Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Wanachofanya ni kuprun tu maana tembo wamekuwa wengi mpaka mashambani wanakuja wengi
 
Wakuu kuuliza si Ujinga hivi hizo ni Pembe au Meno ya Ndovu?
Pili hua yanafanyia kazi gani au ni Malighafi ya kutengenezea bidhaa gani?
Wewe unauliza vitu vidovidogo nenda kajisomee utajua kama ni pembe au meno. pia utajua kwanini ni dili katika baadhi ya mataifa.
 
Ni hivi? Halafu leo anasifiwa kwa kufanya makubwa!
 
Jana kwa mara nyingine waziri Mkuu mstafu Ndg. F. Sumaye alimlipua katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi A. Kinana na kusema katibu mkuu huyo kwa muda mrefu amekuwa akijihusisha na uuzaji wa meno ya tembo (pembe za ndovu)... "Soma gazeti hapa chini"

Ilimbukwe kuwa mwaka jana kituo cha utangazaji cha Aljazeera kilitoa data kuhusu tembo wa Tanzania kuuwawa na kuonyesha kwamba mwaka 2007 kulikuwa na jumla ya tembo 146,879 na mpaka mwaka jana 2014 tembo hao wameuwawa kwa asilimia 64% na kubaki tembo 56,000 tu...

Mytake: Hili suala la Kinana tulifikiri ni uzushi ila ukiona waziri mkuu aliyekaa madarakani kwa miaka 10 kaliweka wazi mbele ya wananchi ni wazi hakuna ubishi tena katika hilo....
Kwa nchi inayojali uadilifu,tuhuma tu zinatosha kumuengeu mtu in any post,lakini sio kwenye nchi yangu Tanzania.Very sad.Nashangaa hata baada ya tuhuma kwamba Kinana anashiriki kwenye biashara haramu ya pembe za ndovu,bado ameendelea kukumbatiwa CCM.Inaudhi to say the least.
 
Kwa nchi inayojali uadilifu,tuhuma tu zinatosha kumuengeu mtu in any post,lakini sio kwenye nchi yangu Tanzania.Very sad.Nashangaa hata baada ya tuhuma kwamba Kinana anashiriki kwenye biashara haramu ya pembe za ndovu,bado ameendelea kukumbatiwa CCM.Inaudhi to say the least.
Kweli tumsikilize Sumaye . Sumaye Frederick Tiruway??? Mh
 
Kweli tumsikilize Sumaye . Sumaye Frederick Tiruway??? Mh
Sawa tunaweza tusimsikilize Sumaye,ingawa nazo ni tuhuma.Na hata hivyoo, kwa nini tusimsikilize Sumaye na tumdharau,kwa kuwa alihama chama chetu?Funny reasoning.Lakini labda tujiulize,kwani tuhuma kwamba Kinana anashiriki kwenye biashara haramu ya pembe za ndovu ni za leo,mbona hazikufuatiliwa?Na Sumaye mbona sio wa kwanza kuzitoa?Kwa nini hatuzifuatiliwi, ili kujiridhisha kwamba si za kweli?Kwa kuwa ni mwenzetu na tunaogopa kukiabisha chama?Also funny reasoning.Mimi naomba, with all due respect kwa chama changu,ifike mahali tujue kwamba mawazo haya hayakijengi chama na badala yake yanakibomoa.Kunapokuwa na tuhuma lazima zifuatiliwe,bila kujali zinamhusu nani na nani kazitoa,vinginevyo tuteendelea kufuga wezi,majambazi na wahuni kwenye chama,na hivyo kuendelea kukifanya chama kiendelee kudharaulika.I for one desire a respectable party.
 
Jana kwa mara nyingine waziri Mkuu mstafu Ndg. F. Sumaye alimlipua katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi A. Kinana na kusema katibu mkuu huyo kwa muda mrefu amekuwa akijihusisha na uuzaji wa meno ya tembo (pembe za ndovu)... "Soma gazeti hapa chini"

Ilimbukwe kuwa mwaka jana kituo cha utangazaji cha Aljazeera kilitoa data kuhusu tembo wa Tanzania kuuwawa na kuonyesha kwamba mwaka 2007 kulikuwa na jumla ya tembo 146,879 na mpaka mwaka jana 2014 tembo hao wameuwawa kwa asilimia 64% na kubaki tembo 56,000 tu...

Mytake: Hili suala la Kinana tulifikiri ni uzushi ila ukiona waziri mkuu aliyekaa madarakani kwa miaka 10 kaliweka wazi mbele ya wananchi ni wazi hakuna ubishi tena katika hilo....
Hili haliwaingii akina Kikwete na Samia.
 
Nimeona watanzania wengi sana hawana imani kabisa na mzee Kinana hasa likija suala la usafirishaji wa nyara za serikali kama vile meno ya tembo.

Naomba kujua ni kipi kinafanya kundi hili kubwa la watu kukosa imani na huyu mzee? Mimi sidhani kama kwa umri wake anaweza mikiki mikiki ya kufukuzana na tembo mbugani.
 
kwani anaenda kukamata tembo na kuwang'oa meno yeye au anatuma watu?
 
Back
Top Bottom