Sumu Kali kupita zote Duniani iliyotumika kumshambulia jasusi Wa Urusi alieasi Akiwa Uingereza

Sumu Kali kupita zote Duniani iliyotumika kumshambulia jasusi Wa Urusi alieasi Akiwa Uingereza

hivi ilipataje airport bila kuwa scanned???au hio sumu inatengenezwa huko huko Uingereza?lol embu nifumbueni macho...lol
 
Sasa kwann warusi watumie sumu ya zaman hivo almost 40 yrs. Inamaana hawajagundua latest thing....?!!

Anyway dawa ya double agent ni kifo tu....
 
Sasa kwann warusi watumie sumu ya zaman hivo almost 40 yrs. Inamaana hawajagundua latest thing....?!!

Anyway dawa ya double agent ni kifo tu....
Wagundue nyingine ya nini wakati hiyo hiyo ya miaka 40 inafaa?. Ikipatiwa dawa yake watagundua nyingine
 
Mkuu hapo nitatoa mawazo yangu madogo sababu ukweli siujuwi. Kwa mawazo yangu, mauwaji ya namna hiyo yakifanywa na serikali wahusika hujulikana vizuri sana. Sasa wakiacha mtu pale hata mtoto anaweza kulipiza, sababu anakuw na marafiki ndani ya serikali. Hii ni moja ya sababu wanaamua kuuwa familia nzima. Ili wajikinge visasi.
Vipi kuhusu Lissu na familia yake?
 
Kumbe vita vya makombora vinakaribia mwisho,yah sasa ni zama za sumu.
 
Back
Top Bottom