Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza

Suluhisho la vita ya Mashariki ya kati ni kwa Wapalestina kutulia au kuhama kabisa pale Gaza

Acha uongo waisrael walishatawanyika kipindi cha utawala wa babylonia na badae Assyria. In fact makabila 10 yalishapotelea utumwani hata kabla Yesu hajazaliwa. Tatizo mnaisoma biblia juu juu sana mnapotosha watu tu.
Haya sasa, kumbe kuna historia nyingine tena hapa, mkuu Elias
Umepoteza muda tu kuleta mada ndegu kama hiyo. Allah ambaye ni Mungu wa Hamas ameshawaambia kwenye Quran 5:21 kuwa nchi iliyoitwa Kanani walipewa Waisraeli. Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 133 AD na kutawanywa, mwaka 1948 walirudi kwenye nchi yao, Hamas wapishe, labda Quran 5:21 nayo ibadilishwe iseme nchi hiyo ni ya Hamas.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana nasema, ni bora zaidi kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo kwa wakati huu, huko kwenye historia sioni jibu lolote la matatizo ya leo.
 
Ubishi, ukaidi na ujeuri wa wapalestina kutaka kupambana na Israel itapelekea maafa na mateso zaidi kwa watu wasiokuwa na hatia. Ama kwa kupenda au kutokupenda, suluhisho rahisi na lenye kuleta amani mashariki ya kati ni wapalestina kuwa watulivu ili waendelee kukaa pale kwa amani au kuhama kabisa maeneo yale ili kuepusha shari zaidi.

Hizi choko choko za vikundi vya Hamas nk. ni kujilisha upepo na kuongeza mateso, hazina msaada wowote endelevu kwa wapalestina. Wapalestina wakae wakijua, hakuna nchi ya kiarabu itajiingiza kichwa kichwa kuwapigania pale, sio Iran, Lebanon, Syria, Egypt, Jordan au Saudi Arabia ambayo ina muda, nguvu, rasimali au dhamira ya dhati ya kwenda moja kwa moja kuwapigania wapalestina, kila taifa linapambana na hali yake tu.

Hilo eneo la Gaza hapo mashariki ya kati ni dogo sana, kavu mnoo, halina rasilimali zozote muhimu za kiuchumi ukiachilia hizi blah blah za kiimani ambazo zinatumika na pande zote kinafiki tu na kimchongo ili kujitengenezea uhalali wa kumiliki hayo maeneo kwa sababu ya umuhimu wa kihistoria.

Sasa kwanini watu wakae kwa wagombana?
Kwani dunia haina sehemu zingine za kuishi?
Kuna raha gani kuishi katika hali hiyo?

Unaweza kusema au kuwaza kuwa kwanini waisraeli wao wasihamishwe pale? Jibu ni moja tu, Israel kwa sehemu kubwa ndio inapamiliki pale kwa sasa (iwe kwa haki au mabavu), Israel haina muda wa kuchokoza wapalestina ili iendelee kukaa pale bali ina dhamira, muda na nguvu za kutaka kuwakandamiza zaidi na kuwatuliza vilivyo ikiwa wapalestina watataka kuendelea kubakia pale.

Kama kuna wafia dini huku duniani wanaoona ni lazima kuendelea kupigana vita pale mashariki ya kati basi waende wao pale kwa vivuli vya dini yao kupigana na sio kutumia wapalestina kama chambo.

Note:
Taifa la Palestina lina mchanganyiko wa watu wenye imani tofauti tofauti wakiwemo waislamu (97%) na wakristo (3%), wakati taifa la Israel nalo lina waumini wa kiyahudi (81%), waislamu (14%), dini za asili (3%) na wakristo (2%). Lakini kote huko kwa hayo mataifa na hao waumini ukichunguza utagundua miongoni mwao kuna wapagani na wahuni kibao, hivyo tusilazimishe hii vita kuwa ni vita ya kidini wakati ni siasa na tamaa tu.

TUMECHOKA NA VITA
HATUTAKI VITA
Ushawasikia Hamas wakisema au kujibu chochote zaidi ya juzi kuwawachia mateka wale wazee qawili?

Waswahili wanasema penye ukimya pana mshindo.
 
Asilimia kubwa ya wa Israel ni Atheists wachache tu ni real jews
 
Ukitaka hilo unalosema lifanikiwe, itakubidi uwabadilishe fikra zao. Kwamba hizo sehem kama al aqsa iwe macca au madina wazikubali kama ni sehemu za kitalii tu.
Kwamba zinawaingizia waarabu pesa nyingi katika uchumi wa wao kupitia utalii, na wazungu wengine wanaonufaika kutoka katika sehem hizo ni shughli za ukandarasi na miundombinu mingine.
Ukiweza kuwabadilisha akili na fikra zao utafanikiwa. Lakini kama wataendelea kushikilia kiimani kua wapo tayar kufa kwa imani zao, basi huwezi kudhibiti hilo.
Acha waendelee kupunguza idadi ya watu..watu wanaongezeka kwa kasi hapa duniani, Dunia inaelemewa.
 
