shybubu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 538
- 393
Ni kweliJanga la taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweliJanga la taifa.
Ushawahi kupiga pun.yeto??? Kama mpaka leo ni mwanachama acha kabisa iyo mambo!!Wanajamvi hodi humu ndani...Nina tatizo ( nahisi) kwa maana nikikutana mpenzi wangu siwezi kupiga bao mbili naomba msaada wa mawazo non nifanye jamni katika hili ? Naomba wajuzi wa mambo mnijuze
Karibuni
Eeee
Hebu jaribu kwanza kutibu akil yako.inawezekana una tatizo lakisaikolojia.Mim uko nyuma niliwai kupata tatizo kama ilo.ilikua kila nikivaa ndom jamaa anasizi ndo anyanyuk tena had she ananionea huruma.Iyo hali ilinitesa kwa muda mrefu had nikakosa raha.Had nikazan labda chanzo ni nyeto maana nilipiga sana iyo kitu wakat niko shule.Sasa nilikuja kugundua nitatizo lakisaikolojia pale nilipokuja kumwadithia rafik yangu akanicheka uku akiniambia ata yeye akivaa ndom jamaa lazima asizi au anachelewa kumaliza had anaumia.Nikagundua kumbe tuko weng wenye iyo shida ndo nikaanza kutuliza akil yangu had iyo hali ikaisha.Kwaiyo inawezekana sio ugonjwa wa mwili bali saikolojia.Habari ndugu zangu!!!. Niende, moja kwa moja kwenye maada!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26.
Ndugu zangu tatizo ambalo linanikabili ni kuwa ineffective ktk mishipa ya penis ambalo linapelekea kushindwa ku erect kisawasawa.
Ki ukweli nimefanya sana muster bastion kwa muda mrefu sana, nahic hili ndo chanzo cha tatizo.
Na imani humu ndani kuna watu wengi wenye ufahamu haya mambo, wanaweza kunisaidia ki ushauri, maoni n. k.
Mpaka saiz, nimekuta na mabinti wengi tu ila performance imekuwa ndogo sana.
Wasi wasi wangu ni pale nitapo kuja kuoa,.
Nataka pia kuuliza hivi kuna dawa ma hospitalini ambazo naweza kupewa na zikanisaidia?
Ahsanteni na mungu awape baraka, hope hili jukwaa litanisaidia sana na kubaki kuwa historia hili tatizo langu.
Ushauri tafuna mbegu za maboga mimi zimeniponyaWadau nina muda wa miezi 6 tangu nioe, lakini mara baada ya kuoa nimegundua nina tatizo la mature ejaculation( yaani natoa shahawa mapema). Haifiki hadi dakika tano nakuwa nimepizi.
Kabla sijaoa huyu mwanamke nilikuwa nachukua hadi nusu saa kupizi ,cjui tatizo nini? Nisaidieni ni muda gani mwanaume anatakiwa asugue kabla ya kupizi? Je kama nina tatizo nifanyaje wadau, nahisi simtendei haki mke wangu ndoa changa.
Umeoa au ni mchumba tu? Kama ni mke na huwa mnafanya mara kwa mara lazima utakomea kimoja tu. Na hicho kimoja ni cha ukweli na kinachukua muda mrefu hivyo hata mwanamke anaridhika. Ila kama ni mchumba na mnakutana mara 1 kwa wiki au wiki mbili na bado unaenda kimoja kuna tatizo.
kiukweli kwa sasa nina miaka 21 na ninasoma elimu ya juu lakini kiukweli mimi nilianza kujichua nikiwa forn5 kule uboyzn hali iliyonifanya nishindwe kabsa kuacha hadi hivi sasa,kiukweli wasichans ninao lakini kiukweli tangu nifanye nao mapenzi hakuna hata mmoja nliyewai (kupeez) japo wao wanaamini nilfanya hvo, najtaid sana lakini nashndwa kufanya hvo,ninatamaa sana ya wasichana lakini nikimpata naishia romance basi nashndwa ,hv sasa sioni umuhimu wao kabsa na puli naweza kuizuia 1week lakini bdae napata tamaa nafanya,naumia sana nashndwa kuacha kabsa na hvo game siwezi kabisa najiulza ntaweza kuzalisha kweli? sijawah kumueleza yoyote hili tatizo zaidi ya leo hapa jf,naombeni ushaur au dawa nkanunue ili niache tafazali sana.
tumia ndiz moja karot moja parachichi nusu tikiti kipande tikit kula na mbegu na ganda siku tatu utapona
tumia ndiz moja karot moja parachichi nusu tikiti kipande tikit kula na mbegu na ganda siku tatu utapona