Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Kuipigia kura CCM ni sawa na kukikumbatia kifo ilhali Dr.WilMihogo Slaa anakula upepo US kwa fedha za walalahoi.Jiulize twiga amepanda ndege weye mpumbavu mwenzangu utapanda lini na ukienda wapi?
 
Kivipi Lizaboni? Kuwa tembo hawajauwawa au muuaji hajajulikana bado?
Note: hata kama wewe ni kada ifike sehemu nafsi ikusute kuhusu vifo vya tembo, waonee huruma tembo

Anaelewa mchongo ndio maana amejibu short cut.
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Kweli elimu imeshuka Tanzania, umeambiwa kuanzia 2007 mpk 2014 ww unasema Sumaye alikuwa Waziri Mkuu.
 

Haiwezi kuwa kick kwa wakati huu wa mabadiliko so unatakiwa usome nyakati kiumbe mwenye akili butu.
 
Tembo wanalialia mama tanzania wamekosa nini jamani si mchinje ng'ombee mchukue pembee
 
ccm wameanza kuchokoza wenyewe,sasa nao wameanza kujibiwa watulie
 
CCM wamemaliza tembo wetu duh! hawa watapata laana kwa Muumbaji.
 
Nchi hii bana, aliyajua lini hayo?

Mzee Lowassa anasema"Go to court or shut up and keep quiet. "

Wameishi kwa raha ujana wao sasa wanataka wavuruge nchi
Mkuu lakini tembo wanauliwa, swali ni nani anawauwa hadi selekali inashindwa kudhibiti?
 
JK alisema anawajua majangiri na wauza madawa ya kulevya na majina anayo Ikulu,ushawahi jiuliza kwanini hawajakamatwa mpaka hii leo?

Tafakari chukua hatua,CCM ni kansa katika mwili wa mama Tanzania.
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Mkuu hata Mwl Nyerere aliwahi kusema tubadilike! Sasa huyu waziri mkuu wa zamani amebadirika! Hatuwezi kuwafungia milango wale walio tamka rasmi kuwa wamebadilika! Hivyo usihangae hata bwana Pinda akabadilika na kusema mengine.
 
Mpaka sasa hajatuambia yeye alikua anapiga dili gani, maana kua waziri mkuu for ten years si bure bure tu
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Tulia dawa iwaingie! Mnajua kutupia mawe kwenye mzinga wa nyuki kama vile asali ya nyuki ni yenu. Nyuki wanajitetea tafuteni pa kutokea tuwaone!
 
Sumaye amehisi eti CCM itapigwa chini kwa iyo anajitahidi kupiga maneno ambayo yalipaswa kwenda kupelekwa mahakamani kama ushadi, hii yote akumbukwe kwenye kamati kuu ya UKAWA iwapo itapata nafasi.
 
Nchi hii bana, aliyajua lini hayo?

Mzee Lowassa anasema"Go to court or shut up and keep quiet. "

Wameishi kwa raha ujana wao sasa wanataka wavuruge nchi

Ukweli usemwe hakuna kutafuna maneno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…