Haya sasa, kumbe kuna historia nyingine tena hapa, mkuu Elias
Yaani mtu ana justify kuteka ardhi ya mwingine kisa history ya 3000 years ago? Hivi kila mtu akidai ancestral land mfano Baganda wadai mpaka mwanza na Kagera patakalika?
 
Duh!

Haya ya warumi na maandiko ya kwenye hivi vitabu vya kidini kwa kweli mimi siyajui, kwa hiyo siwezi kuyasemea hapa leo. Ninachosema, bila ya kujali hivyo vitabu, haya ya leo yanahitaji utatuzi kufuatana na hali ya leo.
Hata hivyo, nakushukuru kwa hilo somo la historia ya "Warumi, mwaka 133 AD", nilikuwa siijui.
Yanayotokea leo yalishasemwa miaka ya 538 BC kuwa Waisraeli watatawanywa kwa kumwasi Mungu, na baadaye watarudishwa, walitawanywa 135 AD na Warumi, na 1948 walirudi, na wakirudi hakuna atakayewatoa(Amos 9:15). Hamas kukaidi itakuwa kutimiza tu unabii wa wao kupotea kanisa eneo Hilo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Haya sasa, kumbe kuna historia nyingine tena hapa, mkuu Elias
Ndiyo maana nasema, ni bora zaidi kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo kwa wakati huu, huko kwenye historia sioni jibu lolote la matatizo ya leo.
Utautafutaje ufumbuzi wakati utabiri unatimia? Hamas kushupaza kwao shingo kunasaidia tu kukamilisha utabiri wa Zakaria 12:2-3, watapotezwa kanisa eneo Hilo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ushawasikia Hams na wakisema au kujibu chochote zaidi ya juzi kuwawachia mateka wale wazee qawili?

Waswahili wanasema penye ukimya pana mshindo.
Ukitaka haya yasiwepo mpinge pia Allah aliposema nchi iliyoitwa Kanani walipewa Waisraeli,rejea Quran 5:21, au mpinge Yehova aliyesema nchi iliyoitwa Kanani walipewa Waisraeli, rejea Mwanzo 15:18. Hamas siyo nchi yao, wakishupaza shingo watapotezwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ubishi, ukaidi na ujeuri wa wapalestina kutaka kupambana na Israel itapelekea maafa na mateso zaidi kwa watu wasiokuwa na hatia. Ama kwa kupenda au kutokupenda, suluhisho rahisi na lenye kuleta amani mashariki ya kati ni wapalestina kuwa watulivu ili waendelee kukaa pale kwa amani au kuhama kabisa maeneo yale ili kuepusha shari zaidi.

Hizi choko choko za vikundi vya Hamas nk. ni kujilisha upepo na kuongeza mateso, hazina msaada wowote endelevu kwa wapalestina. Wapalestina wakae wakijua, hakuna nchi ya kiarabu itajiingiza kichwa kichwa kuwapigania pale, sio Iran, Lebanon, Syria, Egypt, Jordan au Saudi Arabia ambayo ina muda, nguvu, rasimali au dhamira ya dhati ya kwenda moja kwa moja kuwapigania wapalestina, kila taifa linapambana na hali yake tu.

Hilo eneo la Gaza hapo mashariki ya kati ni dogo sana, kavu mnoo, halina rasilimali zozote muhimu za kiuchumi ukiachilia hizi blah blah za kiimani ambazo zinatumika na pande zote kinafiki tu na kimchongo ili kujitengenezea uhalali wa kumiliki hayo maeneo kwa sababu ya umuhimu wa kihistoria.

Sasa kwanini watu wakae kwa wagombana?
Kwani dunia haina sehemu zingine za kuishi?
Kuna raha gani kuishi katika hali hiyo?

Unaweza kusema au kuwaza kuwa kwanini waisraeli wao wasihamishwe pale? Jibu ni moja tu, Israel kwa sehemu kubwa ndio inapamiliki pale kwa sasa (iwe kwa haki au mabavu), Israel haina muda wa kuchokoza wapalestina ili iendelee kukaa pale bali ina dhamira, muda na nguvu za kutaka kuwakandamiza zaidi na kuwatuliza vilivyo ikiwa wapalestina watataka kuendelea kubakia pale.

