Pre GE2025 Sumaye: Hakuna anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Zee la hovyo kabisa
Kule mtaani kwake limeshindwa hata kushirikiana na wananchi wenzake kutengeneza barabara
Limejaa ubinafsi, wana mtaa wenzake walikuwa wanahangaika maji lenyewe likiwa na pipe ya nchi 3 halikuwaruhusu kuunga maji
 
Wapo wenye uwezo wa kuongoza, ila kwa sasa tunaye mama.
 
Asikilizwe ana hoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…