Sumu Kali kupita zote Duniani iliyotumika kumshambulia jasusi Wa Urusi alieasi Akiwa Uingereza

Sumu Kali kupita zote Duniani iliyotumika kumshambulia jasusi Wa Urusi alieasi Akiwa Uingereza

Hii sumu ni nzuri kwa panya. [emoji232] [emoji232] [emoji232]
 
Sumu ya mamba siyo hatari sana, sababu ni mpaka unywe au ule kitu kilichowekewa hiyo sumu. Lakin hizo nyingine siyo mpaka uguse. Ikikusogelea tu umeenda mkuu
Kuna nchi gani sijui walikuwa wamelala fofofo.
Kumbe huku nje ndege zikaanza kumwaga hewa ya sumu na matokeo yake watu wengi sana walikufa wakiwa usingizini.
Je, ndo kama sumu hizi?
 
Kuna nchi gani sijui walikuwa wamelala fofofo.
Kumbe huku nje ndege zikaanza kumwaga hewa ya sumu na matokeo yake watu wengi sana walikufa wakiwa usingizini.
Je, ndo kama sumu hizi?
Ndiyo mkuu
 
Ndiyo mkuu
Asante mkuu.
Imebidi niende Google kuiangalia familia ya Sergei.
Kumbe Yulia ni binti mdogo tu wa miaka 33.
Sasa kama kosa katenda baba mtu, why waiteketeze familia nzima?
Kwanini wasishughulike na baba tu mpaka wanaamua kuua familia nzima?
Mama, mtoto na sasa baba na mtoto wanakufa.
Nashangaa!!!!!!
 
Asante mkuu.
Imebidi niende Google kuiangalia familia ya Sergei.
Kumbe Yulia ni binti mdogo tu wa miaka 33.
Sasa kama kosa katenda baba mtu, why waiteketeze familia nzima?
Kwanini wasishughulike na baba tu mpaka wanaamua kuua familia nzima?
Mama, mtoto na sasa baba na mtoto wanakufa.
Nashangaa!!!!!!
Mkuu serikali nyingi hufanya mauwaji ya namna hiyo.
 
Swali:
Kwanini?
Mkuu hapo nitatoa mawazo yangu madogo sababu ukweli siujuwi. Kwa mawazo yangu, mauwaji ya namna hiyo yakifanywa na serikali wahusika hujulikana vizuri sana. Sasa wakiacha mtu pale hata mtoto anaweza kulipiza, sababu anakuw na marafiki ndani ya serikali. Hii ni moja ya sababu wanaamua kuuwa familia nzima. Ili wajikinge visasi.
 
Mkuu hapo nitatoa mawazo yangu madogo sababu ukweli siujuwi. Kwa mawazo yangu, mauwaji ya namna hiyo yakifanywa na serikali wahusika hujulikana vizuri sana. Sasa wakiacha mtu pale hata mtoto anaweza kulipiza, sababu anakuw na marafiki ndani ya serikali. Hii ni moja ya sababu wanaamua kuuwa familia nzima. Ili wajikinge visasi.
Asante mkuu.
Nimekuelewa.
Shukrani sana
 
Back
Top Bottom