasa watulie mwenye mji karudi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huu sasa ni upumbavu.
 
Mwanamgambo mmoja wa Israel amenasa tunduni
Hamas have captured an Israeli special forces officer after the IDF attempted an incursion into Gaza.

Possibly a Sayeret Matkal member
 
Pumbavu
 
Binafsi jambo lolote la haki likiishahusisha umwagaji damu basi mimi huliona kama limekosa uhalali kuwepo.


Palestina wanakufa kwa kupigania haki,ambayo kimsingi sio muhimu kuliko maisha yao na vizazi vyao,kifupi wanatumika bila kujua.
Pole sana
 
Mwanamgambo mmoja wa Israel amenasa tunduni
Hamas have captured an Israeli special forces officer after the IDF attempted an incursion into Gaza.

Possibly a Sayeret Matkal member
Benjamin Netanyahu mwenyewe amewahi kuwa team leader wa hiyo company.
 
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…