Hayo maigizo ya hao chawa yamefeliWalipeni pesa zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maigizo ya hao chawa yamefeliWalipeni pesa zao.
😆 Sawa kaka.Acheni dhulma, dhulma ni mbaya
Wamefeli sana.. Kutunga huu upupu.Wewe uliwahi kuona bodaboda/Bajaj anaweka mafuta Kwa hela yake kwenda kumpokea mwanasiasa Kwa kukodiwa akitegemea kulipwa baada ya kurudi?
Ingekuwa enzi zile, ungekuta IGP kalishikia bango! CDM wangefunguliwa la kesi, na saa hizi Mwenyekiti Mbowe anatafutwa!Hawa ni uvccm
Mbona MAGUFULI alwadhurumu VYETI FAKE Mafao yao mlikaa kimya ?Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Wajinga mnazidi kuongezekaChadema ni kampuni ya watu wachache sio chama cha siasa..nikampuni ya wachagga..kama ni chama cha democrasia kweli ..kwanini mbowe ni mwenyekiti zaidi ya miaka 30,tokea nikiwa mdogo mpaka leo namsikia mbowe tu.
Huku Arusha madiwani wengi wa chadema enzi hizo walikuwa wachagga tu yaani asilimi kama 90,tofauti na ccm madiwa ni mchanganyiko hawachagui kabila..hata viongozi wa chama huku katika ngazi mbalimbali wengi ni wachagga...
Sasa najiuliza mbona kuna makabila mengi mfano,waarusha,wamasai,wameru,warangi,wasomali,na mengine ambao wana uwezo mkubwa sana kwanini wasipewe hiyo fursa ya kugombea?
1. Kama walienda ofisi za chadema kwa nini mleta mada asingeleta picha/ video wakiwa huko ofisini na badala yake ameleta wakiwa Wanafurahi kupiga kelele za kijiweni kwao. Tafsiri ni kwamba huu ni uzushi uliopangwa hapo kijiweni maana ingekuwa na uhalisia wangedaiana ofisini.1. Habari imeandikwa wameenda Ofisini kwa MWENYEKITI. Sasa kama unaona hapo ofisini kwa MWENYEKITI WA CHADEMA ni Kijiweni sawa.
2.Hoja yako ya pili nenda Sumbawanga ukafanya confimation
3. Hongera sana mtaalamu wa kujua wadai na wadaiwa kwa kuangalia mionekano
Unajua Hawa wanaoambiwa ujinga Kisha wanaamini ndio wajinga zaidi kuliko walio Tunga ujinga huo.Na mimi nawachukia wajinga kama nyie. Ambao mkiambiwa jambo mnakubali bila kufanya uchunguzi.
Shabiki wa Simba au Yanga hawezi kuwa shabiki wa Chadema?Kumbe jamaa wanakodisha wahudhuriaji wa mikutano!!!
Hahaaa, sishangai, maana Dar Kuna watu wanakodishwa kulia misibani.
Ukiangalia mikutano ya chadema, watu wamevaa jezi za Simba, Yanga, hawana uhusiano na chadema
Acheni utoto? Sasa kwanini waende ofisi ya CCM kama wanadai Chadema?1. Habari imeandikwa wameenda Ofisini kwa MWENYEKITI. Sasa kama unaona hapo ofisini kwa MWENYEKITI WA CHADEMA ni Kijiweni sawa.
2.Hoja yako ya pili nenda Sumbawanga ukafanya confimation
3. Hongera sana mtaalamu wa kujua wadai na wadaiwa kwa kuangalia mionekano
Aeshi Hillary ndio maana hapo tayari alikua na cash laki 5 kuonekana CCM ndio imewaokoa Chadema. Siasa za kizamani sanaNani kaliweka Sasa Hilo igizo?
Kwanini wasitunge miaka yote tena kipindi ambapo chedama inanguvu,kwa nini watunge sasa angali chadema imekufa?
Sumbawanga bado wapo gizani..wadanganyeni mpaka wapate akili