Sumu Kali kupita zote Duniani iliyotumika kumshambulia jasusi Wa Urusi alieasi Akiwa Uingereza

Sumu Kali kupita zote Duniani iliyotumika kumshambulia jasusi Wa Urusi alieasi Akiwa Uingereza

Kuna nchi gani sijui walikuwa wamelala fofofo.
Kumbe huku nje ndege zikaanza kumwaga hewa ya sumu na matokeo yake watu wengi sana walikufa wakiwa usingizini.
Je, ndo kama sumu hizi?
Ndio mkuu...

Tena kijiko kimoja tuu cha unga wake inateketeza Dar nzima
 
Asante mkuu.
Imebidi niende Google kuiangalia familia ya Sergei.
Kumbe Yulia ni binti mdogo tu wa miaka 33.
Sasa kama kosa katenda baba mtu, why waiteketeze familia nzima?
Kwanini wasishughulike na baba tu mpaka wanaamua kuua familia nzima?
Mama, mtoto na sasa baba na mtoto wanakufa.
Nashangaa!!!!!!
Ndio faida ya usaliti mkuu
 
Nani ana hiyo kitu atleast hata ijae kakizibo ka soda tumpatie anayefanya vyuma vikaze.
 
Siku watu wasiojulikana wakiipata hii sumu tatakwisha wote.
 
Hicho ndicho wanachokitafuta UK, mengine mbwembwe tu. USA Eti nao wanaunga mkono wazo hilo wakati World Cup hawajafuzu. Kweli Putin kawashika pabaya
Screenshot_20180316-123233.jpg
 
hapana mkuu kumbuka mke wa jamaa alifariki katika ajai ya gari iliokua na utata huko urusi, baadae mtoto wake akaja kufariki kwa njia hiohio huko urusi, sasa hivi hawa memberb wawili wa familia waliobaki nao wako mahututi baada ya shambulizi hilo..sidhan km ni false flag ukiangalia hio trend

Unaweza pia kukamilisha misheni yako kwa kupita mule mule though!!
 
Asante mkuu.
Imebidi niende Google kuiangalia familia ya Sergei.
Kumbe Yulia ni binti mdogo tu wa miaka 33.
Sasa kama kosa katenda baba mtu, why waiteketeze familia nzima?
Kwanini wasishughulike na baba tu mpaka wanaamua kuua familia nzima?
Mama, mtoto na sasa baba na mtoto wanakufa.
Nashangaa!!!!!!

Kama alichukua Hela ili hats akifa familia ifaidi hizo Hela sasa Hamna wa kufaidi.

Au ni hivi: ukiasi tunateketeza familia yako na wewe pia.

Hii ni kiboko Kwa walio tayari kujilipua ili jamaa wa familia watakao Baki wafaidi
 
Kama alichukua Hela ili hats akifa familia ifaidi hizo Hela sasa Hamna wa kufaidi.

Au ni hivi: ukiasi tunateketeza familia yako na wewe pia.

Hii ni kiboko Kwa walio tayari kujilipua ili jamaa wa familia watakao Baki wafaidi
Dah so sad aisee.
Na kwa wana wa system wa Tanzania pia wako hv hv au?
Kwa hiyo na mwanangu akihasi system nami nitauliwa?
 
sumu kali kuliko zote? alafu hadi leo bado wanaishi!,aseee msiipe ukali maana haina ukali wowote,kuna sumu zakienyeji ukipewa humalizi sec60.
 
Kusimamisha mapigo ya Moyo, Kugandisha Damu na Kuozesha Ubongo kwa wakati Mmoja........................!!!!
 
Back
Top Bottom