Kama kuna wafia dini huku duniani wanaoona ni lazima kuendelea kupigana vita pale mashariki ya kati basi waende wao pale kwa vivuli vya dini yao kupigana na sio kutumia wapalestina kama chambo.

Note:
Taifa la Palestina lina mchanganyiko wa watu wenye imani tofauti tofauti wakiwemo waislamu (97%) na wakristo (3%), wakati taifa la Israel nalo lina waumini wa kiyahudi (81%), waislamu (14%), dini za asili (3%) na wakristo (2%). Lakini kote huko kwa hayo mataifa na hao waumini ukichunguza utagundua miongoni mwao kuna wapagani na wahuni kibao, hivyo tusilazimishe hii vita kuwa ni vita ya kidini wakati ni siasa na tamaa tu.

TUMECHOKA NA VITA
HATUTAKI VITA

Utapeleka wapi watu 2.3M?
 
Ukitaka haya yasiwepo mpinge pia Allah aliposema nchi iliyoitwa Kanani walipewa Waisraeli,rejea Quran 5:21, au mpinge Yehova aliyesema nchi iliyoitwa Kanani walipewa Waisraeli, rejea Mwanzo 15:18. Hamas siyo nchi yao, wakishupaza shingo watapotezwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndivyo mnavyodanganyana hivyo? Kasome vizuri.
 
Ubishi, ukaidi na ujeuri wa Wapalestina kutaka kupambana na Israel itapelekea maafa na mateso zaidi kwa watu wasiokuwa na hatia. Ama kwa kupenda au kutokupenda, suluhisho rahisi na lenye kuleta amani mashariki ya kati ni wapalestina kuwa watulivu ili waendelee kukaa pale kwa amani au kuhama kabisa maeneo yale ili kuepusha shari zaidi.

Hizi choko choko za vikundi vya Hamas nk. ni kujilisha upepo na kuongeza mateso, hazina msaada wowote endelevu kwa wapalestina. Wapalestina wakae wakijua, hakuna nchi ya kiarabu itajiingiza kichwa kichwa kuwapigania pale, sio Iran, Lebanon, Syria, Egypt, Jordan au Saudi Arabia ambayo ina muda, nguvu, rasimali au dhamira ya dhati ya kwenda moja kwa moja kuwapigania wapalestina, kila taifa linapambana na hali yake tu.

Hilo eneo la Gaza hapo mashariki ya kati ni dogo sana, kavu mnoo, halina rasilimali zozote muhimu za kiuchumi ukiachilia hizi blah blah za kiimani ambazo zinatumika na pande zote kinafiki tu na kimchongo ili kujitengenezea uhalali wa kumiliki hayo maeneo kwa sababu ya umuhimu wa kihistoria.

Sasa kwanini watu wakae kwa wagombana?
Kwani dunia haina sehemu zingine za kuishi?
Kuna raha gani kuishi katika hali hiyo?

Unaweza kusema au kuwaza kuwa kwanini waisraeli wao wasihamishwe pale? Jibu ni moja tu, Israel kwa sehemu kubwa ndio inapamiliki pale kwa sasa (iwe kwa haki au mabavu), Israel haina muda wa kuchokoza wapalestina ili iendelee kukaa pale bali ina dhamira, muda na nguvu za kutaka kuwakandamiza zaidi na kuwatuliza vilivyo ikiwa wapalestina watataka kuendelea kubakia pale.

Kama kuna wafia dini huku duniani wanaoona ni lazima kuendelea kupigana vita pale mashariki ya kati basi waende wao pale kwa vivuli vya dini yao kupigana na sio kutumia wapalestina kama chambo.

Note:
Taifa la Palestina lina mchanganyiko wa watu wenye imani tofauti tofauti wakiwemo waislamu (97%) na wakristo (3%), wakati taifa la Israel nalo lina waumini wa kiyahudi (81%), waislamu (14%), dini za asili (3%) na wakristo (2%). Lakini kote huko kwa hayo mataifa na hao waumini ukichunguza utagundua miongoni mwao kuna wapagani na wahuni kibao, hivyo tusilazimishe hii vita kuwa ni vita ya kidini wakati ni siasa na tamaa tu.

TUMECHOKA NA VITA
HATUTAKI VITA
Mhh hizo asilimia za madhehebu
 
Acha uzito wa kufikiri, Golan heights, Sinai na maeneo ya Jordan unajua chanzo cha Israel kukalia maeneo hayo?

Maeneo ya Jordan na Sinai yalirudishwa je unajua chanzo na sababu za kuyaachia maeneo hayo?

Toa mahaba yako hapo na ujinga mnaojazana huko madrasa ok, kama hujui unauliza kwa ustarabu braza then unaeleweshwa ok
Kafiri mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom